Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Kwahiyo mnataka wataratibu, wapole na wastaarbu ili muendelee kuwanyonga,

Mmefikiwa safari hii
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Haiba peleke nevana au uwt huku tunataka watu na sura za kazi
 
Nyoosha sentensi, sema muunganiko wao ni kitisho kikuu kwa ccm. Unamsigina kwa kuwa katangaza wazi kuwa anamuunga mkono lissu mnayemuogopa pakubwa. Angekuwa timu mbowe wala usingemsigina
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania

Mmesema hivyo pia kwa Tundu Lissu, lakini kwa mwenye akili yeyote anaelewa ni kwanini hao wawili muonekano wao na haiba unawakera.
 
Sio lazima kila siku upandishe Uzi .

Fanya hivi
Kuna siku unakuwa msomaji , unajipanga unafanya research mbalimbali either Kwa kusoma vitabu au kuingia google au kutazama documentary.


Hii itakusaidia Sana kuliko hivi mnaamka mnajadili watu badala ya ideas .
Actually,
hoja na mabandiko yangu mengi humu JF ni matokeo ya tafiti mbalimbali nyingi mno ninazoendelea kuzifanya, kwa muda mfupi, wa kati na muda mrefu.

Hata hivyo,
ni akili moto na bongo kali pekee ndiyo inaweza kuibua mambo rahisi na ya kweli, huku wanaojiita waerevu wasioyaone bali wakaishia kua na makasiriko tu bila mawazo mapya wala fikra mbadala bora zaidi ya hoja mahususi mezani.

hulka zisizo za kiadilifu, hulka za ubinafsi fujo, makelele, mdomo, kiburi na ujeuri, zinataka kujipenyeza kwenye demokrasia na kubomoa ustawi wa vyama vya siasa nchini, eti mtaalamu mbobevu muandamizi nikae kimya, nikaingie google kitazama documentary 🤣


acha mzaha bas gentleman?
yaani ukoloni mambo leo unarejeshwa nchini wazi wazi kabisa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, eti unadai, ninajadili watu badala ya masuala?

ninawajibika kujitolea kuinusuru demokrasia ndani ya vyama vya siasa, lakini pia kulinda umoja amani na utangamano miongoni mwa waTanzania, hata ikiwa baadhi ya wadau wataendekeza chuki dhidi ya hoja mahususi mezani,

My friends ladies and gentlemen,
ni muhimu zaidi as Tanzanians tuendelea kua pamoja licha ya kutofautiana kwenye mambo haya machache ya kisiasa.🐒
 
Nimejaribu kutafuta points(hoja) za msingi kwenye andiko lako sijapata
huwezi kupata point gentleman,

niliwahi kukushauri acha visungura asubuh asubuh ukasupaza shingo,
Ona unavyopata tabu sasa,

Licha ya moderators kubadili title ya bandiko, still wewe huwezi kupata point.

Pole but tupo pamoja my friend 🐒
 
Mlikuwa mnamsena @lukasmwashambwa mumuombe radhi,hii nchi machawa wa Chadema ni hatari kuliko hata wa sisiemu,Yeriko,kuna mwenyekiti wa chama shinyanga 😀 na tunawaona wengi
 
Small mind discuss people
Average mind discuss events
And Big mind discuss ideas.


Mtu hujanywa hata chai unaamka na kutazama haiba za watu .

Hata Kama unalipwa na Ccm Ila jaribu Kufungua ofisi hata saatatu

Au msipopost inakuaje
umekasirikia kabisa au ni mihemko tu ya kawaida gentleman?🤣

kwamba ati wewe ndiyo Big mind, right?🤣

au Heche kumnanga chairman Mbowe na wenje press conference nzima ndio Big mind 🤣
 
Kwamba Wenje anahaiba ya ungozi? Mlopokaji kama Wenje mtakuwa mmechagua boga,kwanza nikuulize mleta Uzi we ni kiongozi au mkunja ngumi? Siyo mm ni Wenje anauliza
 
John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.
Ukisikia timu ya mpira ya SIMBA wanashauri YANGA (and vice versa) kwamba mchezaji fulani hafai kupewa nafasi kucheza, maana yake huyo ndo anafaa zaidi.

Jiandaeni kisaikolojia, muda wenu wa kunyolewa umewadia, hakuna namna nyingine
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Up0 sahihi kuwa chama kinaenda kushikwa na watu wababe wababe wasio taka masihara na ndivyo CDM inatakiwa iwe sasa. Siyo watu wakujichubua na kujipaka 💋 lipustiki mido tunataka mtu Akitekwa cdm hakunavkulia lia ni mbele kwa mbele wakimwaga mboga watu wanamwaga ugali
 
Kwa hiyo, hoja yako Heche hafai, nani sasa anafaa?
Wenje? Yule dalali, winga wa mama Abdul, fisadi, takataka la kiCCM.
Gentleman,
wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa ndio pekee wenye turufu ya kuamua anaefaa kua boss mpya wa Chadema Taifa,

wataalamu wabobevu wa siasa za vyama, tunajaribu kuelezea na kufafanua tu haiba na hulka za waTangaza nia za uongozi wa Chadema Taifa 🐒
 
Nyoosha sentensi, sema muunganiko wao ni kitisho kikuu kwa ccm. Unamsigina kwa kuwa katangaza wazi kuwa anamuunga mkono lissu mnayemuogopa pakubwa. Angekuwa timu mbowe wala usingemsigina
ni muunganiko wa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, kelele na mdomo + ujeuri, kiburi, fujo na kubeti,

Infact,
ni kitisho kwa misingi ya kuanzishwa kwa chadema na ustawi wa demokrasia ndani ya chadema Taifa 🐒
 
Mmesema hivyo pia kwa Tundu Lissu, lakini kwa mwenye akili yeyote anaelewa ni kwanini hao wawili muonekano wao na haiba unawakera.
sure,
makelele, mdomo, kiburi, jeuri na kubeti ni mambo ambayo yanawakera mno wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa,


na kwahivyo,
wajumbe wanayo kazi moja tu, nayo ni kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wafuasi wake 🐒
 
Up0 sahihi kuwa chama kinaenda kushikwa na watu wababe wababe wasio taka masihara na ndivyo CDM inatakiwa iwe sasa. Siyo watu wakujichubua na kujipaka 💋 lipustiki mido tunataka mtu Akitekwa cdm hakunavkulia lia ni mbele kwa mbele wakimwaga mboga watu wanamwaga ugali
umejipaka lipstick 💄 nini gentleman 🤣

hata hivyo,
wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa wamejipanga vizur sana kuwadhibiti kibaraka wa mabwenyenye na wafuasi wake kwenye sanduku la kura, ili iwe fundisho kwa wengine wenye tabia za midomo, makelele, ujeuri na kiburi 🐒
 
Kwahiyo mnataka wataratibu, wapole na wastaarbu ili muendelee kuwanyonga,

Mmefikiwa safari hii
Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wamejipanga kuwashikisha adabu kibaraka na makelele yake, lakini pia wafuasi wake wenye mihemko kiburi na ujeuri usio na kichwa wala mkia Jan 22,2025 🐒
 
Back
Top Bottom