Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 567
Kwa,Maoni yangu ; Hata kama kuna sababu nyingine ;Lakini Kwa nafasi yako Huu ni uamuzi wa maana sana : Huwezi kuratibu Uchaguzi Nchi nzima wakati wewe unagombea ;;Yaani hapo sasa ndio mnajipanga vizuri! Barikiwa tena