Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
10 Yatosha
Bora akale pensheni yake na familia!
Yap, mimi ni muumini wa kiongozi wa 10 yatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
10 Yatosha
Bora akale pensheni yake na familia!
Mbona alijaribu mara ya kwanza kura hazikutosha? AU mataga huna dataKaogopa kudhalilishwa. Maana angeshindwa vibaya mno. Mnyika hawezi jimbo. Ubungo lilimshinda akakimbilia kimbamba. Sasa Chadema Ruzuku inakwenda kupungua ndo ajiandae kurudi CCM.
Wote walikuwa CCM,sema wana haki ya kuwa kwenye chama chochote wanachokipenda.Kwa hiyo hata Lisu naye alikuwa CCM? Hawa akina Mbowe ni magumashi tu.
Kujaribu mara ya kwanza ukakosa haiumi sana kuliko kutetea kiti then ukakosa.Na
Mbona alijaribu mara ya kwanza kura hazikutosha? AU mataga huna data
Hajatetea.Kujaribu mara ya kwanza ukakosa haiumi sana kuliko kutetea kiti then ukakosa.
Maana kishausoma mchezo kuwa. Atabwagwa vibaya mno.Hajatetea.
Hataki.
Mataga huna jema?
Mpelekeni Jihn Mrema hapoNimeupenda sana msimamo wa bwana mdogo John Mnyika wa kufuata mfano wa Mwalimu Nyerere.
Mnyika ametangaza rasmi kuachana na ubunge ili apate fursa ya kukitumikia chama vizuri zaidi katika nafasi yake ya Katibu mkuu wa Chadema.
Mungu mbariki John Mnyika.
Maendeleo hayana vyama!
Halafu wanajifanya eti hawajawahi kuwa CCM; hapo ndio wananichosha kabisa.Wote walikuwa CCM,sema wana haki ya kuwa kwenye chama chochote wanachokipenda.
Jimbo lake Mwanri analitaka kachukua form leoMnyika anajitambua.......ngoja tumsikie na Mbowe!
Ataenda Mbatia...... Kibamba ni sawa tu na Vunjo!Mpelekeni Jihn Mrema hapo
Mwanri yuko Siha kwa Dr Mollel!Jimbo lake mwanri analitaka kachukua form leo
Mwamba bado anasuasua!Kwahiyo anataka Mwamba naye afuate nyayo za Nyerere? Maana Mwamba katangaza nia ya kugombea URAISI na UBUNGE.
Halafu unaweza kuwa uligharimiwa kusoma na serikali na unadaiwa mkopo. Ni mawazo ya hovyo kabisa....Hakuna cha jambo jema kasoma upepo,kwa siasa za nchi zilivyo sasa kugombea kupitia upinzani ni kupoteza muda na pesa.
Hali ni tete bwashee!Tusubiri Mdee atakuja na "janja" gani hapo Kawe!😁
Itakuwa,"narudi shule".
Ni uamuzi mzuri.Nimeupenda sana msimamo wa bwana mdogo John Mnyika wa kufuata mfano wa Mwalimu Nyerere.
Mnyika ametangaza rasmi kuachana na ubunge ili apate fursa ya kukitumikia chama vizuri zaidi katika nafasi yake ya Katibu mkuu wa Chadema.
Mungu mbariki John Mnyika.
Maendeleo hayana vyama!
Niwakati wa kujiverify Sasa.Mbona hili alilisema tangia mwezi december mwaka jana? Inshaalah na mimi nitakuwa mjengoni mwezi Novemba maana hakuna wakunishinda ndani ya CCM. Tutawapiga washangae