Leo mama hatolala. Kwasabb mzee Warioba ni nchi imeongeaMama atalegea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo mama hatolala. Kwasabb mzee Warioba ni nchi imeongeaMama atalegea tu
Sawa.....
- Amewahi kuwa makamu wa rais,
- Amewahi kuwa Waziri Mkuu,
- Amewahi kuwa mwenyekiti wa time ya mabadiliko ya KATIBA .
Kwahiyo huyu akiongea wewe msafisha viatu wa kwa Mtogole ama huko Ibinzamata unapaswa kunyamaza
Mzee Warioba si REJEA YA KISHERIA.....Leo mama hatolala. Kwasabb mzee Warioba ni nchi imeongea
CHOKOCHOKO si Uhuru wa kuongea.....Kama kuoomba katiba mpya ni chokochoko, basi JK, Waryoba, Butiku, Augustin Ramadhani, Samia Suluhu (wa wakati ule) na wengine, walifanya uhaini kwa kujadili kabisa rasimu ya katiba mpya!
Ndiyo. Hukumsikia siku ile anasema mpk ajenge uchumi kwanza??Kwani SSH alisema hataki katiba mpya?
Katiba mpya si takwa la watanzania walio wengi.....Ndiyo. Hukumsikia siku ile anasema mpk ajenge uchumi kwanza??
Ni suala la kutumia akili tu mkuu.
Hivi ukipewa ahadi kama hiyo si sawa na kunyimwa tu? Maana hata Marekani bado wanajenga uchumi wao.
Hayo ya tume huru umeyasema wewe. Mzee Warioba kwa nafasi yake na umri wake wala hana haja ya kugombea cheo chochote kinachosimamiwa na tume.Sawa.....
Kuwa kwake na vyeo vyote hivyo si ngao ya kutomkosoa pale atelezapo....
Nami wa Mtogole nina haki ya kutoa mawazo yangu kuwa KATIBA TULIYONAYO haina ombwe lolote la kisiasa...
Wanasiasa wanalazimisha tuamini tu katika iitwayo TUME HURU YA UCHAGUZI.....
Ikumbukwe demokrasia inaweza kutafsiriwa na ada ya nchi husika....
Ada yetu watanzania ni historia yetu...rejea haiwezi kutoka KENYA...
Katiba ya Jaji Warioba ilipendekeza SERIKALI 3 ambazo kimantiki ni kwenda kujitia kitanzi cha kuuvunja MUUNGANO pale ambapo kutakuwa na inuko la watu aina ya wale G55......
#KaziIendelee
#KatibaYetuNiBora
Bhaeleze! Bhaaambie bhaelewe. Maana Hawa uvccm wa miaka hii ni bendera fuata upepo. Hawana wanacho kisimamia.Kama kuomba katiba mpya ni chokochoko, basi JK, Waryoba, Butiku, Augustin Ramadhani, Samia Suluhu (wa wakati ule) na wengine, walifanya uhaini kwa kujadili kabisa rasimu ya katiba mpya!
Umesema WARIOBA ni gwiji la siasa...uko sahihi ....Hayo ya tume huru umeyasema wewe. Mzee Warioba kwa nafasi yake na umri wake wala hana haja ya kugombea cheo chochote kinachosimamiwa na tume.
Hayo ya kufanya rejea ya Kenya ndiyo nayasikia kwako. Mzee Warioba Wala hajayasema.
Na ni kweli kwamba hata wewe wa kwa Mtogole una haki ya kutoa maoni. Lkn huna locus (ama authority) ya kupinga mawazo ya gwiji la siasa kama Warioba.
Fundi,Hauoni kuwa kwa kusema hivi una maanisha kuwa aliingia kifungoni kwa "hisani"?
Sasa mshono upi ?!!Kwi Kwi Kwi , nimepiga kwenye mshono kudadeki !
Basi nami ngoja "nikwinye" mbawa zangu nirudi zangu "mtema". Kama utahitaji somo zaidi nitamtafuta "mgandi" twende mandhari "akupute" kutu.Japo kutoka kwangu kwa MTOGOLE kumenifanya unione "fulafula" mbele ya "macho yako" ila ninatanguliza shukrani kwa kutonipoka haki yangu ya kutoa maoni na kusikilizwa....
Ajabu kabisa!Matendo yanaongea zaidi kuliko maneno.
"Nataka watu wote muishi kwa amani", kesho yake anamteua jambazi awaongoze watu wema!!!
🤣🤣Basi nami ngoja "nikwinye" mbawa zangu nirudi zangu "mtema". Kama utahitaji somo zaidi nitamtafuta "mgandi" twende mandhari "akupute" kutu.
Tuendelee kukuza lugha yetu mkuu
Hakika mkuu 👍👊Tuendelee kukuza lugha yetu mkuu
Mama anaupiga mwingi sana [emoji16][emoji16][emoji16]
Maneno ya kuufukuza upepo hayo....Acheni aendelee kukoroma. Akiamka apigwe Balimi moto tano![emoji16][emoji16][emoji16]
Nyau wewe Bora swara la katiba liishie mbali lakini tuendelee kuwa na amani.amani ndo kipa umbele kwetu Sisi walala hoyi.Wasalaam,
tuendako hakuna nuru na dalili ya mvua ni mawingu.View attachment 1845281