Uchaguzi 2020 John Heche aifuta CCM Tarime, hakuna namna Waitara anaweza kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, atavuna alichopanda

Uchaguzi 2020 John Heche aifuta CCM Tarime, hakuna namna Waitara anaweza kuwa Mbunge wa Tarime Vijijini, atavuna alichopanda

Heche anasubiri kuapishwa, na lazima ataapishwa, hapo hakuna mjadala, watu wa Tarime hawapendi michezo ya kitoto.
Mkuu huyu jamaa harudi. Isevu hii comment yako. Tarafa ya engwe ameleta madumu ya kunawia mikono wakati wa korona , hakuna alichofanya hiyo tarafa labda ile laki 5 aliyochanga mabinti wajengewe bweni LA kulala. Mbunge mzima anachanga Hela ya maendeleo ambayo hata anayohonga ni kubwa. MIE na hapo ningeweza hata changa 2M na Sina cheo chochote
 
Mkuu huyu jamaa harudi. Isevu hii comment yako. Tarafa ya engwe ameleta madumu ya kunawia mikono wakati wa korona , hakuna alichofanya hiyo tarafa labda ile laki 5 aliyochanga mabinti wajengewe bweni LA kulala. Mbunge mzima anachanga Hela ya maendeleo ambayo hata anayohonga ni kubwa. MIE na hapo ningeweza hata changa 2M na Sina cheo chochote
Hahahaa unaweza kujipa matumaini hewa. Sawa lakini jipe moyo.
 
Mlisema hatutapata hata mmoja. Na baadae mtasema tutapata 30, mwishoni mtakubali tu.
Msimamo wangu mie kila siku, na ambao ni uhalisia, Lisu havuki 20 % ya kura na wabunge wasiozidi 10
 
Bado Mbeya home sweet home,najua hom'boi Sugu atawafungishia watu virago.

Go hom'boi a.k.a Raisi wa Mbeya!
 
Heche anasubiri kuapishwa, na lazima ataapishwa, hapo hakuna mjadala, watu wa Tarime hawapendi michezo ya kitoto.
Laiti jamii zote,zingekuwa Zina akili Kama Hawa watani zangu,mtu ya Mara,Tunduma,Mbeya mjini.
 
Ngoja Sahv sisi wengine tuwe wafuatiliaji
Tu Ila ngoma huko tarime wataumizana

Ova
 
Wabunge wa cdm watafute kazi nyingine safari hii ngoma imebuma. Watamkumbuka sana EL tutakapo anza kutafuta mbunge wa cdm bungeni kwa kutumia kurunzi.

Mikutano ya JPM yote iko live kwa kila mtu kujionea huyu anayepotosha hapa kachanganyikiwa, haamini macho yake kwa kinacho endelea. Hamna namna, hamna jinsi ya kukusaidia.
 
Back
Top Bottom