Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
tuanze hivi...
ana uwenyeji wa kiasi gani ndani ya jengo hilo kiasi cha kwenda direct ma kujirusha
mashuhuda watusaidie, si alitumia lift kama uelezavyo... muda gani aliingia ndani ya lift na muda gani tukio lilitokea haswa (ili kuona kama kunauwezukano wa kuwepo kwa tukio lingine kabla ya kujirusha kwake) ... +ule muda aliofika na kupark hiyo gari (katika maelezo yako)
alikuwa katika hali gani alipoingia kwenye jengo hilo
ni mkazi wa wapi hapo dar
ana uwenyeji wa kiasi gani ndani ya jengo hilo kiasi cha kwenda direct ma kujirusha
mashuhuda watusaidie, si alitumia lift kama uelezavyo... muda gani aliingia ndani ya lift na muda gani tukio lilitokea haswa (ili kuona kama kunauwezukano wa kuwepo kwa tukio lingine kabla ya kujirusha kwake) ... +ule muda aliofika na kupark hiyo gari (katika maelezo yako)
alikuwa katika hali gani alipoingia kwenye jengo hilo
ni mkazi wa wapi hapo dar