Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ameshatangulia mbele za haki.....Magufuli aliyetisha watu yuko wapi ?
Kifo ni safari ya kila mmoja.....
Kwani kifo ni adhabu ?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshatangulia mbele za haki.....Magufuli aliyetisha watu yuko wapi ?
John Heche ni zwazwa miongoni mwa Mazwazwa wengi walioko UFIPANI.....John Heche akili kubwa.
Katumia kiparagraphy kidogo tu kumvua ushungi Bi.mkubwa.
Wapuuzi tu mmeitoboatoboa nchi hadi basiCCM ndiyo inayolinda maslahi ya taifa.....amka usingizini ndugu!!!
#KatibaYetuNiBora
#KaziIendelee
Mzee Warioba kanena mazito mkuu. Tega sikio jumatatu ITV saa 3:00 usiku kipindi cha dakika 45.Mkuu baada ya Werema wamejitokeza wengine?
Anayeshinda uchaguzi nchi inakuwa yake. Nyie pambaneni na saccos yenu huko. Vihelehele United
Ndio hivyo mkuu....Wapuuzi tu mmeitoboatoboa nchi hadi basi
Jamaa ni mjinga sana. Hata Mnyika nae kawa mjinga sana aisee... alipendekeza iwepo kodi ya katiba. Dah! Chadema imefilisikaHeche ni zwazwa miongoni mwa Mazwazwa wa "ufipa".....
Mzee Warioba ni MTANZANIA Kama wewe....Mzee Warioba kanena mazito mkuu. Tega sikio jumatatu ITV saa 3:00 usiku kipindi cha dakika 45.
Munio mwanyokwe blal foul! Masaburi yako. Unaleta ujinga kwenye kupigania uhai.Anayeshinda uchaguzi nchi inakuwa yake. Nyie pambaneni na saccos yenu huko. Vihelehele United
Mama atalegea tuMzee Warioba kanena mazito mkuu. Tega sikio jumatatu ITV saa 3:00 usiku kipindi cha dakika 45.
Chadema kwishnei....Jamaa ni mjinga sana. Hata Mnyika nae kawa mjinga sana aisee... alipendekeza iwepo kodi ya katiba. Dah! Chadema imefilisika
Tungemuona wa maana Heche kama angemsema yule mwehu Mbozi aliyetoka kifungoni kwa hisanai na leo anatukana hayo hayo malaka yaliyomtoa kifungoni.
Comment yako ni ya kipuuzi.Kifo kiko katika makundi 3.
1. Kuhitimisha safari (for all people)
2. Kuitwa na Mungu ili akutunuku uzima wa milele.
3.Laana na kukataliwa na Mungu.
Magufuli kafa kifo namba 3. Dalili zinaonyesha
Ya kizwazwa haswaaa....Comment yako ni ya kipuuzi.
Mamlaka imemtoa kifungoni? Duh! Kwa hisani? Hisani ya nani?Tungemuona wa maana Heche kama angemsema yule mwehu Mbozi aliyetoka kifungoni kwa hisanai na leo anatukana hayo hayo malaka yaliyomtoa kifungoni.
Kwani UAMSHO nao hawakutokea kwa hisani?!!!Mamlaka imemtoa kifungoni? Duh! Kwa hisani? Hisani ya nani?
Nina uhakika unaposema “hisanai”, ulitaka kusema “hisani” ulivyo wa ajabu hata hauja “edit”. Inaonyesha “carelessness”. Hivyo maoni yako hayaonyeshi uelewa wa kutosha kuhusu hoja zinazotolewa.
Samahani, inaonekana uko kazini. Nilifanya editing right away, you were really fast. However, just refer to the last paragraph of the edited version.Kwani UAMSHO nao hawakutokea kwa hisani?!!!
Mbona walikaa ndani miaka yote hiyo ?!!
Hakukuwa na MAHAKAMA ?!!!
Kwa hiyo ushahidi umekosekana baada ya miaka 9 na si miaka 5 ya uchunguzi?!!!
Kwani SSH alisema hataki katiba mpya?Watalegea tu!
Ameanza Werema, akaja Sospeter Muhongo, na Sasa Warioba. Next ni Samia kusalimu amri.
Usicheze na nguvu ya umma wewe!!!
Mzee Warioba ni MTANZANIA Kama wewe....
Maneno yake si SHERIA....
Katiba yetu si mbovu...Samahani, inaonekana uko kazini. Nilifanya editing right away, you were really fast. However, just refer to the last paragraph of the edited version.
Je atakubali kuitumia hii katiba mbovu kama alivyofanya mwendazake? Nani asiyejuwa kuwa katiba hii inamruhusu rais kuwa dikteta?