#DODOMA HIYOO KWA LISSU KULE!Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , SirariView attachment 1558421View attachment 1558422View attachment 1558423View attachment 1558424View attachment 1558425
Hivi chadema kwanini wasitumie kiswahili Nguvu za umma - badala ya kiingereza - people's power!? Itavutia na kueleweka kwa wengi. Tunivunie chetuPeeooooppllleeeeeeeeezzz pawaaaaaaahhhh
Leo magufuli ameomba apewe miaka 5 kama walivyopewa maraisi wengine nahisi huyu Mzee ameshaona namna watanzania wanvyochukizwa na uongozi wake
Daah hizi dharau sasa daah mgombea ubunge anampita nyomi mgombea wake wa urais!!!??
Makamanda pumzi zimekata sasa mnapoteanautakuwa ulienda kudanga si kawaida lako uwe kwenye mikutano ya upinzani bibie
Siyo kweli, overall lissu anawazidi wagombea wote wanaoweza kuletwa na chadema.Heche angegombea uraisi nchi ingetikisika....
huyu waliyetuwekea too much mbwembwez
Kwi kwi kwiNimeahuhudia mkibeba watu kwa malori kutoka miji ya jirani
DODOMA ndiyo mkoa namba 1 kwa watu wake kutojitambua ule upofu wao umeingia Hadi Kwenye vichwa vyao
Dom hyo hapoMbona Heche kajaza kuliko lissu Dodoma?
Afadhali kama ni kweli, maana mmezingua sisi tulio mbali hatupati updates na wala hakuna mtiririko mzur wa utoaji taarifa, ni clip zisizo na mwendelezo ndizo wanatuchosha nazo. Idara yao ya habar itakuja kukumbuka shuka kumeshakuchaDom hyo hapoView attachment 1558506
Mtu yeyote mwenye akili timamu anaachaje kumchagua John Heche??Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , SirariView attachment 1558421View attachment 1558422View attachment 1558423View attachment 1558424View attachment 1558425
Dodoma kule hali ya umaskini ni mbaya mno hadi kwenye ubongo.DODOMA ndiyo mkoa namba 1 kwa watu wake kutojitambua ule upofu wao umeingia Hadi Kwenye vichwa vyao
Ndio vzuri ili Jpm achaguliwe kwa Wingi dodoma.Umeniwahi mkuu
Wapi?Kule ulisemaje?
Kule MNEC alishasema kila mtu apambane na hali yake. Hakuna mbeleko kule vinginevyo unachinjwa mchana kweupe.Heche anasubiri kuapishwa, na lazima ataapishwa, hapo hakuna mjadala, watu wa Tarime hawapendi michezo ya kitoto.
Mimi najua chadema mtapata wabunge wasiozidi 10 na katika hao 10 Heche yumoKule ulisemaje?
Anaomba kama walivyopewa na wengine?? Maji ua shingo!Leo magufuli ameomba apewe miaka 5 kama walivyopewa maraisi wengine nahisi huyu Mzee ameshaona namna watanzania wanvyochukizwa na uongozi wake