John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Mchukueni heche awe katibu wa ccm mbona wako wengi tu huko kutoka chadema au tuwape na MBOWE awe mwenyekiti wa ccm chadema ni kiwanda cha viongozi nchi hii ukiacha na ccm iliyojaza wahuni na matapeli na sasa inazalisha viroboto.
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Naunga mkono hoja maana siasa za Mnyika ni za kistaarabu mno, ukiwa mstaarabu sana watawala wanakuona dhaifu. John Heche naibu Kigaila
 
Back
Top Bottom