John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

Mkuu, Katiba Mpya haitapatikana kwa azimio la CC ya CHADEMA. Process ya kufanya mabadiliko ya Katiba inasimamiwa na Bunge la JMT kupitia sheria ya Bunge inayotungwa kwa ajili hiyo.

CHADEMA wamepata wapi kura Bungeni za kuwawezesha kutunga sheria itakayosimamia mchakato wa mabadiliko ya Katiba kwa namna wanayotakata wao? Ndiyo maana nakuambia CHADEMA watapiga pesa kisha wasepe bila Katiba Mpya kupatikana, kama walivyofanya 2015!

BTW, kweli sikubaliani na CHADEMA katika maeneo mengi, lakini mimi sio CCM wala Serikali ya CCM. Naona unanijibu kama vile unaijibu CCM au Serikali ya CCM.
Nakujibu kama shabiki wa CCM. Mimi sijibishani na CCM au Serikali bali apologists wao ambao hawataki wakosolewe.

Ingekuwa Chadema inaamini kuwa Katiba Mpya itatokana na maazimio yao wala wasingejisumbua kuzunguka nchi nzima kuomba wananchi wasimame nao katika juhudi zao za kudai Katiba mpya.

Chadema wanajua bunge lililopo haliwezi kuwaunga mkono kwenye hili. Lakini kwa vile bunge linapata uhalali kutoka kwa wananchi, wananchi wakiamua kuwa wanataka Katibu hawatazuiwa na bunge.

Hizo pesa unazodai Chadema watapiga zinatoka wapi? Mwaka 2015 walijitoa baada ya kuona bunge la wakati ule linataka kubadilisha matakwa ya wananchi kwa faida ya chama chao. Na waliamini naively kuwa Rais yeyote atakaekuja ataendelea na mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Na mpaka sasa hamna Rais aliyesema hataki Katiba Mpya. Wanachosema ni kuwa Katiba Mpya sio priority kwao. Waaminiwe kuwa wakati muafaka ukifika itajadiliwa. Lakini hawatoi timeline ya huo wakati muafaka utafikiwa lini na nani ataamua kuwa ndio wakati muafaka.

Ni kweli kuwa Katiba Mpya haiwezi kupatikana bila CCM kuunga juhudi. Na kwa vile iliyopo inakipa privilege kubwa, njia pekee ya kukifanya chama hicho kukubali mabadiliko ya maana ni ile itakayotokana na presha kutoka kwa wananchi na sio chama chochote cha siasa. Ubaya kwa CCM ni kuwa siku hiyo ikifika, kitatoka madarakani na hakitarudi tena na historia yake itakuwa tainted for ever. Inawezekana wengi wetu hatutaiona hiyo siku lakini itakuja tu na Chadema na wengine watakumbukwa katika historia kuwa walisimamia haki ya wananchi kupata Katiba inayo reflect mahitaji yao.

Amandla...
 
Historia ni mwalimu mzuri. Chama cha PRI cha Mexico kilianzishwa mwaka 1929. Rais wa kwanza kutoka chama mbadala Mexico alipatikana mwaka 2000. PRI sasa hivi hakina nguvu ilichokuwa nayo hapo zamani.
The Indian National Congress Party kilianzishwa 1885 na ndio chama kilichoongoza juhudi za kudai uhuru kutoka kwa waingereza. Mahatma Gandhi, Nehru, Indira Gandhi na wengine walikuwa wanachama wa Congress. Mwaka 2014 ( miaka 67 toka India ipate Uhuru), walipoteza u waziri mkuu kwa chama cha BJP , kilichozaliwa 1980. BJP ndio kinatawala India mpaka sasa. Uchaguzi uliopita BJP walikishinda vibaya sana chama cha Congress.
Kwa sababu hiyo wale wanaoona kuwa kipimo cha ukomavu wa upinzani utakuwa katika uchaguzi wa 2025 wanakosea sana. Hata wasipofanikiwa mwaka huo mbegu zimeishapandwa na hamna wa kuzizuia kukua. Ni uamuzi wa chama tawala kuwa sehemu ya mageuzi yenye tija kwa watanzania wote au kuendelea kuweka madlahi chama chao juu ya maslahi ya taifa lote.

Amandla...
 
Nakujibu kama shabiki wa CCM. Mimi sijibishani na CCM au Serikali bali apologists wao ambao hawataki wakosolewe.

Ingekuwa Chadema inaamini kuwa Katiba Mpya itatokana na maazimio yao wala wasingejisumbua kuzunguka nchi nzima kuomba wananchi wasimame nao katika juhudi zao za kudai Katiba mpya.

Chadema wanajua bunge lililopo haliwezi kuwaunga mkono kwenye hili. Lakini kwa vile bunge linapata uhalali kutoka kwa wananchi, wananchi wakiamua kuwa wanataka Katibu hawatazuiwa na bunge.

Hizo pesa unazodai Chadema watapiga zinatoka wapi? Mwaka 2015 walijitoa baada ya kuona bunge la wakati ule linataka kubadilisha matakwa ya wananchi kwa faida ya chama chao. Na waliamini naively kuwa Rais yeyote atakaekuja ataendelea na mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Na mpaka sasa hamna Rais aliyesema hataki Katiba Mpya. Wanachosema ni kuwa Katiba Mpya sio priority kwao. Waaminiwe kuwa wakati muafaka ukifika itajadiliwa. Lakini hawatoi timeline ya huo wakati muafaka utafikiwa lini na nani ataamua kuwa ndio wakati muafaka.

Ni kweli kuwa Katiba Mpya haiwezi kupatikana bila CCM kuunga juhudi. Na kwa vile iliyopo inakipa privilege kubwa, njia pekee ya kukifanya chama hicho kukubali mabadiliko ya maana ni ile itakayotokana na presha kutoka kwa wananchi na sio chama chochote cha siasa. Ubaya kwa CCM ni kuwa siku hiyo ikifika, kitatoka madarakani na hakitarudi tena na historia yake itakuwa tainted for ever. Inawezekana wengi wetu hatutaiona hiyo siku lakini itakuja tu na Chadema na wengine watakumbukwa katika historia kuwa walisimamia haki ya wananchi kupata Katiba inayo reflect mahitaji yao.

Amandla...

In your last sentence you came very close to stating the reality on the ground!

Kuna kitu kimoja ambacho CHADEMA wanakifumbia macho. People don’t evolve in a quantum leap fashion. Evolutions occur very gradually and, in most cases, unnoticeably.

Ukiangalia mabadiliko makubwa yaliyopata kuikumba dunia yalitokea kama wimbi fulani la upepo (unstoppable wind). When time is ripe for a change, utashangaa. Hakuna Mange Kimambi, Maria Sarungi, Tundu Lissu, Freeman au Godbless Lema yeyote atakayehitajika kusukuma mtu yeyote kudai mabadiliko.

Kinachofanyika sasa ni zoezi la kutwanga maji kwenye kinu. The most likely outcome is just regrettable lawlessness, which I know won’t get anyone to the promised land! Na hili sidhani kama linaweza kukubalika na mtu yeyote mwenye dhamana ya kuongoza nchi.
 
In your last sentence you came very close to stating the reality on the ground!

Kuna kitu kimoja ambacho CHADEMA wanakifumbia macho. People don’t evolve in a quantum leap fashion. Evolutions occur very gradually and, in most cases, unnoticeably.

Ukiangalia mabadiliko makubwa yaliyopata kuikumba dunia yalitokea kama wimbi fulani la upepo. When time is ripe for change, utashangaa. Hakuna Mange Kimambi, Maria Sarungi, Tundu Lissu, Freeman au Godbless Lema yeyote atakayehitajika kusukuma mtu yeyote kudai mabadiliko.

Kinachofanyika sasa ni zoezi la kutwanga maji kwenye kinu. The most likely outcome is just regrettable lawlessness, which I know won’t get anyone to the promised land!
You are mistaken. Mabadiliko hayatokei hivi hivi. Lazima kuna watu walihangaika na kupanda mbegu za mabadiliko. Hauwezi kuwasifia wakina Martin Luther King Junior, Malcolm X bila ku acknowledge mchango wa wakina Sojourner Truth, Harriet Tubman, W.E.B DuBois, Billie Holiday, James Baldwin na wengine wengi waliopambana kabla yao bila mafanikio. The Civil Rights Movement na hata BLM Movement hazikuibukia kwenye vacuum kama unavyotaka kutuaminisha.
Hapa kwetu historia itawakumbuka wakina Mtikila, Lissu, Mbowe, Maria Sarungi, Fatma Karume na wengine wengi ambao katika uchache wao walipaza sauti kuwatetea wenzao. Bila juhudi za wote hawa mabadiliko hayatatokea. Ni kama vile vuguvugu ya kudai uhuru ilitokana na vijana wachache ambao baada ya kuona wazee wao wanawachelewesha waliamua kushika hatamu ya chama chao na kwenda kuwahimiza wananchi wenzao kuhusu haki yao ya kujitawala. Wakina Sykes, Nyerere, Kyaruzi, Bibi Titi, Phombeah, Kunambi, Mwakangale na wengine wangengoja litokee wimbi ambalo lingewaamsha watanganyika uhuru usingepatikana 1961. Kwa sababu hiyo sidhani kama histori itawaangalia vizuri wale ambao wamekubali kugeuka echo chambers badala ya kusimamia haki za wananchi wenzao.

Amandla...
 
You are mistaken. Mabadiliko hayatokei hivi hivi. Lazima kuna watu walihangaika na kupanda mbegu za mabadiliko. Hauwezi kuwasifia wakina Martin Luther King Junior, Malcolm X bila ku acknowledge mchango wa wakina Sojourner Truth, Harriet Tubman, W.E.B DuBois, Billie Holiday, James Baldwin na wengine wengi waliopambana kabla yao bila mafanikio. The Civil Rights Movement na hata BLM Movement hazikuibukia kwenye vacuum kama unavyotaka kutuaminisha.
Hapa kwetu historia itawakumbuka wakina Mtikila, Lissu, Mbowe, Maria Sarungi, Fatma Karume na wengine wengi ambao katika uchache wao walipaza sauti kuwatetea wenzao. Bila juhudi za wote hawa mabadiliko hayatatokea. Ni kama vile vuguvugu ya kudai uhuru ilitokana na vijana wachache ambao baada ya kuona wazee wao wanawachelewesha waliamua kushika hatamu ya chama chao na kwenda kuwahimiza wananchi wenzao kuhusu haki yao ya kujitawala. Wakina Sykes, Nyerere, Kyaruzi, Bibi Titi, Phombeah, Kunambi, Mwakangale na wengine wangengoja litokee wimbi ambalo lingewaamsha watanganyika uhuru usingepatikana 1961. Kwa sababu hiyo sidhani kama histori itawaangalia vizuri wale ambao wamekubali kugeuka echo chambers badala ya kusimamia haki za wananchi wenzao.

Amandla...

Approach ya hao waliofanikiwa haifanani na hii approach ya CHADEMA, ambayo kimsingi ina timetable. CHADEMA must be delusional inaposema haishiriki uchaguzi wowote mpaka Katiba Mpya ipatikane. Mabadiliko hayatokei kwa kufuata timetable; yanatokea in piecemeal na wakati mwingine unpredictably.

Njia sahihi ni kuendelea kushiriki chaguzi, hasa zile zenye potential ya kuwapa nafasi ya kuleta mabadiliko katika sheria mbalimbali. Wapinzani, kwa umoja wao, wakishakuwa ndiyo majority Bungeni, biashara ya Katiba Mpya itakuwa a piece of cake!
 
Approach ya hao waliofanikiwa haifanani na hii approach ya CHADEMA, ambayo kimsingi ina timetable. CHADEMA must be delusional inaposema haishiriki uchaguzi wowote mpaka Katiba Mpya ipatikane. Mabadiliko hayatokei kwa kufuata timetable; yanatokea in piecemeal na wakati mwingine unpredictably.

Njia sahihi ni kuendelea kushiriki chaguzi, hasa zile zenye potential ya kuwapa nafasi ya kuleta mabadiliko katika sheria mbalimbali. Wapinzani, kwa umoja wao, wakishakuwa ndiyo majority Bungeni, biashara ya Katiba Mpya itakuwa a piece of cake!
Zinatofautiana vipi? Chadema walikuwa delusional waliposhiriki uchaguzi wa 2020 baada ya kuona namna chaguzi zote za awamu ya 5 zilizofanyika. Watakuwa delusional zaidi wakishiriki chaguzi zozote katika mfumo wa sasa ambao chama tawala wameishajaza makada wao kama wasimamizi wa chaguzi. Delusional ni ACT-WAZALENDO walioamini kuwa chui atabadilika kuwa paka mpaka yalipowapata yaliyowapata Konde. Chadema wakishiriki uchaguzi wa mazingira haya watapewa wabunge wachache wasio na meno ili tu charade ya kuwa bunge ni vyama vingi iendelee. Na hamna atakaekuwa na sympathy nao maana watakuwa wameonyesha jinsi walivyo gullible.
Siamini kama uko naive kiasi hicho. Unaamini kweli CCM na NEC watakubali vyama vya upinzani upate majority? Hawa hawa ambao hawataki wapinzani wapate hata uenyekiti wa mtaa! Hawa ambao hawataki watu wajadili Katiba Mpya mpaka watakapojisikia wao? In your dreams.
Kwa imani yako hiyo kwa CCM basi nina mlima unaoitwa Kilimanjaro ninaoweza kukuuzia.

Amandla...
 
Zinatofautiana vipi? Chadema walikuwa delusional waliposhiriki uchaguzi wa 2020 baada ya kuona namna chaguzi zote za awamu ya 5 zilizofanyika. Watakuwa delusional zaidi wakishiriki chaguzi zozote katika mfumo wa sasa ambao chama tawala wameishajaza makada wao kama wasimamizi wa chaguzi. Delusional ni ACT-WAZALENDO walioamini kuwa chui atabadilika kuwa paka mpaka yalipowapata yaliyowapata Konde. Chadema wakishiriki uchaguzi wa mazingira haya watapewa wabunge wachache wasio na meno ili tu charade ya kuwa bunge ni vyama vingi iendelee. Na hamna atakaekuwa na sympathy nao maana watakuwa wameonyesha jinsi walivyo gullible.
Siamini kama uko naive kiasi hicho. Unaamini kweli CCM na NEC watakubali vyama vya upinzani upate majority? Hawa hawa ambao hawataki wapinzani wapate hata uenyekiti wa mtaa! Hawa ambao hawataki watu wajadili Katiba Mpya mpaka watakapojisikia wao? In your dreams.
Kwa imani yako hiyo kwa CCM basi nina mlima unaoitwa Kilimanjaro ninaoweza kukuuzia.

Amandla...

Time trumps everything; let’s wait and see.

...The risk of CHADEMA becoming irrelevant (just like previous leading opposition parties did) looms large though!
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Nani kakwambia CCM ni chama cha siasa?
CCM ni serikali

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Time trumps everything; let’s wait and see.

...The risk of CHADEMA becoming irrelevant (just like previous leading opposition parties did) looms large though!
It is a risk for every party. There used to be strong solo ruling parties like UNIP and KANU but were are they now?

Amandla...
 
It is a risk for every party. There used to be strong solo ruling parties like UNIP and KANU but were are they now?

Amandla...

A fall of an old ruling party due to obsolescence is consistent with normal life cycle. A premature fall of a party like CHADEMA cannot be blamed on obsolescence. It would just be due to long running strategic mistakes!
 
A fall of an old ruling party due to obsolescence is consistent with normal life cycle. A premature fall of a party like CHADEMA cannot be blamed on obsolescence. It would just be due to long running strategic mistakes!
You keep on insisting on putting the blame on Chadema instead of the party that is not allowing it to breathe. I don't see any strategic mistakes that you seem to be so fixated on. On the hand, the party of your choice, has a whole gallery of strategic mistakes. The latest one is the ongoing charade of branding Mbowe as a terrorist. And clamping down hard on any discussion about the new consistution. The other was of the over zealous tinkering with the last elections to such an extent that they had to take extraordinary measures to have a modicum of a pluralistic Parliament, fooling no one in the process.

Have no fear about Chadema. It has shown great resilience to be where it is right now. It will survive and prevail. One day.

Amandla...

Amandla....
 
You keep on insisting on putting the blame on Chadema instead of the party that is not allowing it to breathe. I don't see any strategic mistakes that you seem to be so fixated on. On the hand, the party of your choice, has a whole gallery of strategic mistakes. The latest one is the ongoing charade of branding Mbowe as a terrorist. And clamping down hard on any discussion about the new consistution. The other was of the over zealous tinkering with the last elections to such an extent that they had to take extraordinary measures to have a modicum of a pluralistic Parliament, fooling no one in the process.

Have no fear about Chadema. It has shown great resilience to be where it is right now. It will survive and prevail. One day.

Amandla...

Amandla....

Time will tell it all!
 
Sioni tatizo na JJ Mnyika. John Heche ni mzuri pia.
 
Hakika Karma inafanya kazi. Muombeni msamaha Dr. Slaa.
 
Back
Top Bottom