John Heche: Chokochoko siyo neno la kistaarabu

John Heche: Chokochoko siyo neno la kistaarabu

..mbona Rais SSH kamteua kuwa mkuu wa wilaya mwehu aliyesema atamchoma Tundu Lissu sindano yenye sumu?

..je, kwa kuteua wehu wanaotishia kuua wapinzani unadhani Rais ana dhamira ya kweli ya kuliunganisha taifa kama alivyodai ktk hotuba yake aliyoitoa bungeni?
Mama alidhani maneno matamu yatawaltia usingizi CHADEMA wasahau wanachokitafuta.

Sasa ataanza kuwaona kama hawana shukrani kwa fadhira alizodhani zitawafurahisha.

Alichokosea kwa haraka ni kuahidi kukutana na Mbowe, halafu akabadili mawazo, nadhani baada ya ushauri wa wasaidizi wake.

Angetumia mkutano huo kununua muda zaidi, huku akiendelea kutafuta njia za kupoza madai ya katiba.
 
Fundi,

Hisani ni wema. Ni moyo wa kumtendea mtu mazuri.

Mtu anaweza kweli kuingia kifungoni kwa ‘hisani’?

Nadhani hapo neno linalofaa ni ‘hila’ au ‘ghiliba’.
Nyani, kwa mtazamo wa some of these fools kuingizwa kifungoni ni 'hisani' maana wakubwa hawawezi kufanya kitu kwa 'hila' au 'ghilba'. Ni yale yale ya kumchapa mtoto na kumwambia inakuuma kuliko inavyomuuma.

Amandla...
 
Tungemuona wa maana Heche kama angemsema yule mwehu Mbozi aliyetoka kifungoni kwa hisanai na leo anatukana hayo hayo malaka yaliyomtoa kifungoni.

Mdude ameishinda serikali mahakamani,hajatolewa na kuwa huru kwa hisani ya yoyote yule.
 
Ndiyo. Hukumsikia siku ile anasema mpk ajenge uchumi kwanza??

Ni suala la kutumia akili tu mkuu.
Hivi ukipewa ahadi kama hiyo si sawa na kunyimwa tu? Maana hata Marekani bado wanajenga uchumi wao.
Hapana. Ni tafsiri yenu tu yenye shida. Hata wewe ungeingia madarakani baafa ya mwendazake usingeanza na katiba mpya. Kwa jinsi alivyovuruga uchumi na biashara, ukianza na issues kama katiba mpya, utajikuta hata mishahara huwezi kulipa.
 
Back
Top Bottom