Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamuhudumia mumeoacha kudanganya hukumuelewa heche wew punga la ccm njoo na hio ccm yako au wambien wabunge wenu fake wa nyamagana na ilemela wafanye mikutano hata ya hadhara kama watapata watu hata 100, alichosema heche ni kwamba viongoz watoe elimu kubwa ili iwaingie wananchi sawa sawa sasa wewe unafugwa kwenye makorido ya lumumba hujui hata mitaa ya mwanza umekalia umbea kupotosha jf, njoo mwanza ulinganishe kati ya chadema na ccm kipi chama chenye nguvu.
Tehe tehe tehe ....Aaaahh ha ha ha haaaaaWote walioitakia Chadema mabaya wamekufa wao,kama lile ibilisi la kihutu lilitumia mabilioni ya kodi zetu kujaribu kuiua Chadema likafa kibudu.
Tumeamua kukupuuza ..2025 tunalichukua jiji la mwanza, mbeya, Tanga , Arusha na Dar . Dodoma pia safar hii nayo tunaichukua baada ya wagogo kuzidiwa idadi na wahamiaji ...kwa upande wa munspaal .. iringa, Tunduma, sumbawanga, SINGIDA, Geita , Bukoba, musoma, tabora, kigoma, mtwara, songea, lindi na shinyanga zinakwenda kuchukuliwa na chadema kiulaini kbsCDM huwaoni hapa
Hawajui kama hawajui. Wasubiri mziki wa 2025 wembe ni ule uleJohn Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika Chadema inakufa kifo Cha kiasili
Kwani wewe ndiye msemaji wa kanda hiyoKanda ya ziwa ilichukizwa mno na kitendo cha Chadema kushangilia kifo cha Magufuli
Mbona ndugu zako wamekuishia Kwa kufa, VP nao wakojeeeKwani huko kanda ya ziwa hawajui kuwa watu wazuri hawafi mapema?
Cheki na Makamba kwa ufafanuzi.Mbona ndugu zako wamekuishia Kwa kufa, VP nao wakojeee
Iliamini kamaHuyo JPM mbona aliteseka na CHADEMA akiwa hai?. Wewe unadanganywa na huyo mjinga na wewe unakubali.
Huyo Heche hajui wananchi hawali maneno katika wakati huu mgumu.John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
Ilete tujue alisema nini?Acha kupotosha kauli ya Hechee.
Yeye baba yake yupoCheki na Makamba kwa ufafanuzi.
CHADEMA ikifa wewe na mumeo mnapata hasara gani?John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.
CHADEMA ikifa wewe na mumeo mnapata hasara gani?John Heche na John Mnyika walikuwa na kikao katika Jiji la Mwanza kilichohusisha wilaya ya Nyamagana na Ilemela, John Heche alishangazwa na uchache wa watu katika ukumbi, na akasema angalau Iringa walikuwa na watu 2000.
Hiki chama kikiwa mitandaoni kinajifananisha na jini kubwa sana. Lakini saiti, ni jini la barafu, jua likiwaka, linayeyuka.
CCM Kanda ya ziwa bado ni chama imara.
Hakika CHADEMA inakufa kifo Cha kiasili.