Police watoe report baada ya kumohoji aliye kuwa anaongea naye kabla ya kujirushaCCTV camera zilimuonesha akijirusha mwenyewe bila kuwepo mtu. Aliongea sana kwa simu muda mrefu toka hiyo saa 11 alfajiri mpaka saa 12 kasoro alipoamua sasa kujirusha. Uzuri maongezi watayapata TCRA yote.
Hata mimi nimehisi hivyo.Labda alipima akakutwa na ngwegwe. Ama mademu ama kufulia.
Mimi nasema vizuri tuu na uzuri Huwa natukana vinaisha ila ukijifanya mwamba utakuja kujitia kitanzi Ufe Kwa aibu Kwa kujinyea kisa kujinyonga au kujirusha gorofani kama huyu Jamaa amejiua kama Msoga.Mimi toka rafiki yangu Deo aliyekuwa anawaona wanaojinyonga kama vile hawana akili na yeye akaja kula kitanzi tena mwenyewe baada ya kumfukuza mkewe chumbani haya mambo ya kujiuwa nimekuwa nikiyachukulia kwa kiasi sana.
Naamini hawa wanaojiuwa hadi kufikia hatua hiyo huwa wanapitia moment moja mbaya na ngumu sana isiyoelezeka!wanaume kinachotuumiza siyo wasemaji sana wa yanayotukwaza na siwalaumu,personally siuoni uwezekano wa kusema kwa yeyote nikipata changamoto mbaya zihusuzo maisha hasa ya ndoa that's why kila siku namuomba Mungu aendelee kunipa utulivu ktk familia kuliko kitu chochote.
Sasa Ngwengwe ndio ujiue? Kwamba familia itamuonaje au?Hata mimi nimehisi hivyo.
Linda vyote ila chunga sana usije ukaharibu afya ya akili yako...
kumbe hata we hujaelewaYan umereport kama unakimbizwa
Stress na frustration za maishaDah 😢 ninaamini pasi na shaka yoyote kuwa huu ni wakati sahihi kabisa wa kuzungungumza wanaume wenyewe kwa wenyewe kuwa ni sawa kutokuwa sawa, its really ok not to be ok! Tukae chini wenyewe kwa wenyewe men to men TUONGEE YETU YOTE dah 😔 RIP brother Joel 🙏
Posted @withregram • @millardayo Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema linachunguza tukio la kifo cha Mtu aitwae Joel Misesemo Chizi anayekadiriwa kuwa miaka kati ya 35 hadi 40, Mkazi wa Mwananyamala ambaye alijirusha kutoka ghorofani kwenye jengo la Derm Plaza lililopo Makumbusho Kijitonyama na kufariki.
Uchunguzi wa awali unaonesha kuwa Marehemu alionekana katika jengo hilo leo tarehe 23, Mei 2023 majira ya saa kumi na moja alifajiri na alimwambia Mlinzi wa zamu kuwa anaenda kufanya ibada kwenye Msikiti uliopo ghorofa ya 15 dani ya jengo hilo lakini muda mfupi baadaye alijirusha.
Taarifa ya Polisi imesema camera za jengo hilo zimemuonesha akijirusha kwa makusudi kutoka ghorofa ya saba kupitia dirishani na kufariki ambapo tayari mwili wake umepelekwa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala kwa uchunguzi zaidi.
Jeshi la Polisi limepata gari la Marehemu aina ya Suzuki rangi ya silver lenye namba za usajili T142 DRM lililokuwa limeegeshwa kwenye maegesho ya magari katika eneo hilo na sasa limehifadhiwa Kituo cha Polisi Oysterbay.
Ikute alikuwa anaongea na mkewe,walikuwa na ugomvi. Too sad.CCTV camera zilimuonesha akijirusha mwenyewe bila kuwepo mtu. Aliongea sana kwa simu muda mrefu toka hiyo saa 11 alfajiri mpaka saa 12 kasoro alipoamua sasa kujirusha. Uzuri maongezi watayapata TCRA yote.
Hapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
Angesimama wima angeenda kukatikia ndani ya tank[emoji23]mwamba alitanua miguu ndo kilicho muangusha
Ana hoja asikilizwee🤔Sawa magonjwa y akili yapo ila sometimes ata juju (uchawi) unahusika, msichukulie poa mtu kujidhuru mwenyewe.. Play safe
Tatizo wangapi wanayajua haya uliyoyaandika hapa?Hiyo ni chronic depression...ukimuelezea mtu anaweza asiamini kama kweli unaumwa maana kwa nje unaonekana upo kawaida tu ila kichwani kuna machafuko ya hatari.
Ni vyema kujitahidi kuwa karibu na Mungu na pia kujichanganya na watu, unapojifungia ndani peke yako ndio unazidi kuuchochea huu ugonjwa na demons/devils wanachukua hii nafasi ambayo unakuwa vulnerable kuanza kukupa evil suggestions kuwa njia ya kutatua matatizo yako ni KUJIUA ili upumzike. Hayo mawazo hujirudia kwa kasi ya ajabu moaka mtu anaamua kuukatisha uhai wake.
Ukijiona una matatizo yanasumbua akili yako mtafute rafiki yako wa karibu , kaa chini umueleze yanayokusibu ili upunguze mzigo mzito wa mawazo kifuani na akilini mwako.