John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

John Heche mwenyekiti mpya BAVICHA taifa

Kwa hiyo biblia inaruhusu watu wachukuliane wake kama daudi siyo?
Au ukichukua mke wa mtu ndio unatimiza andiko?

.. kasome biblia utapata jibu, usitumie biblia kunyanyapaa wenzio, tukio la kuchukua mke wa mtu haliruhusiwi lakin Mungu anaweza kumtumia mtu huyo huyo kwa mambo mengine mazuri! kamsome daudi na kisa hicho cha kuchukua mke wa mtu na mwisho wake ulikuwa nn hope utaelewa, na wala si kutumia makosa ya wenzio km sababu ya kuwaona hawafai! wanaweza wasifae kwako wewe lakini kwa Mungu wanafaa sana!
 
Sasa namfaham Heche ni nani,cv yake inanishawishi niamini anaweza kuwa msaada kwa CDM..thanks 2ME.
 
hongera sana kamanda heche j kumbuka hatutarajii kuwa utatuangusha kwa pesa za magamba maana hiyo ndiyo silaha yao wakichanganya na ahadi hewa kama waalivyo mfanyia shitambala wa mbeya :a s 103:
 
Hongera Mwenyekiti Wa vijana wa Chadema...nadhani utaonesha tofauti ya bavicha na hao uvccm katika kuleta hamasa ...ZAIDI WAKAZI WA UKONGA TUNAKUKARIBISHA UJE UCHUKUE JIMBO..LA UKONGA ...Kwani ni kama lipo wazi..hakuna mbunge bali tunalo shati........

John Heche MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA 2015!![/B]



Kama ndo mpango mkakati mlionao, hapo mmeumia jipangeni upya, Ukonga kuna watu wengi sana huko tena wenye uwezo sawa ama kumzidi Heche, kitu cha msingi mjipange vizuri-muwe na mikakati ya kueleweka jimbo mnalichukua.

Heche anahitajika kwa udi na uvumba Tarime, kwa kushirikiana na mwenzake waitara wanatakiwa kuhakikisha kwamba jimbo la tarime linarudi nyumbani, kwahiyo hatoweza kuja kuwawakilisha ukonga kwakuwa ana deni la kulipa tarime.
 
Haaa! Hongera sana Kijana. Umepewa usukani hivyo ongoza jahazi letu vyema. BAVICHA ni taasisi hivyo uwe makini na ujitahidi sana kukifanya chama kiendelee kuwa na mvuto mzuri kwa vijana.
 
..ww Mungu wako ni yupi? mfalme daud alipochukua mke wa askari wake Mungu alimwacha? kasome biblia vzr usiweke reference za Mungu kwa ubinafsi wako..unaona kijiti kwenye jicho la mwenzio wakati wewe una boriti.
Hongera Mh Mtema endelea mbele!

Mungu wa chadema ni Yesu, kama huamini hivyo basi ww huja kolifai kuwa chama hichi, na reference yake ni bible pekee, ndio maana Habib alichinjwa kwakuwa mungu wake ni shetani kama alivyotueleza mh. Mbunge
 
Niachie mwenyewe.Labda nikuulize wewe kwanini humwamini na ukamwamini huyo wa kwako?

hakuna mbunge hapa,jaribu kua kama wenzio kina mdee,zitto,john,lema..wakiongea kitu una ona logic kabisaa,sio kujib tu kama taarab,nilkua sikujui kabla ya leo ila ina tosha ku de value kabisaa.huna hadhii ya ki bunge aiseeee,ache ulimbukeni .tuliza ma..t..k
 
Heche ni kuwadi mwingine wa wenye chadema! Nilidhani wangejitahidi kubadlisha image mbaya ya chama chao, lakini inaonyesha uhai wa chadema unategemea zaidi udini ukanda na ukabila!


Kuwadi ndio nini?!!! wenye mawazo chovu na wavivu wa fikra kama ww mnasema udini na kanda!!! shame on u..heche si mkurya tangu lini Tarime ikawa ya wachagga..ovyoo
 
Jojobingo, ukikaa ukazungumza na Heche utajua ni kijana wa namna gani. Heche pamoja na matatizo yake kama binadamu, meninge yanakiweza kuwa associated kama si kuwa stereotyped na eneo analotoka (Mara) ni MTU AMBAYE MISIMAMO YAKE KATIKA MAPINDUZI IKO WAZI SANA.

Ana amini katika vita dhidi ya ufisadi kwa mantiki ile ile ya "UFISADI NI ADUI HATARI KABISA KULIKO KITU KINGINE CHOCHOTE WAKATI WA AMANI".

He is a good thinker, who several times philosophises the on going one struggle for change in the country.
 
Hongera sana Heche na uwe makini utapewa ushirikiano wote .
 
Mpaka hapo alipo sasa si mbaya sana...Shida huanza baada ya kuingia kwenye madaraka!
Lakini kwa maslahi ya chama tubnamwombea asibadilike, akibadilika iwe kwa positive direction!
 
kuna typing errors katika janga la taifa ni apertheid na sio aperthaid! otherwise nawapongeza chadema kwa uchaguzi mzuri
 
Hongera kamanda Heche.Tuna imani nawe na Aluta continua!
 
Mungu wa chadema ni Yesu, kama huamini hivyo basi ww huja kolifai kuwa chama hichi, na reference yake ni bible pekee, ndio maana Habib alichinjwa kwakuwa mungu wake ni shetani kama alivyotueleza mh. Mbunge

Sura halisi ya Chadema imeanza kuonekana! kwa wale waliokuwa hawaamini kama wakina Prof. Safari mnahitaji ushahidi gani mwingine?
 
Hongera heche na kila la heri katika utendaji wako kama mwenyekiti BAVICHA
 
Pro. Safari ni nani kwenye chadema?
Ni mtu kajiunga na Chadema akiamini ni chama cha kitaifa! Kama Zitto na Arfi! Au nao ni sisimizi tuu?

Ili ujiunge Chadema ni lazima uamini kuwa Yesu ni "mungu"? Wekeni wazi basi!
 
Back
Top Bottom