Kwani wewe mgeni na Jiwe !.Alikuwa na siasa za hovyo kupitiliza.Siamini mwanasiasa, kauli huwa ni kauli tu
Mama anatosha 10 tenaKwani wewe mgeni na Jiwe !.Alikuwa na siasa za hovyo kupitiliza.
Mama si mtanganyika arejee kwao Zanzibar.Mama anatosha 10 tena
Usijidai umesahau ile biashara kichaa ya kuunga mkono juhudi...Anatafuta kiki tu. Mbona hakuyasema haya alipokuwa hai? Atuthibitishie walau.
Mliwanunua kwa kiasi gani cha fedha Wanaccm waliohamia CHADEMA?Usijidai umesahau ile biashara kichaa ya kuunga mkono juhudi...
Walipewa pesa na vyeo juu yake.
Magu alikuwa anapenda kufanya kazi na watu wanaojielewa. Shida yake ilikuwa moja tu lazima uwe Mwanaccm.Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe. Magu alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.
Hongera John Heche, big repect to you
Akina nani?Mliwanunua kwa kiasi gani cha fedha Wanaccm waliohamia CHADEMA?
Ujinga tu.......Marehemu haombi watu wasiojielewa. Hata udanganye Watoto wa Chekechea hawatakuamini.Wataalamu wabobezi kwenye uongo Wanasema ukitaka kusema uongo singizia marehemu aliniambia
Mfano mimi mwenyewe Marehemu Lowassa aliniomba niwe mgombea uraisi wa Chadema nikakataa nilipokataa ndipo akaamua yeye mwenyewe kugombea ila ilimuuma sana mimi nilipokataa
Uongo Mbona kibao tu akiba Shonza,akina Sendiga nk aliwapa vyeoMagu alikuwa anapenda kufanya kazi na watu wanaojielewa. Shida yake ilikuwa moja tu lazima uwe Mwanaccm.
Matendo yake hayafutiki lakiniMarehemu hana pakujitetea