Pre GE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Pre GE2025 John Heche: Makonda anawahoji Polisi kwenye mkutano wa hadhara wa CCM kwasababu anawaona kama green guard

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe ndo huelewi! Chama Kinawajibika kuisimamia serkali ili wananchi wapate huduma na maendeleo!
Ndo maana tuna mihimili Mira tu Mahakama,Bunge na Serkali! Serkali mkuu wake ni Rais ambaye ni zao la chama cha siasa!
Ukituliza kichwa ukaacha mihemko na unyumbu utanielewa!
Tatizo lenu CHADEMA mnajitia ujuaji wa kujua kila jambo!
Kama kazi ya chama ni kuisimamia serikali na mhimili wa bunge kazi yake nini? Au ccm imekuwa muhimili wa nne? Mambo ya chama kuisimamia serikali sio takwa la kikatiba, ni mambo yenu ya ndani ya chama chenu. Serikali ni ya wa-Tanzania wote, vyama ni kwa ajili ya wanasiasa.
 
Kama kazi ya chama ni kuisimamia serikali na mhimili wa bunge kazi yake nini? Au ccm imekuwa muhimili wa nne? Mambo ya chama kuisimamia serikali sio takwa la kikatiba, ni mambo yenu ya ndani ya chama chenu. Serikali ni ya wa-Tanzania wote, vyama ni kwa ajili ya wanasiasa.
Kwani wanasiasa sio sehemu ya watanzania? wanasiasa nao ni sehemu ya watanzania, na ndio maana serikali ikiingia madarakani husema itatutumikia wote bila kujali vyama vyetu.

Unaliamini bunge ambalo wabunge wake mostly wanaishi Dsm, huko majimboni huenda wakijisikia!.

Haya tena, hiyo serikali inatekeleza ilani ya chama gani?

Nani msimamizi wa utekelezaji wa ilani ya hicho chama?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hahaa! Mnatengeneza tatizo na kulitatua ili kuwapata wadanganyika. Ccm kwa komedi hamjambo
Kwa hiyo Makonda ndio aliharibu mota?Wananchi wengi waliokuwa wakidai madeni katika halmashauri mbalimbali wamelipwa madeni waliyokuwa wakidai baada ya ziara ya Makonda.
Pia hayo madeni yalitengenezwa?Wacha kuhamisha magoli ulitaka kujua waliotatatuliwa kero zao unakuja na hoja nyingine
Hizi ziara zinawatia watu fulani hofu sijui wanahofia nini na kero zinasikilizwa na kutatuliwa isipokuwa zilizopo mahakamani!
 
Kwani wanasiasa sio sehemu ya watanzania? wanasiasa nao ni sehemu ya watanzania, na ndio maana serikali ikiingia madarakani husema itatutumikia wote bila kujali vyama vyetu.

Unaliamini bunge ambalo wabunge wake mostly wanaishi Dsm, huko majimboni huenda wakijisikia!.

Haya tena, hiyo serikali inatekeleza ilani ya chama gani?

Nani msimamizi wa utekelezaji wa ilani ya hicho chama?

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mbunge mbinafsi haisimamii serikali bali kuwakilisha wananchi bungeni. Kuna bunge kama chombo kupitia kamati zake ndio zinaisimamia serikali. Si suala la kuliamini au la!, ndio utaratibu wa separation of power unavyotakiwa kikatiba sio kichama.

Kuhusu kutekeleza ilani ni suala la kichama sio kikatiba. Au huko vituo vya polisi kuna ilani ya ccm ambayo kila polisi anatakiwa kuisoma na kuifuata na sio muongozo wa wao wa kazi, pgo?
 
Mbunge mbinafsi haisimamii serikali bali kuwakilisha wananchi bungeni. Kuna bunge kama chombo kupitia kamati zake ndio zinaisimamia serikali. Si suala la kuliamini au la!, ndio utaratibu wa separation of power unavyotakiwa kikatiba sio kichama.

Kuhusu kutekeleza ilani ni suala la kichama sio kikatiba. Au huko vituo vya polisi kuna ilani ya ccm ambayo kila polisi anatakiwa kuisoma na kuifuata na sio muongozo wa wao wa kazi, pgo?
Simply put, kama wabunge wangekuwa wanafanya majukumu yao ipasavyo, Makonda asingekutana na hizo kero huko mikoani.

Hiyo pekee inatosha kukuonesha habari ya separation of power kwa nchi yetu ipo kwenye makaratasi tu, hakuna uhalisia.

Makonda kufanya alichofanya kwangu hakina tatizo, hili nitalisema mara zote, kwasababu kama nongwa ni Makonda kumpigia simu RPC, basi na Heche nae afanye hivyo, hajazuiwa na yeyote.

Heche hajazuiwa na sheria yoyote kufanya kile anachofanya Makonda, sioni sababu ya kulalamika, Makonda anaongea na RPC kama mtanzania mwanachama wa CCM, na Heche nae aongee na RPC kama mtanzania mwanachama wa Chadema, hiyo ndio maana ya kuitwa mfanyakazi wa umma.

Hapa suala la kusema PGO imetoa maelekezo, hebu tuwekee hicho kifungu toka kwenye PGO kinachowataka RPC s kwenda kwa wananchi kusikiliza kero zao, ili tuone vile Makonda ameingilia majukumu yasiyo yake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Simply put, kama wabunge wangekuwa wanafanya majukumu yao ipasavyo, Makonda asingekutana na hizo kero huko mikoani.

Hiyo pekee inatosha kukuonesha habari ya separation of power kwa nchi yetu ipo kwenye makaratasi tu, hakuna uhalisia.

Makonda kufanya alichofanya kwangu hakina tatizo, hili nitalisema mara zote, kwasababu kama nongwa ni Makonda kumpigia simu RPC, basi na Heche nae afanye hivyo, hajazuiwa na yeyote.

Heche hajazuiwa na sheria yoyote kufanya kile anachofanya Makonda, sioni sababu ya kulalamika, Makonda anaongea na RPC kama mtanzania mwanachama wa CCM, na Heche nae aongee na RPC kama mtanzania mwanachama wa Chadema, hiyo ndio maana ya kuitwa mfanyakazi wa umma.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kama separation of power iko kwenye makaratasi na huku ilani ya ya ccm ikisema chama kitaendelea kuhakikisha kuwepo kwa utawala wa sheria na demokrasia ni uthibitisho kwamba chama hicho ni chama kilichoshindwa.

Kero za wananchi zinajulikana na ccm hawataki kuzizungumzia kabisa kwa sababu wananufaika kupitia matatizo ya wananchi. Hao wanaohudhuria mikutano hiyo namna wanavyoona tatizo nako ni tatizo.
 
Kama separation of power iko kwenye makaratasi na huku ilani ya ya ccm ikisema chama kitaendelea kuhakikisha kuwepo kwa utawala wa sheria na demokrasia ni uthibitisho kwamba chama hicho ni chama kilichoshindwa.

Kero za wananchi zinajulikana na ccm hawataki kuzizungumzia kabisa kwa sababu wananufaika kupitia matatizo ya wananchi. Hao wanaohudhuria mikutano hiyo ni wajinga waliopangawa kupumbaza wajinga wenzao.
- Suala la CCM kushindwa sipingani nalo.

- Suala la kusema wananchi wanaojitokeza kwenye mikutano ya Makonda ni wajinga, hapo ume panic, wacha dharau zako, na kusema wamepangwa kufanya maigizo hapo panahitajika ushahidi, na sio maneno matupu.

Mwisho, ingependeza kama una kifungu toka kwenye PGO kinachowataka RPC s kwenda kusikiliza kero za wananchi, utuwekee hapa, ili tuone vile Makonda amekosea kumpigia simu RPC kwa kuingilia majukumu yasiyo yake.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
- Suala la CCM kushindwa sipingani nalo.

- Suala la kusema wananchi wanaojitokeza kwenye mikutano ya Makonda ni wajinga, hapo ume panic, wacha dharau zako, na kusema wamepangwa kufanya maigizo hapo panahitajika ushahidi, na sio maneno matupu.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kama umekubali kuwa ccm ni chama kilichoshindwa na ujinga ni hali ya kutokujua, basi ni sahihi kusema wanaohudhuria mikutano hiyo kwa kuamini kutatuliwa shida zao ni wajinga kwa sababu kama wangekuwa una ufahamu kuwa ccm ni chama kilichoshindwa kama ulikubali wasingefika kwenye mikutano hiyo.
 
Mnatuita wapiga kura na kero zetu wajinga halafu mwaka huu 2024 na 2025 mtakuja kutaka ridhaa zetu katika chaguzi mbalimbali.
Huwezi kupanda mbigiri ukavuna mahindi.Tunawangoja kwa hamu.
 
Kama umekubali kuwa ccm ni chama kilichoshindwa na ujinga ni hali ya kutokujua, basi ni sahihi kusema wanaohudhuria mikutano hiyo kwa kuamini kutatuliwa shida zao ni wajinga kwa sababu kama wangekuwa una ufahamu kuwa ccm ni chama kilichoshindwa kama ulikubali wasingefika kwenye mikutano hiyo.
Kutatua kero moja au mbili sio sawa na kuiweka kwenye mizania ya kushindwa, hapo inategemea na perspective yako, neno kushindwa ni general sana.

Mfano, hapa kuna kero ya maji, pale hakuna, hapa kuna uhaba wa madawati, pale hakuna, kwa hali hiyo huwezi kusema wameshindwa wapo watakaokushangaa.

Ukisema wameshindwa inategemea unaangalia kwa angle ipi, angle niliyoizungumzia mimi ni maslahi mapana kama ukosefu wa ajira kwa vijana, kupambana na rushwa na ufisadi, na mengine ya sampuli hiyo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Mnatuita wapiga kura na kero zetu wajinga halafu mwaka huu 2024 na 2025 mtakuja kutaka ridhaa zetu katika chaguzi mbalimbali.
Huwezi kupanda mbigiri ukavuna mahindi.Tunawangoja kwa hamu.
Wengine wanavuka mipaka bila kujua.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kutatua kero moja au mbili sio sawa na kuiweka kwenye mizania ya kushindwa, hapo inategemea na perspective yako, neno kushindwa ni general sana.

Mfano, hapa kuna kero ya maji, pale hakuna, hapa kuna uhaba wa madawati, pale hakuna, kwa hali hiyo huwezi kusema wameshindwa wapo watakaokushangaa.

Ukisema wameshindwa inategemea unaangalia kwa angle ipi, angle niliyoizungumzia mimi ni maslahi mapana kama ukosefu wa ajira kwa vijana, kupambana na rushwa na ufisadi, na mengine ya sampuli hiyo.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Huko ndio kushindwa kwenyewe. Kwa idadi ya wananchi na utajiri wa nchi vitu kama maji, umeme, barabara mbovu, huduma mbovu za afya, ukosevu wa madawati, madarasa na vifaa vya kujifunzia, ajira na hata rushwa havikupaswa kuwa ajenda endelevu.
 
Huko ndio kushindwa kwenyewe. Kwa idadi ya wananchi na utajiri wa nchi vitu kama maji, umeme, barabara mbovu, huduma mbovu za afya, ukosevu wa madawati, madarasa na vifaa vya kujifunzia, ajira na hata rushwa havikupaswa kuwa ajenda endelevu.
Kuna kushindwa na kushindwa kabisa, kwangu wameshindwa kabisa kwenye hizo issue nikizokutajia hapo juu kama ajira kwa vijana, naona kwako wameshindwa kabisa hata kwa kutoa maji safi na salama hapa na pale.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Makonda ndio aliharibu mota?Wananchi wengi waliokuwa wakidai madeni katika halmashauri mbalimbali wamelipwa madeni waliyokuwa wakidai baada ya ziara ya Makonda.
Pia hayo madeni yalitengenezwa?Wacha kuhamisha magoli ulitaka kujua waliotatatuliwa kero zao unakuja na hoja nyingine
Hizi ziara zinawatia watu fulani hofu sijui wanahofia nini na kero zinasikilizwa na kutatuliwa isipokuwa zilizopo mahakamani!
Acha kudanganya, Bashite hana huo uwezo. Anachokifanya Bashite ni usaanii tu wa kutafuta umaalafu. Hakuna mtu hata mmoja aliolipwa kwa oda ya Bashite

Bashite anachofanya eti anasikiliza matatizo na baada ya hapo anatoa oda kwa wakurugenzi au ofisi usika wakae na kutatua hilo tatizo. Cha kujiuliza kwanini mambo hayo anayafanya public wakati huwezo wa kumaliza matatizo hayo hana?
 
Makonda hajui chochote bali anafanya mambo kwa mihemko.

i.Alimuamuru waziri mkuu...

ii.Anawahoji polisi kwa kuzingatia sheria ipi kwani Jeshi la Polisi linawajibika kwa CCM?

iii.Miongozo ipi ya CCM inampa mamlaka ya kutatua kero ambazo zilibidi zitatuliwe na serikali?

iv.Kazi ya mwenezi ni kutatua kero au kukipambania chama!?.

Ifike muda nanyi mapolisi mjitambue,kuwepo kwa serikali tawala ambayo chama chake ni CCM isiwe sehemu ya nyie kupelekeshwa na kudhalilishwa.Simamieni misingi.
 
Acha kudanganya, Bashite hana huo uwezo. Anachokifanya Bashite ni usaanii tu wa kutafuta umaalafu. Hakuna mtu hata aliolipwa kwa oda ya Bashite

Bashite anachofanya eti anasikiliza matatizo na baada ya hapo anatoa oda kwa wakurugenzi au ofisi usika wakae na kutatua hilo tatizo. Cha kujiuliza kwanini mambo hayo anayafanya public wakati huwezo wa kjnaliza matatizo hayo hana?
Unajua hata unachoandika.Makonda anaelekeza na maelekezo yake yanafanyiwa kazi na wahusika wanatatuliwa kero zao.
 
Back
Top Bottom