Uchaguzi 2020 John John Mnyika kutogombea ubunge mwaka huu 2020

Uchaguzi 2020 John John Mnyika kutogombea ubunge mwaka huu 2020

Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu
Hata maoni yetu kwenye rasimu ya Warioba tulisema mwisho wa ubunge iwe miaka 10. Kama kweli Mnyika kaacha kugombea zaidi ya miaka 10 atakuwa amefanya jambo zuri sana. Tena anapaswa kutoka hadharani aseme kuwa yeye ni muumini wa ubunge mwisho miaka 10. Na hasa ukizingatia siasa na chaguzi za kihayawani chini ya awamu hii ya tano, itakuwa vizuri sana kujiepusha na chaguzi za kishenzi.
 
Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu
Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu

Mwenyekiti atajua yeye, ukweli uko wazi kwamba mwisho wa uongozi ni miaka 10. Hata huyo mwenyekiti hakupaswa kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 10, sasa ngoja aonyeshwe ustaarabu wa uongozi.
 
Kaogopa kudhalilishwa. Maana angeshindwa vibaya mno. Mnyika hawezi jimbo. Ubungo lilimshinda akakimbilia kimbamba. Sasa Chadema Ruzuku inakwenda kupungua ndio ajiandae kurudi CCM.
Naona usha badilisha chama siku hizi vp?
 
Safi kabisa ubunge uwe ni vipindi 2 tu inatosha, kuna watu wanamiliki majimbo kama mali yao binafsi
 
Safi kabisa ubunge uwe ni vipindi 2 tu inatosha, kuna watu wanamiliki majimbo kama mali yao binafsi
 
Habari kutoka ndani ya chama jimbo la Kibamba zinasema mbunge wa sasa wa Kibamba Mheshimiwa John John Mnyika ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CHADEMA mpaka muda wa kuchukua fomu unaisha alikuwa hajachukua fomu ya kutetea kiti hicho.

Kama hizi habari ni za kweli je ni nini sababu? Ametosheka au anajipa muda wa kuitumikia nafasi ya katibu mkuu?

====

Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema hatogombea ubunge katika uchaguzi ujao ili apate muda zaidi wa kushughulikia masuala ya uongozi wa chama, waweze kupata ushindi. Mnyika amekuwa mbunge kwa vipindi viwili akiwakilisha Jimbo la Ubungo (2010-2015) na Kibamba (2015-2020).

POLITICS: CHADEMA's SG, John Mnyika, has declared that he will not run for any political position, including a Member of Parliament position, in this year's general election.

Mnyika has been a Legislator for the past 10 years, currently is the MP of Kibamba Constituency in Dar.
View attachment 1507190
Bara amejishtukia
 
Hata maoni yetu kwenye rasimu ya Warioba tulisema mwisho wa ubunge iwe miaka 10. Kama kweli Mnyika kaacha kugombea zaidi ya miaka 10 atakuwa amefanya jambo zuri sana. Tena anapaswa kutoka hadharani aseme kuwa yeye ni muumini wa ubunge mwisho miaka 10. Na hasa ukizingatia siasa na chaguzi za kihayawani chini ya awamu hii ya tano, itakuwa vizuri sana kujiepusha na chaguzi za kishenzi.
Hivi mwenyekiti wetu wa maisha,anakuja tena kugombea jimbo la Hai?
 
Back
Top Bottom