John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

Basi, na yaishe, wewe endelea na "imani" yako kwa kiongozi ambaye mimi sioni namna ninayoweza kumwekea imani kama yako katika kusimamia maslahi ya taifa hili.
Simaanishi kwamba Zitto ni mwaminifu sana, ninachofahamu ni kuwa waliomuundia zengwe ni ndumilakuwili zaidi yake.

Zitto akiwa naibu katibu mkuu kaeleza mwenyekiti wake alivyopewa pesa na watu wa ccm mara kadhaa, na mwenyekiti pesa hiyo kuiingiza kwenye chama kama mkopo toka kwake kwa chama, ikiwa pamoja na kutumia pesa ya chama kuanzishia gazeti binafsi.

Tuhuma kama hizo ni nzito sana, he should've come out smart. Kwanini hakuwahi kumshitaki Zitto kwa kumzushia tuhuma nzito hizo, kama si mahakamani basi hata kwenye vikao vya chama?

Ninachoendelea kuamini ni kuwa they are worse than Zitto.
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Mwenyekiti ni mmoja tu wa hiyo NGO. Heche asivimbe kichwa bado mdogo ana familia, alee watoto maana kuacha watoto yatima wakiwa wa dogo si vizuri. Huu ni shauri toka kwa mimi Kada mtiifu wa CCM na mwenye chuki ya kufa mtu kwa NGO ya Mbowe a.k.a baba ubaya
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Heche anatosha kabisa
 
With heche at the helm, utengamano uliopo chadema utapotea, mtaishia kupinduana kama huko nccr.

Si kwakuwa hana uwezo, kuna kakikundi hatari huko tayari kana mtu wao.
Chadema hawana akili hii
 
Hata mimi nazikubali sana hoja za Mh. Heche. Siku zote yeye anazungumzia masuala Nchi na Wananchi mambo ambayo huwezi kukuta wana CCM wanazungumzia.
 
Simaanishi kwamba Zitto ni mwaminifu sana, ninachofahamu ni kuwa waliomuundia zengwe ni ndumilakuwili zaidi yake.

Zitto akiwa naibu katibu mkuu kaeleza mwenyekiti wake alivyopewa pesa na watu wa ccm mara kadhaa, na mwenyekiti pesa hiyo kuiingiza kwenye chama kama mkopo toka kwake kwa chama, ikiwa pamoja na kutumia pesa ya chama kuanzishia gazeti binafsi.

Tuhuma kama hizo ni nzito sana, he should've come out smart. Kwanini hakuwahi kumshitaki Zitto kwa kumzushia tuhuma nzito hizo, kama si mahakamani basi hata kwenye vikao vya chama?

Ninachoendelea kuamini ni kuwa they are worse than Zitto.
Mkuu unaamini kabisa Mbowe anaweza fanya ufisadi alafu CCM wakamuacha? Kama walikua tayari kumbambikizia ugaidi na drug trafficking charges unadhani wangekua kafanya wizi wa ruzuku asingepewa Money Laundering case na angekua jela mpaka Leo??

2. TAKUKURU walifanya forensic auditing juu ya Mbowe kuanzia miamala ya akaunti binafsi, manunuzi, madai ya kukikopesha chama n.k ila hawakuona kosa na ndio maana charges zilikua dropped kwa ofisi ya DPP!! Sasa basis ya maneno Yako ni kwa ushahidi upi? Au uliamini speculations za CCM!!?

3. Mbona Mnyika amewahi hoji hizo incompetences Hadi kususa ila hakuwahi anzisha movement ya kumtoa Mbowe au "kumwaga mboga"? Leo hii Kawa katibu mkuu na ana chance ya kuimplement yote aliyoona hayafai mfano kaanzisha mchakato wa kumaliza kujenga ofisi za wilayani na majimbo then kumaliza na HQ? Why Zitto awe na haraka vile?
 
Kwa kweli John Heche anastahili nimefuatilia kuwa Mwenyekiti mkutano wake Jimboni Kwa Nape Heche anajenga Hoja heche ni the Best
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Anaweza kujaribu kuvivaa lakini sio kama vitamtosha, mwamba ni mwamba tu.
 
Kwa kweli baada ya mwamba Mbowe kumaliza muda wake,kama CHADEMA inataka kuendelea kuwa chama kikuu cha upinzani basi nafasi ya M/Kiti apewe John Heche
 
Masuala ya nani awe kiongozi na nani asiwe huo ni uamuzi wa wanachama wa CDM wenyewe, wewe endelea kupambana na mgawo wa umeme 🙂
 
Back
Top Bottom