John Heche ashangaa wajumbe wachache kuhudhuria mkutano alioalikwa akiwa na John Mnyika

John Heche ashangaa wajumbe wachache kuhudhuria mkutano alioalikwa akiwa na John Mnyika

Mwaka 2020 chadema iliambulia mbunge mmoja. Mwaka 2025 Mama atazoa wabunge wote, hatabakiza hata mmoja. Kwanza chadema walishaahidi watasusa uchaguzi mkuu kama hiyo katiba yao mpya hawataipata. Tunasubiri kwa hamu utekelezaji wa hiyo ahadi yao.
 
acha kudanganya hukumuelewa heche wew punga la ccm njoo na hio ccm yako au wambien wabunge wenu fake wa nyamagana na ilemela wafanye mikutano hata ya hadhara kama watapata watu hata 100, alichosema heche ni kwamba viongoz watoe elimu kubwa ili iwaingie wananchi sawa sawa sasa wewe unafugwa kwenye makorido ya lumumba hujui hata mitaa ya mwanza umekalia umbea kupotosha jf, njoo mwanza ulinganishe kati ya chadema na ccm kipi chama chenye nguvu.
Ushamuhudumia mumeo
 
Wote walioitakia Chadema mabaya wamekufa wao,kama lile ibilisi la kihutu lilitumia mabilioni ya kodi zetu kujaribu kuiua Chadema likafa kibudu.
Tehe tehe tehe ....Aaaahh ha ha ha haaaaa

Du! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Muda ni mwalimu mwacheni Mungu aitwe Mungu kikowapiiiii kafa yeye CHADEMA kaicha ...

Muhutu alisimamisha nchi kupambana na CHADEMA ...

... alichinja, akanyonga, akateka na kupoteza ...

... akazua, akasingizia, akadanganya na kuongopa ...

... akapora, akadhulumu, akaiba na kuficha ...

... akanyang'anya, akazuia, akasimamia na kukalia

... akajimwambafy, akaonea, akasumbua na kukatisha tamaa

Ona sasa yeye kaenda CHADEMA bado inasonga mbele, sijui anamtazamaje Sanane pale wanapopishana kwenye viwanja vya ufalme wa Mungu yeye akiwa na minyororo ya moto mwenzie akiwa kabebwa na Malaika
 
CDM huwaoni hapa
Tumeamua kukupuuza ..2025 tunalichukua jiji la mwanza, mbeya, Tanga , Arusha na Dar . Dodoma pia safar hii nayo tunaichukua baada ya wagogo kuzidiwa idadi na wahamiaji ...kwa upande wa munspaal .. iringa, Tunduma, sumbawanga, SINGIDA, Geita , Bukoba, musoma, tabora, kigoma, mtwara, songea, lindi na shinyanga zinakwenda kuchukuliwa na chadema kiulaini kbs

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000

Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.

CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.

Hakika Chadema inakufa kifo Cha kiasili
Hawajui kama hawajui. Wasubiri mziki wa 2025 wembe ni ule ule
 
John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.

Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.

CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.

Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
Huyo Heche hajui wananchi hawali maneno katika wakati huu mgumu.
Angetangaza kuwa katika mkutano huo atagawa pesa na mimi ningekuja.
 
John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.

Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.

CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.

Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
CHADEMA ikifa wewe na mumeo mnapata hasara gani?
 
John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.

Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.

CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.

Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
CHADEMA ikifa wewe na mumeo mnapata hasara gani?
 
Back
Top Bottom