TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

tuanze hivi...

ana uwenyeji wa kiasi gani ndani ya jengo hilo kiasi cha kwenda direct ma kujirusha
mashuhuda watusaidie, si alitumia lift kama uelezavyo... muda gani aliingia ndani ya lift na muda gani tukio lilitokea haswa (ili kuona kama kunauwezukano wa kuwepo kwa tukio lingine kabla ya kujirusha kwake) ... +ule muda aliofika na kupark hiyo gari (katika maelezo yako)
alikuwa katika hali gani alipoingia kwenye jengo hilo
ni mkazi wa wapi hapo dar
 
Kweli kabisa usemayo.
Tukio kama hili kwanza hata umati wa watu haitakiwi hapo zaidi ya vyombo habari, Usalama na watu wa paremedic Ambulance na mwili kuondokewa haraka iwezekanavyo Marehemu anasitiriwa!
Watu wameacha shughuli Aonasb na kwenda kushangaa waTanzania bado tuko Nyuma.
Tunaishi ka ng'ombe...
 
Back
Top Bottom