Pre GE2025 John Mnyika alivyomkabidhi fomu Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 John Mnyika alivyomkabidhi fomu Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Pia, Soma: CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
Tunapendwa na wachache, tinachukiwa na wengi, ila tunaheshimiwa na wote
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
Picha inazunguza mengi, mnyika na lissu lao moja
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
patachangamka sana Mungu amtangulie
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
Kila la kheri Mh Lisu
 
Back
Top Bottom