Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RipHapo kuna mawili kajirusha au karushwa!
Anyway jengo hilo la mzee mringo si lina macctv ya kutosha,waanze hapo
Watapata majibu
Ova
Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2632483
Somehow you're there at the right track.Mbona wanasema anafahamika kwa jina la JOEL ni MC maarufu tu...iweje aende kusali msikitini? Halafu hapo Pembeni yake kuna TAASISI ambayo ukienda kinyume utajikuta kwenye Mtaro au Kisima.
Aliyefariki ni Mkristo ,why aende kusali msikitini? Ma MC wengi huwa ni watu wa vitengo.
Hapo kuna mawili au matatuHistoria yake ya mafanikio inaonekana labda alikuwa mtu wa kitengo ,maana amenzia kwenye saidia fundi ujenzi,kisha kupaka rangi kwenye nyumba then akamove kwenye u-MC! Alikuwa yupo vizuri ana push ndinga safi tu! Mambo ya kusema ugumu wa maisha kama wadau wanavyosema si kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hasa kama alikuwa anapenda uzinduzi wa +255 Kigoma
Hapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
Ndio muhimu..Apumzike anapostahili!!
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.
Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.
=====
Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.
Hapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
Yule jamaa kifo kile kama alijitakiaTena alifanya interview kabisa kabla ya kujirusha na kujisifu kuwa alishafanya mirusho kadhaa
Labda zilifanyiwa kama zile za kwenye compound ya wabunge DodomaSure ,ngoja tusibiri CCTV Footage maana wanasema zipo.
Kama watu wa kitengo possible .3 inahusika
Jengo lile litakosa kweli cctv cameras
Mnatofautishaje mtu aliyesukumwa kwa makusudi ma aliyejirusha na aliyedondoka bahati mbaya?Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.
Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.
=====
Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.
Ndo huyo huyo ...Maisha yana siri sana na ana familia yake kabisaHuyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2632483
Hili ni tatizo kubwa sana. Hii nchi Kuna watu wanapesa hawajui hata waitumiejeUgumu wa maisha!Tanzania viongozi wanakula na kusaza.wananchi wamesahaulika
Ndo maana inahitaji umakinibmkubwa uhakikishe unakufaHivi ukijirusha ukapona halafu miguu ikavunjika inakuwaje hapo?
Jamaa alikuwa ana introduce mchezo mpya hapa Bongo.Yule si alikuwa anafanya mchezo wa kuruka na tank la maji liliandaliwa ila aligonga pembeni ya tank akavunjika miguu akafia hospitalin..