TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

yule bwege alikuwa anajifanya mtu wa sarakasi na mazingaombwe..alikaa ICU siku mbili akarudi kwa BABA
Sio mazingaumbwe aliiga mchezo kama ulaya wazungu wanaruka majengo marefu wao wanakuwa na vifaa ila yeye aliweka simtak lenye maji kwenye kuruka aligonga pemben ya tank af akaingia ndan.alivunjik miguu yote 2 akafa.
 
Sio mazingaumbwe aliiga mchezo kama ulaya wazungu wanaruka majengo marefu wao wanakuwa na vifaa ila yeye aliweka simtak lenye maji kwenye kuruka aligonga pemben ya tank af akaingia ndan.alivunjik miguu yote 2 akafa.
Labda mama yake alikuwa bado kijana akajua lazima atapata mimba na kuzaa mtoto mwingine(replacement)
 
Wazungu wakisema hatuna akili tusikatae.tangu saa 11 mpaka saa 2 mnauangalia tu?
Hamna vituo vya polisi?hospital?
Hapana mkuu,

Ni lazima uchunguzi ufanyike.

Hata wazungu maiti haiwezi kuondolewa haraka inachukua masaa kadhaa

Nimeshuhudia kwa macho barabara zilifungwa siku nzima na maiti ikifanyiwa uchunguzi
 
Back
Top Bottom