Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Pre GE2025 John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
huyu si alikuwa MWENYEKITI BAVICHA Je hakuwa na busara Tujadili
kwani BAVICHA iliishia wapi gentleman,
kama sio aliwafundisha vijana mihemko na kuporomosha matusi mazito mazito tu wakishindwa hoja 🤣
 
Siku hizi JF imeshuka hadhi,akili kama za huyu kuku maji šŸ¤”.

Uone basi hata aibu,maiti zinazozembea ni miongoni mwa hii.
 
sure,
makelele, mdomo, kiburi, jeuri na kubeti ni mambo ambayo yanawakera mno wajumbe wa mktano mkuu wa chadema Taifa,


na kwahivyo,
wajumbe wanayo kazi moja tu, nayo ni kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na wafuasi wake šŸ’

Andiko lako lina maneno mengi kabisa ya kinafiki, hiki ulichojibu ndicho ulipaswa kuandika na kuach unafiki.
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.šŸ’

Mungu Ibarki Tanzania
Wewe kwa upupu ambao huwa unaandika kila mara hapa JF, una uwezo wa kujua nani afaaye na asiyefaa kuwa kiongozi? Wewe ishia tu kwenye uchawa, kazi ambao huwa inafanywa na wale walio na IQ below average.
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.šŸ’

Mungu Ibarki Tanzania


Wabongo always tunaongoza Kwa kudharauliana
 
Andiko lako lina maneno mengi kabisa ya kinafiki, hiki ulichojibu ndicho ulipaswa kuandika na kuach unafiki.
muerevu ana relax,
halafu anaandika mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ya andiko lenyewe kwa faida ya wadau wa JF,


sasa hii kumbwelambwela hapa ati sijui ulipaswa na nani kufanya nini, hiyo ni useless na completely nonsense gentleman šŸ’
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.šŸ’

Mungu Ibarki Tanzania
Non sense!
 
Wewe kwa upupu ambao huwa unaandika kila mara hapa JF, una uwezo wa kujua nani afaaye na asiyefaa kuwa kiongozi? Wewe ishia tu kwenye uchawa, kazi ambao huwa inafanywa na wale walio na IQ below average.
naandika kwasabb nawafahamu vizuri,
Heche ni Mzee wa kupeti na aliwahi kuchapwa makofi na mama watoto wake licha ya ujeuri na kiburi alichonacho.

Hata pale,
BAVICHA amewaachia nini zaidi ya kuwafundisha mihemko na kuporomosha matusi mazito mazito pale mnaposhindwa hoja?

Huyo mwingine ni wazi ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi.
Infact,
wote hawana hekima wala busara za kua viongozi waandamizi wa Taasisi yoyote ile.

Na,
I can confirm to you, wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa watawashughulikia vibaya mno Jan.22,2025šŸ’
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA
 
Infact,
wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa wamejipanga kuwashikisha adabu kibaraka na makelele yake, lakini pia wafuasi wake wenye mihemko kiburi na ujeuri usio na kichwa wala mkia Jan 22,2025 šŸ’
Tusubiri
 
Actually,
hoja na mabandiko yangu mengi humu JF ni matokeo ya tafiti mbalimbali nyingi mno ninazoendelea kuzifanya, kwa muda mfupi, wa kati na muda mrefu.

Hata hivyo,
ni akili moto na bongo kali pekee ndiyo inaweza kuibua mambo rahisi na ya kweli, huku wanaojiita waerevu wasioyaone bali wakaishia kua na makasiriko tu bila mawazo mapya wala fikra mbadala bora zaidi ya hoja mahususi mezani.

hulka zisizo za kiadilifu, hulka za ubinafsi fujo, makelele, mdomo, kiburi na ujeuri, zinataka kujipenyeza kwenye demokrasia na kubomoa ustawi wa vyama vya siasa nchini, eti mtaalamu mbobevu muandamizi nikae kimya, nikaingie google kitazama documentary 🤣


acha mzaha bas gentleman?
yaani ukoloni mambo leo unarejeshwa nchini wazi wazi kabisa na vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi, eti unadai, ninajadili watu badala ya masuala?

ninawajibika kujitolea kuinusuru demokrasia ndani ya vyama vya siasa, lakini pia kulinda umoja amani na utangamano miongoni mwa waTanzania, hata ikiwa baadhi ya wadau wataendekeza chuki dhidi ya hoja mahususi mezani,

My friends ladies and gentlemen,
ni muhimu zaidi as Tanzanians tuendelea kua pamoja licha ya kutofautiana kwenye mambo haya machache ya kisiasa.šŸ’

Unasoma saangapi ?
Unaandika saangapi machapisho Sio rahisi hivyo mkuu .

Hapa unachofanya unapambana ulipwe au kuingiza siku .


Wazalishaji wa maudhui huwa wanasoma Sana na kuandika mambo yenye fact zaidi
 
Kiukweli kabisa hata kwa macho ya nyama tu, John Heche hana haiba, muonekano, hekima wala busara ya kuwa kiongozi wa ngazi ya juu mathalani kuwa makamu mwenyekiti wa chadema Taifa.
Si mtaratibu wala mstaarabu mwenye subra, ni mtu wa vurugu na fujo, huenda ni zaidi ya kelele na mdomo wa anaemuunga mkono nafasi ya uenyekiti wa chadema Taifa.

Katika kujieleza kwake, kinachojidhihirisha mwanzo kabisaa wa maelezo yake ni kiburi, kisasi na ujeuri wa kiwango cha juu sana dhidi ya viongozi wa sasa wa chadema hususan mwenyekiti wa chadema Taifa. John Heche anajaribu kujieleza na kujipambanua kwa kufokafoka kwa hisia kali, akadhani eti ndio ataonekana jasiri au kwamba yeye ndie mwenye uchungu sana na chadema kuliko wengine, kumbe waerevu wenye hekima na busara wana muona kama mtu anaetumia vitu vya kusisimua akili na kumpa ujasiri wa kujieleza bila woga au kujali macho ya hadhira inayomskiliza.

Kisiasa,
maelezo, mtazamo na muonekano wa Heche vinatia shaka na vinamfanya aonekane kama vile anapitia changamoto au wakati fulani mgumu, na hivyo anaonekana kama mtu ambae si mwema na asie na dhamira au nia njema kwa chadema.

Siasa, hulka na tabia ya uzungumzaji wa John Heche, unashabihiana na unaendana na ule wa Tundu Lisu, na kwahiyo kuna uwezekano mkubwa wagombea hawa wakaungwa mkono na watu wa vurugu mithili ya majambazi wa kisiasa, na kusababisha wenye hekima na busara walazimike kuhama kambi kukwepa au kukimbia vurugu za Lisu na Heche uongozini.

Kwa kifupi,
John Heche ameshusha hadhi na kiwango cha kuaminika kwa Lisu miongni mwa wanao muunga mkono.
Lakini pia chemistry ya Heche na Lisu ni kitisho kwa demokrasia, msingi wa kuanzishwa kwa chadema na uhai wa chadema kwenye medani za siasa za Tanzania.šŸ’

Mungu Ibarki Tanzania
Pilipili usoila...
 
Labda kabla ya heche unge twambia wewe ni nani?
Mwandishi uchwara ?
Mwanasiasa uchwara?
Au kumiliki simu na bando kuna mfanya mtu kuwa mchambuzi uchwara?
"Uvivu tu wa kulima"
20250104_215130.jpg
 
Back
Top Bottom