John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

John Heche anastahili kuvaa viatu vya Freeman Mbowe

Okay ni wazo zuri
Of Course yupo vizuri .... Lakini bado hanatakiwa. Kukomazwa zaidi ndani ya chama kunawatu bado wana nafaxi nzuri sana, Kuna watu kama
1, Tundu lissu
2,,John mrema
3, John mnyika
4,Wenje..
Na vijana wengine wazuri wenye uwezo wa kujenga hoja na kusimia ipasavyo
Kimsingi heche yupo vzur ila bado anaitaji ukomavu zaidi ya sasa
 
Kama ana huo uwezo wa kiuongozi atengeneze mazingira ya kumtoa Mbowe kidemokrasia na ayafanikishe. Mbowe ni over stayed mkt na hana mchango mpya wa kiuongozi uliobaki kwa cdm akiwa kama mkt. Abakie kuwa mshauri tu apishe damu mpya.
Kinachonishangaza tu ni kuoa Kuondoka kwa mbowe wanaofurahia sana ni wanaccm.

Hii inanipa mawazo sana🤣
 
Kulikuwa na ubaya gani kuwaachia wanachama wachague wanayeona anafaa kuwaongoza, si katiba inatamka uongozi ni miaka mitano baada ya hapo mnachaguana tena?

Zitto alizuiliwa kugombea 2010. Si jambo la afya kwa chama kinachojitambulisha kuwa cha kidemokrasia.
Dah, Zitto tena?
Wakati huu CHADEMA ingekuwa ni historia!
 
Japo mimi sio Chadema, lakini naunga mkono hoja, Ili tuwe na CCM imara, tunahitaji opposition imara, Heche ataijenga Chadema imara kuliko hata Chadema hii ya sasa ambayo kiukweli....

P
Naona hamumtakii mema Heche! kwa kauli zenu hizi muda si mrefu Heche ataingia matatizoni huko CHADEMA! Mtanikumbuka.
Naamini Wakurya si wasaliti ila CHADEMA inapenda wasaliti!
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


Wewe utamfanya Heche ya mkute kama yaliyo mkuta Zitto.
 
Nipe sababu niondoe imani niliyonayo kwa Zitto.
Unataka huu nao uwe mjadali mwingine pembeni?
Huna kumbukumbu kabisa ya yaliyokuwa yakitokea wakati Zitto anapambana kumwondoa Mbowe kwenye uongozi, na kuishia kujisalimisha kwa Kikwete, hujui chochote kabisa juu ya mkasa huo?

Sawa, hata kama hayo hukuyaamini, na bado unataka watu watoe "sababu" za wewe kuondoa ""imani kwa zitto", kana kwamba hata ACT-Wazalendo hujawahi kuisikia?

Basi, ninakusihi uweke imani yako kwa Zitto aliyepo ACT-Wazalendo, kuliko kwa Zitto ambaye angebaki na kuimaliza CHADEMA.
 
Unataka huu nao uwe mjadali mwingine pembeni?
Huna kumbukumbu kabisa ya yaliyokuwa yakitokea wakati Zitto anapambana kumwondoa Mbowe kwenye uongozi, na kuishia kujisalimisha kwa Kikwete, hujui chochote kabisa juu ya mkasa huo?

Sawa, hata kama hayo hukuyaamini, na bado unataka watu watoe "sababu" za wewe kuondoa ""imani kwa zitto", kana kwamba hata ACT-Wazalendo hujawahi kuisikia?

Basi, ninakusihi uweke imani yako kwa Zitto aliyepo ACT-Wazalendo, kuliko kwa Zitto ambaye angebaki na kuimaliza CHADEMA.
Propaganda zilizoasisiwa na waoga ndani ya chama.

Sitoshangaa propaganda kama hizo zikilengwa kwa heche in near future.
 
Propaganda zilizoasisiwa na waoga ndani ya chama.

Sitoshangaa propaganda kama hizo zikilengwa kwa heche in near future.
LOooo!

'Propaganda' tena? Hivi unanichukulia mimi kuwa kiwango hicho cha kulishwa propaganda?
Umenidhalilisha mkuu 'Gagnija', sijui kwa nini umeamua kufanya hivyo!

Basi, na yaishe, wewe endelea na "imani" yako kwa kiongozi ambaye mimi sioni namna ninayoweza kumwekea imani kama yako katika kusimamia maslahi ya taifa hili.
 
Of Course yupo vizuri .... Lakini bado hanatakiwa. Kukomazwa zaidi ndani ya chama kunawatu bado wana nafaxi nzuri sana, Kuna watu kama
1, Tundu lissu
2,,John mrema
3, John mnyika
4,Wenje..
Na vijana wengine wazuri wenye uwezo wa kujenga hoja na kusimia ipasavyo
Kimsingi heche yupo vzur ila bado anaitaji ukomavu zaidi ya sasa
John mrema sijawahi kumkubali kabisa, anafaa kwenye kitengo chake Cha foreign affairs ila sio kwenye active political post!! Hana ushawishi wa kisiasa kabisa otherwise hao wengine uliowataja ni potential sana
 
Kinachonishangaza tu ni kuoa Kuondoka kwa mbowe wanaofurahia sana ni wanaccm.

Hii inanipa mawazo sana🤣

Ilikuwa hivyo enzi zile kabla ya ile sera ya kubadili gia angani na matokeo yake yaliyo iondoa cdm kwenye reli hadi hivi tunavyo andika hapa.

Lakini mambo si hivyo tena, kinacho itesa CCM ni je Mbowe na baadhi ya wanaoongoza naye cdm leo wakiondoka wataokakuja tutaweza kuweka cdm mfukoni chini ya uongozi mpya? CCM maombi yao ni Mbowe na genge lake waendelee kuwa viongozi cdm kuliko cdm kupata uongozi mpya wa Kitaifa ambao hautasimikwa na CCM.

Kama Dr Bashiru kasema kidogo tu kutofautiana na agenda kuu ya CCM ametikisa. Vipi kutakapo kuwa na cdm angalau ikawa kama ile ya Dr Slaa kipindi kile inayo vuna hoja zenye nguvu za Watanzania na kuzichukua na kuzifanyia kazi?
 
Of Course yupo vizuri .... Lakini bado hanatakiwa. Kukomazwa zaidi ndani ya chama kunawatu bado wana nafaxi nzuri sana, Kuna watu kama
1, Tundu lissu
2,,John mrema
3, John mnyika
4,Wenje..
Na vijana wengine wazuri wenye uwezo wa kujenga hoja na kusimia ipasavyo
Kimsingi heche yupo vzur ila bado anaitaji ukomavu zaidi ya sasa
Daah! Kweli Kila mtu anaona tofauti!... Hivi kweli unaweza ukamlinganisha Heche na Wenje, John Mrema au Hata huyu Mnyika aliyepoa siku hizi... Heche level yake pale Chadema ni Lissu na Mbowe. Huyu mtu anajua kupanga hoja aisee, labda kama Huwa humfuatilii..
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.


✔️
 
Nimefuatilia michango yake tokea akiwa diwani huko Tarime mpaka kuwa Mbunge 2015, unaweza kubaliana na Mimi kuwa huyu ni msomi anayejitambua, anajua kujenga hoja, mzalendo haswaa, mtiifu, na misimamo isiyoyumba

Alipokuwa mwenyekiti BAVICHA ndipo tulishuhudia taasisi imara ya vijana iliyozaa wanasiasa wengi makini. Na tokea amalize muda wake Bavicha haikuwahi para mwenyekiti makini level ya Heche.

Ukifuatilia ziara yake Kanda ya kusini unaweza ona ushawishi na spirit aliyonayo kupigania maslahi ya wananchi maskini.

Kama mnavyofahamu Mhe Mbowe alitangaza atastaafu 2023, hivyo basi Mimi kama mwanachama hai wa Chadema naona Heche Sasa anafaa kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Ninaamini ataweza kufanikisha vision ya Mbowe na jamii nzima ya Chadema kufikia malengo yake.

Naunga Mkono Hoja

Heche alimakazia Jiwe alivyoenda Tarime
Hatetereki
 
Back
Top Bottom