Mc=Master of ceremony.Huyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MCView attachment 2632647
Hivi huyu ndiyo mleta mada unamuita kijana? Lizee zima hili (liko kwenye 50s ) halafu unaliita kijanaHuyu ndiy kajirusha ghorfan na kufa hapohapo alikuwa ni MCView attachment 2632647
La kuchafukwa na chaki tu hilo siyo sababu mhimu ya kile kinakupelekea kujirusha you ya orofa mkuu, sema kiini Chake tukusaidieMi mwenyewe msipokuja kuniona kesho kazini nikichafuka na chaki Kwa class Ili mnipee Kaz nyingine ....najirusha pia KIUKWELI🤒
Majaliwa kipaji chake cha kuokoa kimeharibiwa kwa kupelekwa chuo.Majaliwa hajawahi kumuokoa mhanga huyo wa AJALI?
Wabongo tena kikitokea kitu kila mtu atasema lake ni changamotoMbona yule shuhuda mwingine alisema anakujaga kuswali kwenye msikiti uliopo gorofa ya 15 huku wewe unasema jumapili alikua kanisani!
Huyo alikuwa akifanya michezo ya kujirusha kwenye maghorofa,hakujirusha ili ajiue.Kuna jamaa alijirusha pale magomeni kwenye ghorofa za Watumishi House alafu akafikia kwenye pipa la maji maarufu kama Sim tank na kufa palepale
Mimi mswahili kwanza hilo jina lako tu pita kushoto..Sipendi shoboKumbe hata nyie waswahilina mnakuwaga na huruma?
Mshahara hautoshi nifundisheni matumiziLa kuchafukwa na chaki tu hilo siyo sababu mhimu ya kile kinakupelekea kujirusha you ya orofa mkuu, sema kiini Chake tukusaidie
Tunaishi ka ng'ombe...Kweli kabisa usemayo.
Tukio kama hili kwanza hata umati wa watu haitakiwi hapo zaidi ya vyombo habari, Usalama na watu wa paremedic Ambulance na mwili kuondokewa haraka iwezekanavyo Marehemu anasitiriwa!
Watu wameacha shughuli Aonasb na kwenda kushangaa waTanzania bado tuko Nyuma.
Usiruhusu kuwa na kazi moja tu mkuu,Mshahara hautoshi nifundisheni matumizi
Acha ujingaKavaa Pete ya ndoa
KATAA NDOA
NDOA NI STRESS
NDOA NI KIFO
Mtakavyonipopoa sasa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji2960][emoji847]
Alikuwa mshauri pia kwa wenye stressduh aiseee familia yake inapitia magumu kipindi hiki
Nipeni mtaji mkuu...nianze kujumua mazao washaanza kuvuna saiviUsiruhusu kuwa na kazi moja tu mkuu,
Oo upo mom? Umepotea jukwaani! Sawa cute.... nimeandika tu kuwa yaweza kuwa sababu pia...Acha ujinga
[emoji23]mwamba alitanua miguu ndo kilicho muangushaHuyu Jamaa ndio Tushamsahau!!View attachment 2632363