Jogging pembeni ya barabara zinagharimu UHAI

Nakuja
 
Tutazika Hadi lini? Barabara mpya ya Makongo magari yanakimbia balaa (hususani gari zisizo na namba za usajili, hata ikikugonga ni ngumu kubaini usajili wake). Madalali wa magari mlimani city hizi gari zisizo na namba mnazikimbiza ili iweje?
 
Umeongea point sana bro
 
Kukimbia barabarani ni kweli c salama ila pia kukimbia kila siku uwanjani kwenye mazingira yale yale kunachosha
 
Wengi ni Show off,unakuta barabara ni ndogo ila mkimbiaji anajikuta na yy ni gari
 
Umeandika kweli tupu
Pole Sana kwa kuondokewa
 
Pia mnaofanya mazoezi barabarani vaeni nguo zenye rangi ya mg'ao kama reflector !! Mtu anakimbia kama full nyeusi juu chini !!
Mbali na hapo kukimbia barabarani bado sio salama
Wengine wanaweka na muziki kabisa
 
Pia mnaofanya mazoezi barabarani vaeni nguo zenye rangi ya mg'ao kama reflector !! Mtu anakimbia kama full nyeusi juu chini !!
Mbali na hapo kukimbia barabarani bado sio salama
Wengine wanaweka na muziki kabisa
Mi huwa nawahi sana kumi na moja alfajir muda huo magari sio mengi ila kukimbia uwanjani kila siku kunachosha
 
Wengi ni Show off,unakuta barabara ni ndogo ila mkimbiaji anajikuta na yy ni gari
Kaka sio wote ni show off wengine kukimbia uwanjani kunatuchosha kila siku ndio maana tunaamua kubadilisha mazingira japokuwa barabarani sio salama ila kuna raha yake asikwambie mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…