johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mnyika anajitambua.......ngoja tumsikie na Mbowe!Kaogopa kudhalilishwa. Maana angeshindwa vibaya mno. Mnyika hawezi jimbo. Ubungo lilimshinda akakimbilia kimbamba. Sasa Chadema Ruzuku inakwenda kupungua ndo ajiandae kurudi CCM.