Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo biblia inaruhusu watu wachukuliane wake kama daudi siyo?
Au ukichukua mke wa mtu ndio unatimiza andiko?
Hongera Mwenyekiti Wa vijana wa Chadema...nadhani utaonesha tofauti ya bavicha na hao uvccm katika kuleta hamasa ...ZAIDI WAKAZI WA UKONGA TUNAKUKARIBISHA UJE UCHUKUE JIMBO..LA UKONGA ...Kwani ni kama lipo wazi..hakuna mbunge bali tunalo shati........
John Heche MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA 2015!![/B]
..ww Mungu wako ni yupi? mfalme daud alipochukua mke wa askari wake Mungu alimwacha? kasome biblia vzr usiweke reference za Mungu kwa ubinafsi wako..unaona kijiti kwenye jicho la mwenzio wakati wewe una boriti.
Hongera Mh Mtema endelea mbele!
Niachie mwenyewe.Labda nikuulize wewe kwanini humwamini na ukamwamini huyo wa kwako?
Heche ni kuwadi mwingine wa wenye chadema! Nilidhani wangejitahidi kubadlisha image mbaya ya chama chao, lakini inaonyesha uhai wa chadema unategemea zaidi udini ukanda na ukabila!
Mungu wa chadema ni Yesu, kama huamini hivyo basi ww huja kolifai kuwa chama hichi, na reference yake ni bible pekee, ndio maana Habib alichinjwa kwakuwa mungu wake ni shetani kama alivyotueleza mh. Mbunge
Sura halisi ya Chadema imeanza kuonekana! kwa wale waliokuwa hawaamini kama wakina Prof. Safari mnahitaji ushahidi gani mwingine?
Ni mtu kajiunga na Chadema akiamini ni chama cha kitaifa! Kama Zitto na Arfi! Au nao ni sisimizi tuu?Pro. Safari ni nani kwenye chadema?