John Heche anaunga mkono Mbowe kupisha nafasi ya uenyekiti wa Chadema taifa kwa heshima

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
John Heche kwenye ukurasa wake wa Twitter ame- repost ujumbe wa David Mfugwa wa Chadema ambao unamtaka Mbowe kustaafu kwa heshima na kulinda heshima yake ndani ya Chadema. Hii ina maana kuwa hata Heche hakubaliani na kauli ya #Mi5tena.

Msimamo wetu hautaturudisha nyuma. Ni ama Mwamba avuke na hao machawa wanaoitakia mabaya Chadema au Chadema ivuke kwa kishindo huku Mwamba akishuhudia matunda yake ya kujenga wengine kisiasa. Hii chansi ni ya muhimu sana isichezewe.
 
Mbowe asiwe mkaidi Kwa wosia wa wanafamilia

Pale Magomeni mapipa wakati anasombwa na Mapolisi alikuwepo Nicole peke yake hakuna Yeriko Nyerere wala Masese Boni Yai πŸ˜‚πŸ”₯
John Mrema alikuwa bize kutoa updates ndani ya ofisi za Chama. Hajawahi kuandamana wala kufanya mkutano wowote ule.
 
Maneno yenye Hekima πŸ™πŸ™Œ
 
Mimi naamini Mbowe na Lissu wanawachezesha ngoma wapinzani wao tu !

Mtu mwenye Kutafakari majambo kwa kina atajua tu kwamba Mbowe na Lissu sio watu wa kugombana au wa kuweza kugombanishwa na yeyote yule πŸ˜³πŸ™„πŸ€©
Ngoja Tusubiri tuone πŸ™
 
Hii Ngoma ni real mzee, hakuna cha kuchezesha hapa

Kimeumana
 
Hii Ngoma ni real mzee, hakuna cha kuchezesha hapa

Kimeumana
Ngoja Tusubiri tuone hii movie πŸŽ₯ !
Kama kitaumana kweli basi Waswahili walikuwa sahihi na msamiati wao !
Eti penye udhia penyeza Rupia πŸ˜…πŸ˜‚πŸ€© !
Duh πŸ™„ itashangaza kweri kweri !
But still naamini watu wanachezeshwa ngoma wasioijua !
Ngoja Tusubiri !
 
Mafisadi nfani ya chama yanahofia Lissu akishika kiti atakata mirija
 
john Heche haaminiki
 
Kikwete na Lowassa kama waligombana, basi hata wao wanaweza kutofautiana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…