TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
20230523_170438.jpg
 
Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MC [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]View attachment 2632483

Historia yake ya mafanikio inaonekana labda alikuwa mtu wa kitengo ,maana amenzia kwenye saidia fundi ujenzi,kisha kupaka rangi kwenye nyumba then akamove kwenye u-MC! Alikuwa yupo vizuri ana push ndinga safi tu! Mambo ya kusema ugumu wa maisha kama wadau wanavyosema si kweli.
 
Mbona wanasema anafahamika kwa jina la JOEL ni MC maarufu tu...iweje aende kusali msikitini? Halafu hapo Pembeni yake kuna TAASISI ambayo ukienda kinyume utajikuta kwenye Mtaro au Kisima.

Aliyefariki ni Mkristo ,why aende kusali msikitini? Ma MC wengi huwa ni watu wa vitengo.
Somehow you're there at the right track.
Neno "kajirusha" kwenye hili tukio linaonekana limetumika tu makusudi kama "scapegoat" ya kuficha na kufunika ukweli wa mambo ili kifo chake kionekane kama ajali ya kawaida na wala siyo "tukio la kupangwa"
 
Historia yake ya mafanikio inaonekana labda alikuwa mtu wa kitengo ,maana amenzia kwenye saidia fundi ujenzi,kisha kupaka rangi kwenye nyumba then akamove kwenye u-MC! Alikuwa yupo vizuri ana push ndinga safi tu! Mambo ya kusema ugumu wa maisha kama wadau wanavyosema si kweli.
Hapo kuna mawili au matatu
1. Kajirusha
2. Karushwa
3. Kashurutishwa kujirusha
 
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.

Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.

=====

Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.


Sasa fire imeenda kufanya nini !!
Eti fire nayo imefika kwa wakati.
 
Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.

Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.

=====

Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.

Mnatofautishaje mtu aliyesukumwa kwa makusudi ma aliyejirusha na aliyedondoka bahati mbaya?
 
Back
Top Bottom