Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Polisi tunapowaita Policcm kwani Huwa mnapata majibu Gani.
Wanavuna walichokipanda,na Bado.
Makonda anajaribu kuwaonyesha kuwa hawana lolote mbele ya ccm.
Siku za mbele,wataona maana halisi.kama RPC anamfukuza askari,basi itafikia hata kiongozi wa chama Cha ccm atamfukuza Polisi kazi na hakuna atakwenda kulalamika.
Makonda aendelee kuwapekuwa maana hawana maana.
Wana double standard.So,wahenyeshe baba.
Wanavuna walichokipanda,na Bado.
Makonda anajaribu kuwaonyesha kuwa hawana lolote mbele ya ccm.
Siku za mbele,wataona maana halisi.kama RPC anamfukuza askari,basi itafikia hata kiongozi wa chama Cha ccm atamfukuza Polisi kazi na hakuna atakwenda kulalamika.
Makonda aendelee kuwapekuwa maana hawana maana.
Wana double standard.So,wahenyeshe baba.