Pre GE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Polisi tunapowaita Policcm kwani Huwa mnapata majibu Gani.
Wanavuna walichokipanda,na Bado.
Makonda anajaribu kuwaonyesha kuwa hawana lolote mbele ya ccm.

Siku za mbele,wataona maana halisi.kama RPC anamfukuza askari,basi itafikia hata kiongozi wa chama Cha ccm atamfukuza Polisi kazi na hakuna atakwenda kulalamika.

Makonda aendelee kuwapekuwa maana hawana maana.

Wana double standard.So,wahenyeshe baba.
 
Acha kufanya watu wajinga kiazi wewe!, Hujui hata mipaka ya kazi!!. Kwahiyo katibu mwenezi wa CCM anawezaje kumhoji?, Au ndio tunatawaliwa kwa akili za kingumbalu Kama zako tutusa wewe.
Makonda awahoji wanachama wake wa CCM sio taasisi ya polisi iliyo na utaratibu wake wakuwajibishana?.
Sema na huyo jamaa ni mpuuzi tu.... Ningekuwa Mimi hayo anayoniuliza ningemjibu yametokea kutokana na uwepo wa CCM... Next time aache upuuzi
 
Sheria zenyewe mnazotaka zifuatwe ndizo hizo hizo mnazolalamikia kuwa zinavunjwa.

Sijui wanasiasa mnasimamia wapi?.
 
Noma sana !
 
!!!!!!!!! Nyie hamna jema hata kidogo !!!!! Mtakushinda uchaguzi mchakuwa mnatembea fimbo na akili zichuwa kama.dish lilioyumba
 
Wewe mwenye akili hebu tuwekee hapa hiyo sheria inayomkataza Makonda au mwingine yeyote kumhoji RPC.

Iweke hapa wacha kelele. Mnawageuza ma RPC miungu watu kwa ujinga wenu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
[emoji3581]

Sent from my Infinix X6512 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…