Ok!Kuchelewa kote ilibidi ku refuel KIA ndio kuunganisha hadi "nusu london"
Akiingia RAO 2017 huu upuuzi utaondolewa!sasa hivi yupo at the jomo kenyatta mausoleum, majengo ya bunge
sheebesh and Dr kidero wafurahia ujio wa bulldozer magufuli[emoji2]
Huyo Joka KuuHayo nimatope ya ufipa kwa wapuuzi tulisha wazoea.
Alisha jisemea niheri achukiwe na wapuuzi 1000 apendwe na werevu 100000
Huyo ndie Rais wetu
Mlietaka awe tulisha waeleza
Haitakuja kutokea yule kuwa Rais never,
Mchukie
Msimpende haita mpunguzia lolote
a little jam along uhuru highway
mbona kazungumza freshi tu..Kwa kweli Magu needs a script. π
unajua wamezoea lafudhi ya kikwete na Mkapa! hawajui hao wawili mmoja ni Mswahili (yaani anatoka Pwani) per se na mwingine ni mwandishi wa habari!mbona kazungumza freshi tu..
Kazungumza freshi ila kachemsha kwenye details. Mfano, kuna sehemu kasema anataka kukuza ukuaji wa uchumi from 7.9% hadi 7.2%. [emoji15].mbona kazungumza freshi tu..
Wewe ndo hujaelewa 7.9% ni quartely growth na 7.2% ni yearly growth! Msikilize vizuriKazungumza freshi ila kachemsha kwenye details. Mfano, kuna sehemu kasema anataka kukuza ukuaji wa uchumi from 7.9% hadi 7.2%. [emoji15].
Nadhani alikuwa na lengo nzuri la kutumia data kuonyesha maendeleo lakini kuchanganya kidogo. Scripted speech ingefaa zaidi.
dah wewe jamaa hufai hata kidogo na hilo ni tusi baya kwa Rais mkuuSasa nimeanza kuelewa kwanini baadhi ya familia zikiwa na watoto wenye ulemavu wa akili uwa wanawafungia ndani wasitoke " bora JPM asiwe anatoka nje ya nchi tufiche aibu yetu "