Joel Nanauka akifurahia ndoa

Joel Nanauka akifurahia ndoa

Watanzania wengi wana wivu wa kijinga sana na roho za kifukara kama wachawi. Ukifuatiliaji comments za wengi humu watu roho zinawauma Ile mbaya Kwa mafanikio ya Nnanauka. Ni wachache sana Wanao appreciate mafanikio ya Joel na usmart wake kichwani.
eti anakuambia anasoma vitabu😂😂

kwani mashuleni na vyuoni si wanatumia vitabu, sasa kwa nini kunakuwa uelewa tofauti? kwa nini Kuna wanaofaulu na wanaofeli?

WAJINGA SANA
 
Werevu huwatumia wajinga kama mtaji
ukishasema muelevu basi jua ana kitu

wewe mwenyewe ujinga wako ndio umekufanya utoe pesa kununua simu zilizotengenezwa na waelevu

ujinga wako ndio umekufanya ukawape pesa madaktari ili wakuzalishe au wamzalishe mkeo

ukiwa mwerevu utajua kuwa huu si ujinga bali kutegemeana katika kazi
 
sifa moja wapo ya maskini ni kuchukia mafanikio ya watu

kuwa na chuki ni umaskini mkubwa kuliko hata umaskini wa pesa maana umaskini huo ni ngumu kuondoka labda ufe nao ndio utaondoka
Maskini choka mbaya kama ninyi ndio mnahitaji kupewa matumaini uchwara ya kuwafariji na ukapuku wenu.

Ndio maana mnawasifia hao Motivation speakers uchwara wanao wapa faraja ya umaskini wenu.
 
Huyu jamaa alipata GPA ya 5 hapo UDSM je kuna ukweli wowote? nimesoma kitabu chake kimoja mwanzoni pale kaeleza kuwa alipataga GPA ya 5
 
Nimetumia almost dakika 15 kupitia huu uzi, licha ya jina la mada kuwa tofauti na watu wanachokijadili itoshe kusema watanzania wengi tuna chuki za kipumbavu tujitahidi kutoka kwenye hilo dimbwi.

Ukiona mtu anafanya kitu ata kwa udogo as long as havunji sheria za nchi na kuna baadhi ya watu anagusa maisha yao hakuna haja ya kumjengea chuki, wewe mwenye maarifa mengi na haujawahi hata kusaidia chochote na maarifa yako makubwa how comes unapata nguvu ya kunyooshea kidole mtu anayefanya.
 
Kihaba boy yule. Jamaa yupo vizuri sana kichwani. O-Level mwaka 2002 alikuwa mwanafunzi wa pili kitaifa kwa ufaulu wa kwanza akiwa Moses Mwizarubi. Nilikuwa nafuatilia sana maana ule ulikuwa mwaka wangu ingawa mimi sikubahatika kusoma shule ya vipaji but nilikuwa napenda mambo ya "Education is Better than Money". Ningejuaga kama Money is better than education ningeishiaga form IV tu nikaingie zangu mishen town. 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Poleeee sanaa broohzz!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yule ni Mwalimu wa chuo kikuu nje anafundisha kwa njia ya masafa.


Yule ni mwandishi wa vitabu

Ni Speaker

Ni psychologist

Ni mentor anafanya mentorship

Ana NGO yake inaitwa Nanauka Foundation.

Anafanya Research ni researcher

Nanauka ni partner anafanya kazi na serikali katika kutoa huduma ya self-development tena kwa viongozi wakubwa .

Sasa MTU kama huyo atakosaje PESA hata million kadhaa

Kwanza akipokea CALL moja ktk foundation si HELA nyingi tu

Kwanza hela yake anayochukua YouTube si ni mshahara kabisa wa MTU
Safi sana. Nilichogundua wengi humu wanasumbuliwa na wivu. Ooh ka copy ooh hakuwa TO yani ilimradi tu. Hata huko mitandaoni mnakosoma si mawazo ya watu wameandika? Halafu kila mtu ana njia zake za kutafuta ugali ku Copy na kujazia nyama hadi kupata watu wakusoma na ku enjoy ni akili kubwa pia . Mbona wewe hujaweza kufanya hivyo kama ni rahisi. Nanauka ni akili kubwa! Go Nanauka hupoi wala huboi. Wakuache!
 
Back
Top Bottom