Sa Na Ta I Za
Member
- May 3, 2020
- 15
- 10
Ukatibu mkuu Ni ajira, mshiko anaupata Kama mtendaji mkuu wa chama, ubunge, Cha Mtoto!Furahisha roho yako, lakini Dr Slaa nae alifanya hivyo hivyo baada ya kuteuliwa Katibu Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatibu mkuu Ni ajira, mshiko anaupata Kama mtendaji mkuu wa chama, ubunge, Cha Mtoto!Furahisha roho yako, lakini Dr Slaa nae alifanya hivyo hivyo baada ya kuteuliwa Katibu Mkuu.
Yale yale ya NassariUkatibu mkuu Ni ajira, mshiko anaupata Kama mtendaji mkuu wa chama, ubunge, Cha Mtoto!
Hovyoooooo
Anayefaa ubunge Tz hii ni nani asiye mchumia tumbo ?!.Nimeona huyu x-mp akiaga kule Twitter ,ameikimbia hasira ya wana kibamba na ni kweli walimpania amejua amengalia upepo kuwa hakufaa
Aliishi kwa propaganda bungeni kwa miaka kumi jimbo likiwa ubungo na baadae kugawanywa akaja huku kubamba ambapo alijifichaficha kwa miaka yake yote ya mitano sio bungeni wa jimboni
Amejipima ameona hafai tena maana kweli hafai na hakufaa na alijua atapigwa mapema na kupata aibu maana wananchi walimpania kumwonyesha kuwa hawamtaki mbunge mchumia tumbo
USSR
Wewe inakuuma nini?Nimeona huyu x-mp akiaga kule Twitter ,ameikimbia hasira ya wana kibamba na ni kweli walimpania amejua amengalia upepo kuwa hakufaa
Aliishi kwa propaganda bungeni kwa miaka kumi jimbo likiwa ubungo na baadae kugawanywa akaja huku kubamba ambapo alijifichaficha kwa miaka yake yote ya mitano sio bungeni wa jimboni
Amejipima ameona hafai tena maana kweli hafai na hakufaa na alijua atapigwa mapema na kupata aibu maana wananchi walimpania kumwonyesha kuwa hawamtaki mbunge mchumia tumbo
USSR
Vp bado unaangalia Ile tamthiliya ya azamBado utakuwa na ile ndoto ya mauchawi inakusumbua
Nina matumaini, safari hii watakikwaa kisiki.
Naomba usinibane kwa kuleta ushahidi, lakini ni hisia nzito ambayo sijawahi kuwa nayo wakati wowote hadi sasa.
Safari hii watu watakataa kufanya kazi ya kupiga kura halafu atokee mpumbavu mmjoaja avuruge kazi yao hiyo.
Uzuri ni kwamba haitahitaji vurugu, watakaoanza vurugu (wezi wa kura) watadhibitiwa huko huko kituoni kwao kwa usalama wao.
Iliyobaki ni kwa CHADEMA kutoa somo tu lieleweke vizuri na watu watatimiza lengo.
Hawa si ndo wanahubiri kua vijana wajiajiri inatakiwa kuwe na sheria mtu kua mbunge iwe kipindi kimoja tu baada ya hapo ajiajiri na kuajiri wengine maana tayari amepata mtaji....Nitafurahi pia kama kwenye ubunge kuwe na ukomo,ukipiga miaka yako 10 inatosha,wachia na wengine.
Hata mimi niliimba mwaka 1996 nikiwa darasa la tatu.