TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Naomba huu uzi tusiuchanganye, ni uzi ambao utatusaidia wengi ukizingatia lililompata mwenzetu laweza mpata mtu yeyote.

Majura ya saa 11 alfajiri, kijana huyu alifanikiwa kuingia jengo ambalo kwa kawaida lina walinzi masaa 24.

Alifanikiwa kuingia na kupanda lifti hadi floor ya 15 , ambapo inasemekana akajirusha na kufariki hapo hapo hadi mida ya saa 2 ndipo mwili wake ukaonfolewa.

Mashuhuda wanasema alikuja na gari dogo aina ya suzuki swift ambayo aliipaki nje ya jengo hilo na kisha kuingia kwenye jengo hilo ambalo ni moja ya majengo marefu hapa tz.

Je nini kilimsibu kijana mwenzetu?

Inasemekana huyu kijana amewahi kufanya kazi kama MC?

Baadhi wanao mfahamu wanasema jumapili alikua kanisani vizuri, na wala hakuonyesha dalili zozote za msongo wa mawazo nk.

Je jina lake halisi ni nani na anaishi wapi?

RIP kijana mwwnzetu.

Jambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC
20230523_170448.jpg
 
Naomba huu uzi tusiuchanganye, ni uzi ambao utatusaidia wengi ukizingatia lililompata mwenzetu laweza mpata mtu yeyote.

Majura ya saa 11 alfajiri, kijana huyu alifanikiwa kuingia jengo ambalo kwa kawaida lina walinzi masaa 24.

Alifanikiwa kuingia na kupanda lifti hadi floor ya 15 , ambapo inasemekana akajirusha na kufariki hapo hapo hadi mida ya saa 2 ndipo mwili wake ukaonfolewa.

Mashuhuda wanasema alikuja na gari dogo aina ya suzuki swift ambayo aliipaki nje ya jengo hilo na kisha kuingia kwenye jengo hilo ambalo ni moja ya majengo marefu hapa tz.

Je nini kilimsibu kijana mwenzetu?

Inasemekana huyu kijana amewahi kufanya kazi kama MC?

Baadhi wanao mfahamu wanasema jumapili alikua kanisani vizuri, na wala hakuonyesha dalili zozote za msongo wa mawazo nk.

Je jina lake halisi ni nani na anaishi wapi?

RIP kijana mwwnzetu.

Jambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Mbona yule shuhuda mwingine alisema anakujaga kuswali kwenye msikiti uliopo gorofa ya 15 huku wewe unasema jumapili alikua kanisani!
 
Jambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Mboni hii ni story tofauti au wamekufa wawili pale Makumbusho, maana story niliyosikia Mimi jamaa alienda kuswali Msikitini alipomaliza kuswali ndio watu wakamuona flo ya juu akafungua kioo akajirusha mpaka Chini na anafahamika sio kwamba hawamfahamu chanzo ni msogo wa mawazo na ugumu wa Maisha kaona ni Bora ajimalize kuliko kuendelea kuishi
 
Stress siku zote huwa ni kama upepo, mawazo mabaya yakikujia kichwani ukijipa muda yatapita, na yatapita pale ambapo utapata solution au vinginevyo.

Tatizo linakuja pale ambapo wazo husika hukulipatia solution, hili naturally litajirudia kwenye ubongo ili ulipatie majibu, hapa ndipo stage ya kwanza ya hawa wanaoamua kujiua inapoanzia.

Hili wazo likija kwa mara ya pili lazima utakuwa na option mbili, moja nzuri, na nyingine mbaya, sasa ni kwanini wengine huamua kuichukua option mbaya kama mhanga aliyejiua?

Wengi hufanya hivyo wakiamini kwamba kujiua ndio better and easy option, hawa wanasahau hakuna tatizo jipya duniani, linalokusumbua leo ndilo lilipatiwa jibu na mwenzako jana, ONGEA na wachache, lazima kwenye ushauri utaopewa kuna milango ya solution itaanza kufunguka.

Ukishaanza kufunguliwa njia, utaongezea na mawazo yako kulingana na mazingira uliyopo kama ni kazini au nyumbani, hapo utazidi kupata njia za ufumbuzi wa tatizo lako, kuongea na watu ni muhimu sana, hasa ndugu na marafiki wa karibu, not everyone.
 
Back
Top Bottom