Uchaguzi 2020 John John Mnyika kutogombea ubunge mwaka huu 2020

Uchaguzi 2020 John John Mnyika kutogombea ubunge mwaka huu 2020

Na
Kaogopa kudhalilishwa. Maana angeshindwa vibaya mno. Mnyika hawezi jimbo. Ubungo lilimshinda akakimbilia kimbamba. Sasa Chadema Ruzuku inakwenda kupungua ndo ajiandae kurudi CCM.
Mbona alijaribu mara ya kwanza kura hazikutosha? AU mataga huna data
 
Atumie hii miaka 5 kuchukua jiwe na Masters yake maana nasikia mitandaoni kuwa hana jiwe ila ni Genius......
 
Nimeupenda sana msimamo wa bwana mdogo John Mnyika wa kufuata mfano wa Mwalimu Nyerere.

Mnyika ametangaza rasmi kuachana na ubunge ili apate fursa ya kukitumikia chama vizuri zaidi katika nafasi yake ya Katibu mkuu wa Chadema.

Mungu mbariki John Mnyika.

Maendeleo hayana vyama!
Mpelekeni Jihn Mrema hapo
 
Nimeupenda sana msimamo wa bwana mdogo John Mnyika wa kufuata mfano wa Mwalimu Nyerere.

Mnyika ametangaza rasmi kuachana na ubunge ili apate fursa ya kukitumikia chama vizuri zaidi katika nafasi yake ya Katibu mkuu wa Chadema.

Mungu mbariki John Mnyika.

Maendeleo hayana vyama!
Ni uamuzi mzuri.
 
Mbona hili alilisema tangia mwezi december mwaka jana? Inshaalah na mimi nitakuwa mjengoni mwezi Novemba maana hakuna wakunishinda ndani ya CCM. Tutawapiga washangae
Niwakati wa kujiverify Sasa.
 
Back
Top Bottom