John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

Siku Chadema mkiamka nakukubali kuwa Mbowe IS NOT YOUR FUTURE, mtakiokowa chama na kusonga mbele. Huwezi kupoteza mwelekeo wa chama na ajenda zake kupotea eti kwasababu mtu mmoja ana kesi na hujui hiyo kesi itaisha lini. Ukitazama macho ya Mnyika huku mdomo umefunikwa na barakoa, utaona macho yasema let's move on guys ila mdomo usema mengine. Fikiria kama CCM wangebaki na kukumbatia yale yale ya Magufuli, mpaka leo wangekuwa hawana mwenyekiti na chama hakina muelekeo, leo wangekuwa wa wapi?
Kwani Magufuli asingekufa Samia angekuwa mwenyekiti sasa hivi ?

Lini CCM imeacha kutumia mabavu iliyokuwa inayatumia chini ya Magu ?
 
Kwani Magufuli asingekufa Samia angekuwa mwenyekiti sasa hivi ?

Lini CCM imeacha kutumia mabavu iliyokuwa inayatumia chini ya Magu ?
Wote mnashidwa kujibu swali, kama mwenyekiti hawezi kutimiza majukumu yake, hapotezi sifa ya kuwa mwenyekiti? Ni vikao vingapi mwenyekiti alikosa anapoteza nafasi uwenyekiti? Au katiba haina hicho kipengele? Samia amekuwa mwenyekiti baada ya Magufuli kushindwa kuendelea kutokana na umauti na ni muongozo wa kichama. Nadhani nyumba ya CDM inahitaji kujisafisha kabla ya kuonyesha vidole mambo ya kitaifa.
 
Wote mnashidwa kujibu swali, kama mwenyekiti hawezi kutimiza majukumu yake, hapotezi sifa ya kuwa mwenyekiti? Ni vikao vingapi mwenyekiti alikosa anapoteza nafasi uwenyekiti? Au katiba haina hicho kipengele? Samia amekuwa mwenyekiti baada ya Magufuli kushindwa kuendelea kutokana na umauti na ni muongozo wa kichama. Nadhani nyumba ya CDM inahitaji kujisafisha kabla ya kuonyesha vidole mambo ya kitaifa.
Kwani mwenyekiti anaondolewe kwa kukosa kuhudhuria vikao tu ?

Au unafikri mwenyekiti wa chama ni sawa na mwenyekiti wa kamati ya Harusi yako ?
 
Heche siyo tu kwamba anafaa bali kwangu Mimi kwa Kuwa kamanda Mbowe ameishasema hatogombea tena umwenyekiti wa Chama, basi huyu jamaa anafaa kumrithi Mbowe.
Uongozi wa chama haurithishwi kama huko kwenu mnapeana hadi ubunge wa rambirambi
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.

KM sio problem; problem ni Mwenyekiti. Bila kumpumuzisha Ayatollah Mbowe, hata kama akitokea KM mwingine hodari kama Dr. Slaa, CHADEMA haitatoboa!
 
Kwani mwenyekiti anaondolewe kwa kukosa kuhudhuria vikao tu ?

Au unafikri mwenyekiti wa chama ni sawa na mwenyekiti wa kamati ya Harusi yako ?
Labda wewe utusaidie kuelewa uendeshaji wa CDM, mwenyekiti hayupo, makamu mwenyekiti hayupo. Nani kashika usukani? katibu mkuu ana majukumu yake ambayo hayawezi kuingia majukumu ya mwenyekiti au makamu mwenyekiti.
 
Personality ni kitu muhimu. Heche anafaa kuongoza jumuiya tu ...mnyika anamambo machache yanayomuangusha ikiwemo

Mtu mzima anaongea anajing'ata lipsi kifalafala.

Na kisentensi chake cha "TUNAITAKA SERIKALI IJITOKEZE..." yani siasa za upinzani unategemea ziendeshwe kwa majibizano badala ya kuleta msimamo watu waende mstari wa mbele..

Hayo tu.
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Sikubaliani. Katibu Mkuu ni mtendaji mkuu ambae anatakiwa afanye kazi zake nyuma ya huyu. Huyu kazi yake kubwa ni kuhakikisha chama chake kinaweza kufanya kazi inavyotakiwa na kinatimiza matakwa ya kisheria. Anahakikisha wafanyakazi wanalipwa, mawakili wanakuwepo kutetea wanachama, barua zinajibiwa katika wakati muafaka n.k. Huyu sio mtu wa majukwaani. Mnyika anafaa kwa hili. Heche ni mpambanaji. Ni mtu wa frontline si wa kukaa kwenye desk. Wote ni muhimu sana.

Amandla...
 
J
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
John Mnyika anatoka Kilimanjaro. Usisahau hilo
 
Naunga mkono hoja Mkuu.
Mkuu, nawewe unabuy hii cheap propaganda? Kwani uongozi ni kupigana ngumi? Mnyika yuko smart na Heche pia. Muda ukifika Heche naye atakuwa katibu au mwenyekiti. Acheni tabia ya kuwavunja moyo viongozi wenu. Mazingira ya kisiasa ni magumu. Wao wako field tena ftontline wakati wewe na mimi tumejicomouflage nyuma ya keyboard tukidhani mambo ni rahisi hivyo.
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi,[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Tuko mwaka wa 99
 
Kikwetu tuna msemo tunasema:

What goes around comes around.

Kijijini kwetu tunatumia sana huo msemo mara kwa mara.

JJ Mnyika aliwahi kumwambia JK kuwa ni Rais dhaifu. Hahahahaha.

Lakini sasa kajamaa ni SG wa CHADEMA naona ndio dhaifu kuliko maelezo.

Ni dhahiri CHADEMA haina vetting nzuri. Badala ya kumpa John Heche ukatibu Mkuu mkampa JJ Mnyika.

John Heche akiwa Mwenyekiti Bavicha alitusumbua sana huyu fala hahahaha. Na kipindi hiko ndio akina JJ Mnyika wakawa wanang'aa sana.

Yaani CHADEMA inamtoa Mashinji (Mzee wa I have a family to feed not a community to impress hahahaha words of a 'timid person' if I have to respect him coz real men don't talk cowardly shits like this on Earth); mara paaap ikampa JJ Mnyika usukani.

Ona sasa, chama wala hakitetemeshi tena hiki, yaani li chama kama Mbwa Mzee . Mbinu zake zote zinatabirika hahahahaha.

John Heche kaokoe chama chenu.

By the way, Mr. Mbowe is the most genuine opposition leader ni the country. I salute him.

Ila it takes more 100 years CHADEMA kuchukua nchi, maana CCM ni manyang'au and they change according to the beat.

Viva CCM.
Unat to mb wa siyo bure
 
katibu mkuu kazi yake nn au nafasi yachama kwake ikoje ,anatakiwa kuamka ASB na kuaza kulalama au nimtekelezaji wa maazimio ya chama kamati kuu.sielewi nielewesheni

John heche hafai kua katibu Mimi nafili sana awe mwenyekiti wa chama
 
Back
Top Bottom