John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu. Naona unazungumza inavyotakiwa kuwa na sio ilivyo. Hiyo kupata nguvu ya kuongea kutoka kwa wananchi ni iwapo uchaguzi unaheshimiwa, na sio yale maagizo aliyotoa Magufuli kwenye uchaguzi. Huko nyuma unapozungumza ccm walikuwa wanapita zaidi ya 30% bila kupingwa? Huko nyuma ulikuwa unakuta Karatasi la kura rais aliye madarakani jina lake linakuwa juu bila kufuata alphabet za chama? Huyo mama hana hisani yoyote anatoa maana anajua fika hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.

Kwa mawazo haya sidhani kama mtafika 2024. Mnahitaji muujiza wa hali ya juu kutoka kwenye fikra tofauti ikimaanisha uongozi mpya na sio wa kiharakati). Huwezi kusema jina la rais liko juu na huku umeweka sahini ya kukubali kanuni zote za uchaguzi halafu unapindukia pale tuu ukishindwa uchaguzi. Karatasi za kura zinaangalia vigezo vingi pamoja na kupuguza makosa ambayo mpiga kura anaweza kukosea kama majina ya wagombea wawili wenye mvuto wakiwa karibu-karibu. Nashukuru Mama mmarekani wamewapa somo na mpaka sasa akili zinaanza kuingia, hakuna njia ya mkato na kutegemea nguvu ya nje kwenye kupambania haki.
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Nani alimua bwana Mangula sumu na kwann? Yeye yupo wapi sasaivi?
Mungu fundi wewe
 
Kwa mawazo haya sidhani kama mtafika 2024. Mnahitaji muujiza wa hali ya juu kutoka kwenye fikra tofauti ikimaanisha uongozi mpya na sio wa kiharakati). Huwezi kusema jina la rais liko juu na huku umeweka sahini ya kukubali kanuni zote za uchaguzi halafu unapindukia pale tuu ukishindwa uchaguzi. Karatasi za kura zinaangalia vigezo vingi pamoja na kupuguza makosa ambayo mpiga kura anaweza kukosea kama majina ya wagombea wawili wenye mvuto wakiwa karibu-karibu. Nashukuru Mama mmarekani wamewapa somo na mpaka sasa akili zinaanza kuingia, hakuna njia ya mkato na kutegemea nguvu ya nje kwenye kupambania haki.
Mbona CUF ambao walikuwa wanawaunga mkono sana mjengoni nao wametoka patupu? Au NCCR Mageuzi na sera yao ya utu?

Mama yupi Mmarekani unayemzungumzia? Huyu wa juzi?

Amandla...
 
Nilikuuliza unitajie vitu vinavyokufanya uamini kuwa alikuwa effective ili tutumie kigezo kimoja kuwapima.

Amandla...

Messaging consistency.

Tangu aondoke Dr. Slaa, imekuwa vigumu sana kujua CHADEMA inasimamia kitu gani.
 
Kwa mawazo haya sidhani kama mtafika 2024. Mnahitaji muujiza wa hali ya juu kutoka kwenye fikra tofauti ikimaanisha uongozi mpya na sio wa kiharakati). Huwezi kusema jina la rais liko juu na huku umeweka sahini ya kukubali kanuni zote za uchaguzi halafu unapindukia pale tuu ukishindwa uchaguzi. Karatasi za kura zinaangalia vigezo vingi pamoja na kupuguza makosa ambayo mpiga kura anaweza kukosea kama majina ya wagombea wawili wenye mvuto wakiwa karibu-karibu. Nashukuru Mama mmarekani wamewapa somo na mpaka sasa akili zinaanza kuingia, hakuna njia ya mkato na kutegemea nguvu ya nje kwenye kupambania haki.

Unaongea utoto gani dogo? Inaonekana uko kwenye kitengo cha propaganda na unaweza kuteka akili za wajinga tu. Kwa bahati mbaya unadhani kila mtu anaweza kutekwa na hizo propaganda zako mfu. Huo uchafu uitwao uchaguzi kila siku tuliweka wazi kuwa sio uchaguzi, bali ni ushenzi kama ushenzi mwingine wowote. Na kilichotokea wakati wa matokeo kiliendana waziwazi na matakwa ya yule kiongozi dhalimu aliye motoni. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.

Huyo mama wa kimarekani ndio kawarudishia akili nyie, maana siasa zimewashinda mmbeki kutegemea vyombo vya dola kupora chaguzi.
 
Messaging consistency.

Tangu aondoke Dr. Slaa, imekuwa vigumu sana kujua CHADEMA inasimamia kitu gani.

Ccm wakati wa JK, umeme wa gas ni muarobaini wa nishati hapa nchini, na tutazalisha 5,000mg maana umeme wa maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi. Ccm wakati wa Magufuli, umeme wa maji ndio sahihi maana ni wa bei rahisi, na gas sio yetu maana tumepigwa. Umeme wa maji tutazalisha 2,115mg. Hebu tupe ccm inasimamia nini hapo?
 
Nyie ndio non aligned mliokuwa aligned?
Swali gani hilo Mkuu. Nikumbushe.

Amandla...

Kama kuwa nonaligned means kutokuipinga CHADEMA basi kweli nitakuwa aligned!

Swali ni hili: Nani amewahi kuwa KM katika Kambi ya Upinzani, ambaye ni more effective kuliko Dr. Slaa?
 
Messaging consistency.

Tangu aondoke Dr. Slaa, imekuwa vigumu sana kujua CHADEMA inasimamia kitu gani.

Ccm wakati wa Magufuli tumepambana na Corona kwa maombi na Corona imeondoka. Hayo machanjo yao yana nia mbaya kwetu waafrika, hivyo tupige nyungu. Ccm chini ya Samia, chanjo ni salama kwetu maana nchi yetu sio kisiwa! Hebu tuambie kwa mifano hiyo msimamo wa ccm ni upi?
 
Heche siyo tu kwamba anafaa bali kwangu Mimi kwa Kuwa kamanda Mbowe ameishasema hatogombea tena umwenyekiti wa Chama, basi huyu jamaa anafaa kumrithi Mbowe.
Afai kabisa. Lissu anafaa
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Unafikiri uongozi ni kuropoka ropoka na kupayuka payuka pasipo kujua namna ya ku control temper zako
 
Ccm wakati wa JK, umeme wa gas ni muarobaini wa nishati hapa nchini, na tutazalisha 5,000mg maana umeme wa maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi. Ccm wakati wa Magufuli, umeme wa maji ndio sahihi maana ni wa bei rahisi, na gas sio yetu maana tumepigwa. Umeme wa maji tutazalisha 2,115mg. Hebu tupe ccm inasimamia nini hapo?

Hoja hazijibiwi hivyo, mkuu!

Imagine unapandishwa kizimbani kwa tuhuma za ubakaji na utetezi wako ukawa kwamba wabakaji wapo wengi tu mitaani. Unadhani nini kitatokea?
 
Hoja hazijibiwi hivyo, mkuu!

Imagine unapandishwa kizimbani kwa tuhuma za ubakaji na utetezi wako ukawa kwamba wabakaji wapo wengi tu mitaani. Unadhani nini kitatokea?

Nimeweka wazi unafiki wako. Nilitaka unionyeshe wanachosimamia ccm ili nijue uwezo wako wa kufikiri. Sasa ukae kwa kutulia.
 
Hata kuyajua ninayoandika humu huyajui!!! mimi na lumumba wapi na wapi ZWAZWA wewe!?
😳😳😳
Usituchagulie Katibu Mkuu. Hangaika na umbumbumbu wenu wa Lumumba!
 
Nimeweka wazi unafiki wako. Nilitaka unionyeshe wanachosimamia ccm ili nijue uwezo wako wa kufikiri. Sasa ukae kwa kutulia.

Wewe jibu hoja yangu. Hilo linalowahusu CCM lipeleke kwao watakujibu!
 
Jamani mbona hamuelewi? Ccm iliishakufa kitambo haipo, ebu polisi na tume yao ya uchaguzi wawaache ndani ya wiki moja tu kama mtawaona popote ktk nchi hii.

Ccm is defunct and only surviving behind the unprofessional police force and the bogus National Electoral Commission.
Kwa hio CDM ndio iko hai sio?.
 
Heche hana sifa ya kuwa SG wa chadema
Si Mchaga wala hatoki kaskazini
 
Ccm wakati wa Magufuli tumepambana na Corona kwa maombi na Corona imeondoka. Hayo machanjo yao yana nia mbaya kwetu waafrika, hivyo tupige nyungu. Ccm chini ya Samia, chanjo ni salama kwetu maana nchi yetu sio kisiwa! Hebu tuambie kwa mifano hiyo msimamo wa ccm ni upi?
Slaa alikuwa jembe, mshapoteana
NB:
Siku hizi magufuli jina lake mnaliandika kwa adabu sio tena mwendazake ama shetani ama ibilisi na mauchafu mengine what happened
 
Slaa alikuwa jembe, mshapoteana
NB:
Siku hizi magufuli jina lake mnaliandika kwa adabu sio tena mwendazake ama shetani ama ibilisi na mauchafu mengine what happened

Yule alikuwa ni kiongozi dhalimu, tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika. Hatujawahi kuandika jina la kiongozi muovu kwa kulipamba, dhalimu ni dhalimu fullstop.
 
Back
Top Bottom