Pre GE2025 John Heche kumuunga mkono Lissu asema Lissu ni mkweli, muwazi na muadilifu sana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sifa anazo kikatiba, tatizo anashtumu viongozi wenzake halafu anataka kuwaongoza, wapi umeona duniani hivyo?
Nini maana ya kampeni? Maana ya kampeni ni kusimama na mapungufu ya yule unayeshindana nae
 
Mbowe hajazoea kampeni alizoea kupita bila kupingwa sasa 2024 ipo kivingine lazima madudu ya mbowe yaanikwe kwani si mageni yapo kitambo tokea kipindi cha wangwe zito na wengineo
mbowe kitu cha kufanya ni kuchukua maamuzi ya kukubaliana tu kwamba ni muda wa wengine kuendesha gurudumu. issue ya pesa kwenye chama, idea ya lissu ipo more logical zaidi chama kitafute pesa za chama
 
Mbowe hajajenga chadema peke yake chadema imejengwa na wengi ingawa pesa za chama hufujwa na mbowe peke kwani ndiyo mhasibu wa chama hataki hata katibu mkuu aguse idara ya pesa
 
mbowe kitu cha kufanya ni kuchukua maamuzi ya kukubaliana tu kwamba ni muda wa wengine kuendesha gurudumu. issue ya pesa kwenye chama, idea ya lissu ipo more logical zaidi chama kitafute pesa za chama
Mbowe anaogopa kuachia uenyekiti kwa sababu ya wizi mkubwa wa pesa za chama aliofanya ana hofu akiingia mwenyekiti mpya ambaye hajamuandaa yeye ataibua madudu yake mengi ya kula pesa za misaada michango Rushwa za ngono viti maalum na mambo mengi ya hovyo
 
Tapeli unakimbia kuthibitisha. Mbona wenje kasema alienda na Abdul kwa lisu akawatimua. Thibitsha hiyo Heche kupewa rushwa
Wewe unaishi huko Kongoto mambo mengine huwezi yajua
 
100/100
 
Hali ilivyo sasa ni kuwa Wajumbe wengi moyoni wapo na Lisu lakini kwa kuogopa Udikteta wa mbowe wameamua kuwa na mbowe usoni wale pesa zake lakini watamnyoosha kwenye sanduku la kura ingawa kamati ya Roho mbaya ikiongozwa na Mdee wenje Bonfire wanajipanga kuiba kura kufanya uchakachuaji kupora ushindi wa Lisu na
 
Rushwa ya ngono viti maalum uliye karibu bado inaendelea? uliye karibu pesa za chama zipo wapi hadi Mbowe kuitisha michango
 
Wewe unaishi huko Kongoto mambo mengine huwezi yajua
Uliye karibu mbona humshauri Mbowe aache kuiba pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa kisingizio cha kukopesha chama
 
Heche anachukua Form ya umakamu before closing date na atapita
Matokeo tarajiwa
Lissu mwenyekiti
Heche makamu
Viva CHADEMA.. Viva Tanganyika ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ๐Ÿ“Œ๐Ÿ’ช๐Ÿฟ
 
AMESHAJICHIMBIA KABURI KWA MTU AMBAYE HATASHINDA UENYEKITI SIJUI WATAKIMBILIA WAPI MBOWE HANA CHA KUPOTEZA AKISHINDA HATA CHAMA KIKIFA HANA SHIDA ATAKUWA AMEWANYOOSHA HAO WANAOMKATAA SASAHIVI
Mawazo ya kimasikini hayo... kuishi kwa kumtegemea mtu , Unashauri aishi kwa kumtegemea Mbowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ