Hivi kwa nini waitara yupo vile, bora hata katambiKwa akili zile za Waitara bora Heche achukue jimbo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa nini waitara yupo vile, bora hata katambiKwa akili zile za Waitara bora Heche achukue jimbo!
Tulia wewe dawa iwaingie sawasawa!Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , SirariView attachment 1558421View attachment 1558422View attachment 1558423View attachment 1558424View attachment 1558425
Waitara ndiyo mshindi hapo subirini.Waitara amejiingiza kwenye kina kirefu chenye mamba wakali mnoo 🤣🤣🤣
Nasikitika hapo mlevi mwenzangu bwana Waitara hana chake.Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , SirariView attachment 1558421View attachment 1558422View attachment 1558423View attachment 1558424View attachment 1558425
Duh!!! Hii ID ipo salama kweli? Isiwe imedukuliwa tu.Kwa akili zile za Waitara bora Heche achukue jimbo!
Majibu utayapata kesho, maana unadhani kuweka picha za uongo ni janja.Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , Sirari
Ccm imekataliwa na MunguHii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , Sirari
😂😂😂 Labda raia wanaimani na rais wao, Ila mbunge waliekuwa nae ndo walikuwa hawamwelewi🤔?Daah hizi dharau sasa daah mgombea ubunge anampita nyomi mgombea wake wa urais!!!??
Wewe iliongea nae, akakwambia kaikataa CCM??Ccm imekataliwa na Mungu
Mkuu huyu jamaa harudi. Isevu hii comment yako. Tarafa ya engwe ameleta madumu ya kunawia mikono wakati wa korona , hakuna alichofanya hiyo tarafa labda ile laki 5 aliyochanga mabinti wajengewe bweni LA kulala. Mbunge mzima anachanga Hela ya maendeleo ambayo hata anayohonga ni kubwa. MIE na hapo ningeweza hata changa 2M na Sina cheo chochote
Sisi watu watakatifu tunajuaWewe iliongea nae, akakwambia kaikataa CCM??
Mbeya ni nchi na Sugu ni raisBado Mbeya home sweet home,najua hom'boi Sugu atawafungishia watu virago.
Go hom'boi a.k.a Raisi wa Mbeya!
No Hate..No Fear...!!!! No retreat...no surrenderPeeooooppllleeeeeeeeezzz pawaaaaaaahhhh
😂😂😂 Labda raia wanaimani na rais wao, Ila mbunge waliekuwa nae ndo walikuwa hawamwelewi🤔?
Mimi najua chadema mtapata wabunge wasiozidi 10 na katika hao 10 Heche yumo