Uchaguzi 2020 John John Mnyika kutogombea ubunge mwaka huu 2020

Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu
 
Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu
Tatizo akitoka kusema ivyo mwenyekit ataweka wap sura yake ataambia Nini watu

Mwenyekiti atajua yeye, ukweli uko wazi kwamba mwisho wa uongozi ni miaka 10. Hata huyo mwenyekiti hakupaswa kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 10, sasa ngoja aonyeshwe ustaarabu wa uongozi.
 
Kaogopa kudhalilishwa. Maana angeshindwa vibaya mno. Mnyika hawezi jimbo. Ubungo lilimshinda akakimbilia kimbamba. Sasa Chadema Ruzuku inakwenda kupungua ndio ajiandae kurudi CCM.
Naona usha badilisha chama siku hizi vp?
 
Safi kabisa ubunge uwe ni vipindi 2 tu inatosha, kuna watu wanamiliki majimbo kama mali yao binafsi
 
Safi kabisa ubunge uwe ni vipindi 2 tu inatosha, kuna watu wanamiliki majimbo kama mali yao binafsi
 
Bara amejishtukia
 
Hivi mwenyekiti wetu wa maisha,anakuja tena kugombea jimbo la Hai?
 
Karibu CCM JJ MNYIKA....
Mmawia unajua nikitabirigi hivi kinachofuata ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…