John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

Kina nani wapo kwenye kakikundi sikutajii, mteule wao ni lema.

Ana uwezo au hana hiyo ni juu ya uwezo wangu kutambua.
Pale hakuna kitu kabisa!. Ili Chadema kisonge mbele, huwezi kuleta an empty shell at the top!, angalau ungesema Lissu!. Udhaifu mkubwa wa Lema is his intelect, hana reasoning power at all!, huyu ni mediocre ambaye anaweza kuwaingiza watu barabani ndani ya dakika sifuri!. Kitu ambacho nakikubali kwa Lema ni ndoto zake na baadhi ya kauli zake!, ile kauli yake kwa Sabaya, mpaka kesho ni very fresh in my mind!, huyu uenyekiti hawezi kabisa, he meeds to be more mature!.

Chadema ina tatizo kubwa sana la kukosa succession plan!. Hili nililizungumza ile siku nimeongea na Dr. Slaa Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?
Nilisema
Wanabodi,

Mara baada ya mazishi ya Mhe. Regia, (RIP), on route back to Dar, nilibahatika kukutana mahali na Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Wibroad Slaa akiwa na wife wake, Fina, tuliendesha maongezi mafupi informally na sio mazungumzo rasmi

Hiyo siku nilipokaa na Dr. Slaa, nilimweleza reservations zangu kuhusu sio tuu mgombea urais wa Chadema, bali nilieleza kuhusu udhaifu mkubwa wa Chadema katika kuwapata viongozi wake na wagombea wake wa nafasi mbalimbali za uongozi wa ndani ya chama, na nje ya chama, kama serikali za mtaa, ubunge na udiwani.

Nilimshauri Dr, Chadema ianze kuwa na succession plan ya kuwatayarisha viongozi wake from the grass roots levels, kwenye kila posti kuanzia nafasi za uongozi ndani ya chama, hadi nafasi za kugombea serikali za mitaa, udiwani, ubunge hadi urais, badala ya kuwategemea wanaotemwa CCM na kuwadaka tuu. Yes japo wanaotemwa tayari ni mtaji, lakini lazima Chadema kiwe na timu yake, ili kufika mahali hao wanaotemwa CCM kupimwa streghts zao kwa kulinganisha na waliopo, kama aliyepo ni stronger kuliko aliyetemwa, huyo anayetemwa CCM, hapati nafasi kuwa mgombea wa Chadema.

Na ili kujenga Chadema imara, Chadema pia lazima kiwe na internal mechanism yake ya kutafuta wanachama wapya waaminifu na kufanya internal vetting kwa viongozi wake, vinginevyo inaweza kujikuta ina kundi kubwa la viongozi, kumbe wengi ni mamluki tuu na mapandikizi ya waliotemwa CCM na kuhama kwa hasira za ketemwa tuu CCM, lakini mapenzi yao yako bado yako CCM, hivyo wanakuja Chadema ili kupata tuu fursa za kugombea, na wakikosa, mtawashuhudia wengi wakirejea CCM!.

Pia ili kupata a dedicated team ya viongozi imara, Chadema ianzishe mfumo scouting from grass roots levels na kuanzisha succession plan, kuwatayarisha viongozi wake wa kesho by headhunting recruitment of committed leaders, iwafanyie grooming, iwapike, waive, ndipo ije iwape uongozi, mfano sasa hapo ilipo, tayari Freeman Mbowe ameisha overstay as Chairman, Chadema ianze maandalizi ya kutafuta atajayerithi mikoba ya Mbowe kwa kuwapika viongozi wake kwa nafasi ya uenyekiti hadi waive kwa kumuandaa nani atapokea Mbowe uenyekiti, ili kujenga succession plan bila makundi ili kujenga sustainability ya chama chochote sustainable kina succession plan.

Kwenye Chadema haijajipanga niliwaambia kuwa kuna baadhi ya maeneo, watu wameichoka CCM mpaka basi kiasi kwamba hata kama Chadema ingesimamisha jiwe, hilo jiwe lingepita!. Hii inamaanisha kama Chadema ingesimamisha wagombea kila jimbo, saa hizi mngekuwa na wabunge wengi zaidi ya hawa waliopo!.

Miongoni mwa ushauri wangu kwa Dr. Slaa, Chadema isishobokee wagombea maarufu wala kusubiria makapi ya CCM!, good leaders are made and not born!. Nikashauri, Chadema ifanye incouragement kwa wanachama wake wenye uwezo na nia mbalimbali za kugombea, wajitanabaishe tangu sasa ili wapimwe, wawe groomed kuja kugombea mara wakati utakapo wadia na sio kusubiria kipenga cha NEC kipulizwe, by the time kipenga kinapulizwa, the time left will be too little too late!.

Nikatolea mfano wa jimbo la Kinondoni, linashikiliwa na CCM miaka nenda, miaka rudi. Mgombea wa CCM tayari anajulikana, weaknesess zake zinajulikana, kama mimi ni mwana Chadema na nina nia ya kugombea Kinondoni come 2015, nitasema sasa na wote wenye nia wajitangaze sasa ili miongoni mwetu, sote tujue nani ni best kutuletea ushindi, ndipo tumgroom tayari kwa kuiteka Kinondoni na sio kusubiri hadi 2015 na kusubiri CCM itamsimamisha nani!.

Mfano kwa Mwaka 2015, Jimbo Ubungo, kwa vile jimbo limeshikwa na upinzani, CCM huenda itampeleka mtu very strong ili kulikomboa, Jimbo la Kawe, CCM itamrudisha Kippi, na majimbo yote yanayoshikiliwa na wapinzani, CCM itapeleka watu makini, au wenye fedha na very strong, ili kuyagomboa, hivyo kama mimi ni mwana Chadema, najijua uwezo wangu kuiletea Chadema ushindi kwa jimbo fulani ni mkubwa kuliko mbunge aliyepo, mfano jimbo la Kawe ni mkubwa kuliko uwezo wa Halima Mdee kulitetea jimbo la Kawe, nitaonyesha nia sasa kwa kujenga mtandao wa mazingira ya ushindi. Muda kuchukua fomu ukifika, mimi nitachukua fomu kwa jimbo la Kawe, na Halima Mdee nae atachukua fomu, Ben Saanane nae atajaza na Mzee Mwanakijiji pia atajaza, Chadema kitatupima wote, ni nani mwenye uwezo zaidi na chances kubwa za ushindi, kinampitisha kupeperusha bendera ya Chadema, kama sio Halima, then Halima Mdee anakuwa ndio mhamasishaji mkuu wa mgombea mpya wa Chadema Kawe. Baada ya kumuengua Charles Mwera Tarime, niliwaambia makosa yenu na jimbo mlilitoa sadaka bure kabisa kwa kukosa busara!.

Kwa sisi wapenzi wa demokrasia ya kweli ambao japo tuna vyama vyetu, tunaamini hakuna mwana Chadema yoyote, mwenye hakimiliki ya kuhodhi nafasi yoyote ya uongozi kuanzia chini hadi uenyekiti. Nafasi zote za uongozi ndani ya chama na nje ya chama, ni haki ya kila mwanachama mwenye sifa, vigezo na uwezo!. Kama Zitto anazo sifa, vigezo na uwezo, kwanini azuiliwe asigombee?!.

Kwa vile nilishasema toka juzi, jana, leo na kesho nitasema tena, na tena, mimi Pasco wa jf, nina chama na sio Chadema na kiukweli, CCM ndicho chama tawala kilichoko madarakani, namfagilia sana EL kama atakuwa ndie mgombea wa CCM, na nikasema kama afya yake ni mgogoro kuhimili pilika pilika za uchaguzi wa 2015, then the second best candidate kwa CCM awe ni John Pombe Magufuli!, sio nawafangilie ili washinde, bali CCM iwasimamishe wagombea wa aina hii ili muwatumie kama pace makers wenu, ili Chadema mteue wagombea makini wa kuwaletea ushindi na sio kuendelea kuteua wasindikizaji tuu wa mgombea wa CCM !.

Mwenye masikio na asikie!.

Pasco.
12:24 am
Japo ushauri huu ni wa miaka 10 iliyopita, ingekuwa Chadema wameufuata ushauri huu, saa hizi, zamani Chadema iko Magogoni!.
P
 
Kulikuwa na ubaya gani kuwaachia wanachama wachague wanayeona anafaa kuwaongoza, si katiba inatamka uongozi ni miaka mitano baada ya hapo mnachaguana tena?

Zitto alizuiliwa kugombea 2010. Si jambo la afya kwa chama kinachojitambulisha kuwa cha kidemokrasia.
Chama Kilikua na momentum hata kama ni demokrasia why wasisubiri 2009 uchaguzi ufanyike watu wanaanza 2007 kuchomeka viongozi wao kwenye ngazi za chini? Hiyo ndio demokrasia?

I am pro Zitto ila kwenye lile seke seke hakushauriwa vyema. Ni busara tu kusubiri mkutano mkuu upeleke jina sio kuunda makundi kabla ya uchaguzi mwisho wa siku hata kama Mbowe angeshinda wale waliompigia Zitto wangesusa kama ilivyokua kwa Mwambe na Sumaye!!
 
Pale hakuna kitu kabisa!. Ili Chadema kisonge mbele, huwezi kuleta an empty shell at the top!, angalau ungesema Lissu!. Udhaifu mkubwa wa Lema is his intelect, hana reasoning power at all!, huyu ni mediocre ambaye anaweza kuwaingiza watu barabani ndani ya dakika sifuri!. Kitu ambacho nakikubali kwa Lema ni ndoto zake na baadhi ya kauli zake!, ile kauli yake kwa Sabaya, mpaka kesho ni very fresh in my mind!, huyu uenyekiti hawezi kabisa, he meeds to be more mature!.

Chadema ina tatizo kubwa sana la kukosa succession plan!. Hili nililizungumza ile siku nimeongea na Dr. Slaa Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?
Nilisema
Japo ushauri huu ni wa miaka 10 iliyopita, ingekuwa Chadema wameufuata ushauri huu, saa hizi, zamani Chadema iko Magogoni!.
P
Siku Chadema ikiingia magogoni wadau tutapaza sauti wakukumbuke kwenye wale wabunge 10 wakuteuliwa maana mwili wako upo ccm ila moyo chadema.(tuombe uzima).

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
Lema kuwa Mwenyekiti? Are you joking? Najua hoja Yako ni ukabila eti wachagga wanataka mchagga mwenzao? Kwamba Chadema ni Cha wachagga?

Hivi ingekua kweli Lissu angepewa fomu ya Urais? Au Mnyika angekua Katibu mkuu Leo hii?

Kwa taarifa Yako tu Chadema Ina nguvu kule Mara kuliko hata huko Kilimanjaro!! Hizo propaganda za ukabila zishakufa tokea 2015 maana Dar, Mbeya, Songwe, Moro, Mara zilikua zimejaa Chadema ilihali sio kwa wachagga!!
Hawajitambui hao wanajigamba lakni uchaguzi huru miaka yote unawashinda hawana ushawishi labda wa kuiba kura.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
😆😆😆 mwenyewe anajiona genius.
Hakuna mtu anazaliwa kiongozi mzuri, kuna watu ni born leaders, born to lead, lakini good leaders are made, hivyo Lema still has a chance to be a good leader, kitu cha kwanza ni intelect, lazima aende shule akaongeze ulimu ule ujanja wa kijiweni ni wa kuongoza genge na sio chama, sio watu sio nchi!. Umri unamruhusu.

P.
 
Pale hakuna kitu kabisa!. Ili Chadema kisonge mbele, huwezi kuleta an empty shell at the top!, angalau ungesema Lissu!. Udhaifu mkubwa wa Lema is his intelect, hana reasoning power at all!, huyu ni mediocre ambaye anaweza kuwaingiza watu barabani ndani ya dakika sifuri!. Kitu ambacho nakikubali kwa Lema ni ndoto zake na baadhi ya kauli zake!, ile kauli yake kwa Sabaya, mpaka kesho ni very fresh in my mind!, huyu uenyekiti hawezi kabisa, he meeds to be more mature!.

Chadema ina tatizo kubwa sana la kukosa succession plan!. Hili nililizungumza ile siku nimeongea na Dr. Slaa Urais 2015 tusimlaumu Zitto: Nani anaujua Msimamo wa Dr. Slaa?
Nilisema
Japo ushauri huu ni wa miaka 10 iliyopita, ingekuwa Chadema wameufuata ushauri huu, saa hizi, zamani Chadema iko Magogoni!.
P
Nje ya hoja,

Mimi nitaaamini kama ccm inauwezo wakushindana na chadema bila ya kutumia nguvu za dola na kuwacha kila kitu kuwa huru hapo ndio tutajua uwezo wa ccm.

Hivi ccm haiwezi kushindana bila ya kupitia mbinu hizo?


Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja unaccm wangu Heche ni Kiongozi anastahili hiyo nafasi.
Na hili Dr Mollel analijua alijibu hoja zake kama mwanasiasa anayejutambua kwani Heche hashughuliki na personal issue ktk kujibu hoja
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Anafaa sana. Ila naogopa usalama wake. Wasije wakamkolimba.
 
Huyu Heche ni mwenyekiti aliyechelewa kuchukua cheo hicho. Nilisema muda mrefu baada ya Mbowe kuchemka kwa kumpokea Lowassa, Heche ndio alipaswa kuchukua cheo hicho.

Bro, unampenda Heche!?
Maana hicho unachosema ni kuhatarisha usalama wa Mwenyekiti wa Maisha.
 
Anafaa sana. Ila naogopa usalama wake. Wasije wakamkolimba.
Mbona Lissu ni popular kuliko Mbowe ila sijawahi ona wakikosana au Mbowe kumuundia zengwe!! tuache kujenga picha za ajabu, hayo mambo unaweza fanya ukiwa na serikali ila kwa CCM inavyo operate, kosa dogo kama Hilo Chadema ingeshafutwa zamani sana tokea kifo cha wangwe au Saanane kupotea!!
 
With heche at the helm, utengamano uliopo chadema utapotea, mtaishia kupinduana kama huko nccr.

Si kwakuwa hana uwezo, kuna kakikundi hatari huko tayari kana mtu wao.
Labda kakikundi ka pandikizi la ccm
 
Mbona Lissu ni popular kuliko Mbowe ila sijawahi ona wakikosana au Mbowe kumuundia zengwe!! tuache kujenga picha za ajabu, hayo mambo unaweza fanya ukiwa na serikali ila kwa CCM inavyo operate, kosa dogo kama Hilo Chadema ingeshafutwa zamani sana tokea kifo cha wangwe au Saanane kupotea!!
Chadema ina misingi ya kuheshimiana. Sio kama ccm wanamheshimu mwenyekiti sababu ya woga tu na kwa kuwa ni mtoa vyeo na mmiliki wa dola basi.
 
Of Course yupo vizuri .... Lakini bado hanatakiwa. Kukomazwa zaidi ndani ya chama kunawatu bado wana nafaxi nzuri sana, Kuna watu kama
1, Tundu lissu
2,,John mrema
3, John mnyika
4,Wenje..
Na vijana wengine wazuri wenye uwezo wa kujenga hoja na kusimia ipasavyo
Kimsingi heche yupo vzur ila bado anaitaji ukomavu zaidi ya sasa
 
Back
Top Bottom