Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3 ndo iko sahihi zaidi, kuna jambo linapotezwa ushahidi.
Ufanyike uchunguzi pia wa wale waumini waliouliwa na mchungaji MWAMPESA kule kaskazini, aliwaua kwa kuwatoa kafara ya kujenga motel kule nyanda za juuKarushwa au kajirusha ??
Uchunguzi ufanyi
Kabisa kiongozi,ila ushahidi ndo hatunaInaweza ikawa mambo ya mapenzi
Huwezi jua
Ova
Niki zoom Taasisi moja iloyo Jirani hapo na hili Tukio nalazimika Kuamini kuwa huyo Mtu hakijirusha bali alirushwa kwa sababu za Kumnyamazisha au alikuwa na Uadui na Mteuwaji Mkuu hivyo Watu wa Mfumo wameamua Kumuondoa kwa Mbinu hiyo.Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi.
Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri zitakavyopatikana.
======
Kijana asiyefahamika aliyekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amefariki baada ya kujirusha kutoka gorofa ya 15 katika jengo la Derm lililopo Makumbusho, Dar es Salaam.
Bongo kuna maeneo yanasupport huo urukaji kweli? Au ni kujitaftia kifo tu.Sio mazingaumbwe aliiga mchezo kama ulaya wazungu wanaruka majengo marefu wao wanakuwa na vifaa ila yeye aliweka simtak lenye maji kwenye kuruka aligonga pemben ya tank af akaingia ndan.alivunjik miguu yote 2 akafa.
Huyu Jamaa ndio Tushamsahau!!Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Sio rahisiiiiInaweza ikawa mambo ya mapenzi
Huwezi jua
Ova
R.I.PHuyu Jamaa ndio Tushamsahau!!View attachment 2632363
Yan hapo ni mapenz au ugumu wa maisha.Sio rahisi
Wasukuma tumekukosea nini? Ina maana sisi ndo washamba kuliko makabila mengine?unaweza kudhani kajirusha kumbe ni msukuma alikua anashangaa shangaa akatokea dirishani bahati mbaya
Kwenye mapenzi labda UgoniYan hapo ni mapenz au ugumu wa maisha.
Yule jamaa si alikuwa anataka kujifanya supermanKuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Hakufa, alivunjika vunjika sehemu mbali mbali za mwili ikiwamo miguu na mikono. Alikuwa bado mzima akapelekwa hospital.Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Akili sasa inaanza kufanya kazi vizuri maana unakuwa una uwezo wa kutumia akili yako kisawa sawa.Hivi ukijirusha ukapona halafu miguu ikavunjika inakuwaje hapo?
Sumu ya kuulia wadudu mashambani. Ukiinywa binadamu inakupumnzisha kwa amani.Didimac n nn?
Kweli wajinga ndio waliwao na mchuma janga hula na wakwao kwe nchi iliyoendelea upumbavu huu hauruhusiwi na mwenye jengo itabidi awajibike alipe madhara ya hizi sarakasi za kipumbavuHuyu Jamaa ndio Tushamsahau!!View attachment 2632363
Hapo hasipitali hiko karibu tu tena sio 1 sinza kuna hospitali na mwenge Rufaro hii ya jeshiWazungu wakisema hatuna akili tusikatae.tangu saa 11 mpaka saa 2 mnauangalia tu?
Hamna vituo vya polisi?hospital?