Johari: Nimeshakua sasa, kiukweli nina kiu ya mume

Johari: Nimeshakua sasa, kiukweli nina kiu ya mume

Alopaswa kuwa nao kama mume wameishaoa. Huyu atatuharibia watoto wetu! kama wenzake wanavyofanya.
 
40 yrs ndo mume wa kumuoa..unless anatafuta ambae ni 60 yrs!
 
Labda kama anataka kulea mbona vijana wako wengi wanahitaji mashugamam
 
xJohari.jpg.pagespeed.ic.g4eYejXA2L.jpg


Msanii wa filamu, Johari Chagula amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa ana kiu yakumpata mume sahihi ambaye ataingia naye kwenye maisha ya ndoa.
Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, amesema umri wake kwa sasa unamruhusu kuingia kwenye maisha ya ndoa

“Mimi ni mwanamke kamili, ni mtu mzima. Nimeshakuwa sasa, kwahiyo kiukweli nina kiu ya mume,” Johari aliliambia gazeti la Mtanzania. “Mungu akinipa mume bora, nitaolewa. Sitaki kuzungumzia sana mambo yaliyopita, lakini muhimu kwa sasa ni mume,”

Mbali na hayo mwingizaji huyo amewataka kukaa mkao wa kula kwa ajili ya filamu yake mpya ambayo amewashirikisha wasanii wachanga kutoka mkoani Mwanza.
Johar kwa muda sasa amekuwa akilialia kuwa anahitaji Mume,huenda hapa JF akapatikana wa kumuoa.....nilishawah kuona akinukuliwa na EATV na EA-RADIO akisema anatafuta MUME
 
Kwa tangazo lake hili mimi naona bado hajielewi. Hakuna mwanaume - walio wengi - anayeoa bila kuangalia historia ya muolewaji.
 
Kweli majuto ni mjukuu....
Yaani huyu keshakua ajuza, ndipo anakumbuka shuka wakati kumesha pambazuka[emoji47] [emoji47]
 
Nashindwa kuwaelewa hawa...
wengi wao ujana wanautumia vibaya tena wanamaliza uchafu wote....
wakichokwa ndio wanaanza nyimbo....
na kuzaa zaa ovyo.... kwani huwa hawasomi alama za nyakati,?
Ulimbukeni wa ustar unawazuzua maskini....
 
U know ,,,with lemu bebez from Tz...' Le Ngozi soft...: nakupenda mpaka naumwa ...
 
Back
Top Bottom