Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Mkuu huyu jamaa harudi. Isevu hii comment yako. Tarafa ya engwe ameleta madumu ya kunawia mikono wakati wa korona , hakuna alichofanya hiyo tarafa labda ile laki 5 aliyochanga mabinti wajengewe bweni LA kulala. Mbunge mzima anachanga Hela ya maendeleo ambayo hata anayohonga ni kubwa. MIE na hapo ningeweza hata changa 2M na Sina cheo chochoteHeche anasubiri kuapishwa, na lazima ataapishwa, hapo hakuna mjadala, watu wa Tarime hawapendi michezo ya kitoto.
Mlisema hatutapata hata mmoja. Na baadae mtasema tutapata 30, mwishoni mtakubali tu.Mimi najua chadema mtapata wabunge wasiozidi 10 na katika hao 10 Heche yumo
Hahahaa unaweza kujipa matumaini hewa. Sawa lakini jipe moyo.Mkuu huyu jamaa harudi. Isevu hii comment yako. Tarafa ya engwe ameleta madumu ya kunawia mikono wakati wa korona , hakuna alichofanya hiyo tarafa labda ile laki 5 aliyochanga mabinti wajengewe bweni LA kulala. Mbunge mzima anachanga Hela ya maendeleo ambayo hata anayohonga ni kubwa. MIE na hapo ningeweza hata changa 2M na Sina cheo chochote
Msimamo wangu mie kila siku, na ambao ni uhalisia, Lisu havuki 20 % ya kura na wabunge wasiozidi 10Mlisema hatutapata hata mmoja. Na baadae mtasema tutapata 30, mwishoni mtakubali tu.
usiwafananishe "wakoma" na wakina "tata mura"Mbona Heche kajaza kuliko lissu Dodoma?
Hahahaha weka maneno ya akiba pia. Tutashinda na time yenu hii hiiMimi najua chadema mtapata wabunge wasiozidi 10 na katika hao 10 Heche yumo
Mkuu harudi nakuambia. Asubuhi tu anatolewaHahahaa unaweza kujipa matumaini hewa. Sawa lakini jipe moyo.
Sawa oktoba siyo mbali,Hahahaha weka maneno ya akiba pia. Tutashinda na time yenu hii hii
Ukweli ni kwamba Jambazi Lema,Mbowe,Sugu hao sahau.Quote my word!Vyovyote vileMlisema hatutapata hata mmoja. Na baadae mtasema tutapata 30, mwishoni mtakubali tu.
Laiti jamii zote,zingekuwa Zina akili Kama Hawa watani zangu,mtu ya Mara,Tunduma,Mbeya mjini.Heche anasubiri kuapishwa, na lazima ataapishwa, hapo hakuna mjadala, watu wa Tarime hawapendi michezo ya kitoto.
Nimejikuta nimekupa βlikeβ!Kwa akili zile za Waitara bora Heche achukue jimbo!
Editing..hawa wamejitokeza bila kuvutiwa na wanamuziki?
Maneno yenu tumeshayazoea.Ukweli ni kwamba Jambazi Lema,Mbowe,Sugu hao sahau.Quote my word!Vyovyote vile
Kwa Sirari, si ungesema tu, kutoka nchi jirani?!!Nimeahuhudia mkibeba watu kwa malori kutoka miji ya jirani
..hawa wamejitokeza bila kuvutiwa na wanamuziki?
Kwaio zile fedha mlizomhoga ndio mmekula hasaraKwa akili zile za Waitara bora Heche achukue jimbo!
Heche angegombea uraisi nchi ingetikisika....
huyu waliyetuwekea too much mbwembwez