The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali samaki za kukaanga upate na kachumbariAnauacha ugari wa bure
Ndo maana Mpwayungu Village hayupo jamvin toka asubuhi.Atakuwa alikuwa Mwalimu huyu. Hawa jamaa tuwaangalie kwa karibu wataisha
Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MCNaomba huu uzi tusiuchanganye, ni uzi ambao utatusaidia wengi ukizingatia lililompata mwenzetu laweza mpata mtu yeyote.
Majura ya saa 11 alfajiri, kijana huyu alifanikiwa kuingia jengo ambalo kwa kawaida lina walinzi masaa 24.
Alifanikiwa kuingia na kupanda lifti hadi floor ya 15 , ambapo inasemekana akajirusha na kufariki hapo hapo hadi mida ya saa 2 ndipo mwili wake ukaonfolewa.
Mashuhuda wanasema alikuja na gari dogo aina ya suzuki swift ambayo aliipaki nje ya jengo hilo na kisha kuingia kwenye jengo hilo ambalo ni moja ya majengo marefu hapa tz.
Je nini kilimsibu kijana mwenzetu?
Inasemekana huyu kijana amewahi kufanya kazi kama MC?
Baadhi wanao mfahamu wanasema jumapili alikua kanisani vizuri, na wala hakuonyesha dalili zozote za msongo wa mawazo nk.
Je jina lake halisi ni nani na anaishi wapi?
RIP kijana mwwnzetu.
Jambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Mashuhuda wanasema
Inasemekana huyu kijana amewahi kufanya kazi kama MC?
Baadhi wanao mfahamu wanasema jumapili alikua kanisani vizuri, na wala hakuonyesha dalili zozote za msongo wa mawazo nk.
Ungeanza na mashuhuda na wanao mfahamuJe jina lake halisi ni nani na anaishi wapi?
Mbona yule shuhuda mwingine alisema anakujaga kuswali kwenye msikiti uliopo gorofa ya 15 huku wewe unasema jumapili alikua kanisani!Naomba huu uzi tusiuchanganye, ni uzi ambao utatusaidia wengi ukizingatia lililompata mwenzetu laweza mpata mtu yeyote.
Majura ya saa 11 alfajiri, kijana huyu alifanikiwa kuingia jengo ambalo kwa kawaida lina walinzi masaa 24.
Alifanikiwa kuingia na kupanda lifti hadi floor ya 15 , ambapo inasemekana akajirusha na kufariki hapo hapo hadi mida ya saa 2 ndipo mwili wake ukaonfolewa.
Mashuhuda wanasema alikuja na gari dogo aina ya suzuki swift ambayo aliipaki nje ya jengo hilo na kisha kuingia kwenye jengo hilo ambalo ni moja ya majengo marefu hapa tz.
Je nini kilimsibu kijana mwenzetu?
Inasemekana huyu kijana amewahi kufanya kazi kama MC?
Baadhi wanao mfahamu wanasema jumapili alikua kanisani vizuri, na wala hakuonyesha dalili zozote za msongo wa mawazo nk.
Je jina lake halisi ni nani na anaishi wapi?
RIP kijana mwwnzetu.
Jambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Mboni hii ni story tofauti au wamekufa wawili pale Makumbusho, maana story niliyosikia Mimi jamaa alienda kuswali Msikitini alipomaliza kuswali ndio watu wakamuona flo ya juu akafungua kioo akajirusha mpaka Chini na anafahamika sio kwamba hawamfahamu chanzo ni msogo wa mawazo na ugumu wa Maisha kaona ni Bora ajimalize kuliko kuendelea kuishiJambo la kujifunza.. wanaume tujifunze kushare mambo yanayo tusibu hata kama tutaaibika.
Na ndio nilivyosikia Mimi alienda kuswali Msikiti km kawaida yake na wanamjua pale MakumbushoMbona yule shuhuda mwingine alisema anakujaga kuswali kwenye msikiti uliopo gorofa ya 15 huku wewe unasema jumapili alikua kanisani!
Hv mmesema ana miaka 24 huyu mwamba si ndio!!!!!Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MCView attachment 2632647