John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

mkitaka chama kife, mpeni Heche uongozi wa juu. Mkurupukaji yule. na elimu hana. Mnyika ndo anafaa kuwa mwenyekiti ajae. Unafikiri wasomi watakubali kuwa chini ya Heche? Heche aendelee kuwa mpiga debe wa chama.
 
Mnyika ni dhaifu ajawahi kutana na mkono wa dikteta,Heche ni mwanaume wa mapambano
 
Siku Chadema mkiamka nakukubali kuwa Mbowe IS NOT YOUR FUTURE, mtakiokowa chama na kusonga mbele. Huwezi kupoteza mwelekeo wa chama na ajenda zake kupotea eti kwasababu mtu mmoja ana kesi na hujui hiyo kesi itaisha lini.

Ukitazama macho ya Mnyika huku mdomo umefunikwa na barakoa, utaona macho yasema let's move on guys ila mdomo usema mengine.

Fikiria kama CCM wangebaki na kukumbatia yale yale ya Magufuli, mpaka leo wangekuwa hawana mwenyekiti na chama hakina muelekeo, leo wangekuwa wa wapi?

Ccm sio chama cha siasa, kimevaa koti la dola. Leo hii ccm ikipoteza dola Kaburi lake litakuwa pembeni ya la KANU ya Kenya. Serekali inaendeshwa kwa kodi za nchi, kwa bahati mbaya serekali ndio mnaifanya ni ccm.
 
mkitaka chama kife, mpeni Heche uongozi wa juu. Mkurupukaji yule. na elimu hana. Mnyika ndo anafaa kuwa mwenyekiti ajae. Unafikiri wasomi watakubali kuwa chini ya Heche? Heche aendelee kuwa mpiga debe wa chama.
unamuogopa
 
shallow reasoning, bila polisi CCM ni kama karatasi! Hao ndio unasema CDM itachukua miaka 100? CCM inasimama kwa nguvu za polisi, siyo UMMA!
Nadhani polisi itakuwepo ata miaka 200 ijayo labda jeshi Hilo litungiwe Sheria ya kufutwa na Bunge la JMT lenye wabunge Zaid ya 90% wa CCM
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.

Toka wakati wa uchaguzi nilisema kuwa Mnyika amepooza sana, hafai kwenye nafasi ya katibu Mkuu. Nilipendekeza Marcus Albanie apatiwe nafasi hiyo, na mwenyekiti wa chama awe John Heche.
 
Nadhani Mdee alifaa kwenye hiyo nafasi, tukiacha madhaifu yake mengine
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Paka anamshauri Panya jinsi ya kujikinga dhidi ya maadui zake
 
Kwani Magufuli asingekufa Samia angekuwa mwenyekiti sasa hivi ?

Lini CCM imeacha kutumia mabavu iliyokuwa inayatumia chini ya Magu ?
Mnayoyafanya CDM kwa sasa msingeweza kufanya kipindi cha Magufuli, ila sidhani kama ni jambo baya pia, Mahakama iachiwe ifanye kazi yake, Mbowe kama hana makosa ataachiwa, utawala huu hautamuonea mtu, BTW CDM kwa sasa badilini ajenda zenu, Samia ni mtu poa sana kuwasaidia kujenga chama chenu kiwe chama cha upinzani wa kudumu, hizi siasa za piga nikupige hazitowafikisha popote
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
ubunge mtamu sana, baada ya kupigwa chini sasaivi anatafuta kazi. siasa hizi kumbe watu ukiona wana hasira wanaleta fujo nchini ni kwamba wanatafuta kula.
 
Ccm sio chama cha siasa, kimevaa koti la dola. Leo hii ccm ikipoteza dola Kaburi lake litakuwa pembeni ya la KANU ya Kenya. Serekali inaendeshwa kwa kodi za nchi, kwa bahati mbaya serekali ndio mnaifanya ni ccm.
Unahitaji elimu ya siasa. Kazi ya chama cha siasa ni kupata ridhaa ya wananchi na kuwawakilisha kwenye mijadala ya kitaifa. CDM ilicheza karata mbaya tokea 2018 ilipoamua kuanza kususia chaguzi kwa kisingizo cha eti CCM inatengeneza matokeo, mbona huko nyuma mlikuwa mnashida. Inawezekana vipi leo hii CDM inaibuka na kusema inawakilisha wananchi ambao hajawapa dhamana ya kuwakilisha? Hata kukutana na Mama, ni kwa hisani yake tuu maana hawawezi kusema tunapeleka malalamiko ya wananchi ambao hajawapa ridhaa yayote.
 
CCM, Mkuu.
Nielimishe kwa kunitajia achievements za Dr. Slaa na kwa nini anastahili hiyo title unayompa.

Amandla...

Mimi tangu multiparty system ilipoanza nilikoma kuwa mwanachama wa CCM na nikabaki bila affiliation na chama chochote.

Swali nililokuuliza hujalijibu, Mkuu!
 
Mawazo yangu ni kua sioni kama Chadema ni chama cha Upinzani Tanzania. Isipokua Nakiona Kama Kikundi Cha Wanaharakati Chenye Mlengo Wa Kugain Popularity. Nimesema Ni Mawazo Yangu Tafadhali.
 
Mimi tangu multiparty system ilipoanza nilikoma kuwa mwanachama wa CCM na nikabaki bila affiliation na chama chochote.

Swali nililokuuliza hujalijibu, Mkuu!
Nyie ndio non aligned mliokuwa aligned?
Swali gani hilo Mkuu. Nikumbushe.

Amandla...
 
Mimi tangu multiparty system ilipoanza nilikoma kuwa mwanachama wa CCM na nikabaki bila affiliation na chama chochote.

Swali nililokuuliza hujalijibu, Mkuu!
Nilikuuliza unitajie vitu vinavyokufanya uamini kuwa alikuwa effective ili tutumie kigezo kimoja kuwapima.

Amandla...
 
Unahitaji elimu ya siasa. Kazi ya chama cha siasa ni kupata ridhaa ya wananchi na kuwawakilisha kwenye mijadala ya kitaifa. CDM ilicheza karata mbaya tokea 2018 ilipoamua kuanza kususia chaguzi kwa kisingizo cha eti CCM inatengeneza matokeo, mbona huko nyuma mlikuwa mnashida. Inawezekana vipi leo hii CDM inaibuka na kusema inawakilisha wananchi ambao hajawapa dhamana ya kuwakilisha? Hata kukutana na Mama, ni kwa hisani yake tuu maana hawawezi kusema tunapeleka malalamiko ya wananchi ambao hajawapa ridhaa yayote.

Huna ujualo zaidi ya kupiga siasa mfu. Naona unazungumza inavyotakiwa kuwa na sio ilivyo. Hiyo kupata nguvu ya kuongea kutoka kwa wananchi ni iwapo uchaguzi unaheshimiwa, na sio yale maagizo aliyotoa Magufuli kwenye uchaguzi. Huko nyuma unapozungumza ccm walikuwa wanapita zaidi ya 30% bila kupingwa? Huko nyuma ulikuwa unakuta Karatasi la kura rais aliye madarakani jina lake linakuwa juu bila kufuata alphabet za chama? Huyo mama hana hisani yoyote anatoa maana anajua fika hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Back
Top Bottom