John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

Huyu Heche ni mwenyekiti aliyechelewa kuchukua cheo hicho. Nilisema muda mrefu baada ya Mbowe kuchemka kwa kumpokea Lowassa, Heche ndio alipaswa kuchukua cheo hicho.
Naunga mkono hoja, mbowe aondolewe. Ikishindikana apinduliwe.
 
Heche ni Chadema original na ndio maana Mbowe alimteua kuwa mjumbe wa kamati kuu uchaguzi uliopita.

Sumu haijaribiwi ilihusu wale wahamiaji kutoka CCM ambao walikua wanataka Uenyekiti ilihali bado hawakijui vizuri chama.
Huyu mwalimu namkubali. Anaeleza mambo makubwa yanaeleweka kwa level zote .sumu haionjwi zito hakuwa katokea ccm . Aendeleze tu hoja asionje sumu unless mbowe ndo amuonjeshe kwa hiari. Akijichanganya kuonja sumu jasho litamtiriririka
 
Naunga mkono hoja, mbowe aondolewe. Ikishindikana apinduliwe.
Chadema tuna discpline hayo ya kupinduana ni huko CCM, CUF, na NCCR ila Chadema hautawahi ona uasi Hadi chama kipasuke kama hivyo vyama vingine.
 
Yaliyompata Wangwe yawe fundisho kwake.
Mbowe angekua uraiani Leo hii kama alimuua Wangwe? Chadema ingeshinda sio tu Jimbo Bali Hadi halmashauri ilihali walitoka kumzika shujaa wao??

It's unfortunate hizi sopeculations zinatolewa na great thinker
 
Mbowe angekua uraiani Leo hii kama alimuua Wangwe? Chadema ingeshinda sio tu Jimbo Bali Hadi halmashauri ilihali walitoka kumzika shujaa wao??

It's unfortunate hizi sopeculations zinatolewa na great thinker
Bado upo huko? Nshatoka kitambo mie.
 
Mbowe bila kumpindua hatoki hapo
Dadeki juzi nilimsikia akiongea na diaspora anasema ati labda muda wangu wa kuwa mwenyekiti ni mfupi kuliko muda niliokaa. Na nguvu za kuendele kumsikiliza ziliishia hapo
 
Bado upo huko? Nshatoka kitambo mie.
Ndio tuache kuchafuana, hivi kama alisakiziwa anauza madawa na ugaidi na kote huko ikaonekana Hana hatia why serikali isimpe kesi ya mauaji iliyo wazi kabisa kama ya wangwe?
 
Chadema tuna discpline hayo ya kupinduana ni huko CCM, CUF, na NCCR ila Chadema hautawahi ona uasi Hadi chama kipasuke kama hivyo vyama vingine.
Bila mapinduzi hatoki huyo, shauri zenu. Liundwe kundi maalum kwa ajili ya vuguvugu la kumtoa,. Vinginevyo mtaaubiri sana
 
Ndio tuache kuchafuana, hivi kama alisakiziwa anauza madawa na ugaidi na kote huko ikaonekana Hana hatia why serikali isimpe kesi ya mauaji iliyo wazi kabisa kama ya wangwe?
Kuna dogo alikuwa anazunguka na sumu mfukoni lengo kummaliza Zitto, hiyo nayo mtasema kuchafuana.

Uliwahi kuisoma kauli kuwa wakithubutu kumfanyia walivyomfanyia Wangwe hakuna hata panya au mende atakayebaki huko kwao?

Akaenda mbali zaidi akasema "Chacha died, I won't".

Have you forgotten this early! 😆😆
 
Kuna dogo alikuwa anazunguka na sumu mfukoni lengo kummaliza Zitto, hiyo nayo mtasema kuchafuana.

Uliwahi kuisoma kauli kuwa wakithubutu kumfanyia walivyomfanyia Wangwe hakuna hata panya au mende atakayebaki huko kwao?

Akaenda mbali zaidi akasema "Chacha died, I won't".

Have you forgotten this early! 😆😆
Anazunguka na Sumu? Yaani propaganda za Zitto ndio basis ya madai Yako? Ben Saanane was a double agent and that's about it Wala sio kwamba alikua na Nia ya kuua otherwise Zitto angemalizwa zamani sana maana enzi hizo alikua threat kwa Both CCM na Chadema.

2. Kwamba Zitto hakuuawa sababu alimtishia Mbowe? Hivi kama mtu unadai alimuua Wangwe (Tarime ni hostile kuliko kawaida) ndio aje kumshindwa dogo aliyemuingiza kwenye siasa akiwa Hana lolote?

Uchaguzi wa 2015 na 2020 irrespective of the results umeonyesha Zitto is just a nobody compared to Mbowe na kama sio Seif kuhamia ACT angekua irrelevant zaidi ya Sasa.
 
Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.
1669647629325.png
 
Mbona Lissu ni popular kuliko Mbowe ila sijawahi ona wakikosana au Mbowe kumuundia zengwe!! tuache kujenga picha za ajabu, hayo mambo unaweza fanya ukiwa na serikali ila kwa CCM inavyo operate, kosa dogo kama Hilo Chadema ingeshafutwa zamani sana tokea kifo cha wangwe au Saanane kupotea!!
Wala sikumaanisha kuwa "atakolimbwa" na wana Chadema. Umeelewa sivyo.
 
Back
Top Bottom