John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

John Heche: Magufuli aliniahidi kunipa nafasi ya Uwaziri kama ningekubali kuhamia CCM

Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Magufuli alikuwa RAIS MTOA RUSHWA UPINZANI HAUFI KWA KURUBUNI WAPINZANI NA KUWAHOGA VYEO
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
aache upotoshaji 🐒

aulizwe kama ameacha kubeti
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Bila kumtaja Magufuli mwanasiasa unapotea na watu wanakusahau!
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Hawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.

Peter Msigwa naye alikataa kuchomolewa Segerea na watu wa Magufuli baada ya kuhukumiwa kesi ya kumuua Akwilina Akwelini.

Huu unyama alioufanya Magufuli lazima uanikwe wote ili jamii itambue kuwa Tanzania iliiuwa inapita kwenye kipindi cha shetani mwaka 2015-21.
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Bahati Magufuli (John Pombe) hayupo kukiri au kukana hilo.
 
Hawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.

Peter Msigwa naye alikataa kuchomolewa Segerea na watu wa Magufuli baada ya kuhukumiwa kesi ya kumuua Akwilina Akwelini.

Huu unyama alioufanya Magufuli lazima uanikwe wote ili jamii itambue kuwa Tanzania iliiuwa inapita kwenye kipindi cha shetani mwaka 2015-21.
Hela aliyotoa Shujaa Magufuli kwa family ya Msigwa ilitumika kumtoa Gerezani Freeman Mbowe
 
Leo kwenye Clouds 360° akihojiwa na Masoud Kipanya amesema kuwa kabla ya Mbunge Mtulia wa CUF Kinondoni yeye Heche alikuwa approached na Magufuli mwenyewe.

Magufuli alimuambia kuwa kama atahamia CCM basi atampa Uwaziri. Heche alimkatalia katakata. Baada ya hapo Magufuli alimuambia kuwa basi kama unabaki CHADEMA na Ubunge wa Tarime usahau, hautapata.

Hongera John Heche, big repect to you
Nyie nyumbu hamnaga hata aibu
 
Tatizo wanasiasa wa kitanzania si wa kuamini. Kwa kuwa hawana uwezo wa kufanya kaz za kitaalam. Kwa hiyo ni kufanya siasa, na kuongea uongo uongo tu.
Hebu thibitisha kama anachosema John Heche ni uwongo!! Mbona wengine muko kama kuku wasio na vichwa?? Unapinga tu kwa vile unatumia bando lako kwenye smartphone yako!!
 
Kasema yye ushahidi uko wap? Maaana magufuli yupo mbele za haki hatujui je kweli au amekos maneno ya kusema
 
Hawa ndiyo wanaume wachache pamoja na Peter Msigwa wa Iringa ambao unaweza ukawahesabu.

Peter Msigwa naye alikataa kuchomolewa Segerea na watu wa Magufuli baada ya kuhukumiwa kesi ya kumuua Akwilina Akwelini.

Huu unyama alioufanya Magufuli lazima uanikwe wote ili jamii itambue kuwa Tanzania iliiuwa inapita kwenye kipindi cha shetani mwaka 2015-21.
Wewe umeshakuwa affected psychologically....mwacheni mwamba apumzike.
Hao chadema so far wamefanya nini zaidi ya kubugia ruzuku tu?...
Hiyo Avatar uliyoweka inadhihirisha chuki....huyo jamaa yako kwenye avatar hawezi kumsahau Chuma pale Butimba...
 
Wewe umeshakuwa affected psychologically....mwacheni mwamba apumzike.
Hao chadema so far wamefanya nini zaidi ya kubugia ruzuku tu?...
Hiyo Avatar uliyoweka inadhihirisha chuki....huyo jamaa yako kwenye avatar hawezi kumsahau Chuma pale Butimba...
Huyo unayemuita Chuma tuliyemzika Chato ndiyo hatamsahau huyu Mwamba wa Butimba. Maana Magu alidhani kila mmoja anaweza kumfokea, lakini mwamba wa Butimba akampa za uso
 
Back
Top Bottom