Pre GE2025 John Mnyika alivyomkabidhi fomu Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 John Mnyika alivyomkabidhi fomu Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.

Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
Japo sipendi LISSU aiongoze CDM ila Mbowe tulimchoka na tulikua tunagumia chini chini na mpango ilikua twende na Heche ila upepo umebadilika ghafla bin vuu
 
Kichwa cha Habari leo..
"Lissu aitikisa kaskazini "
 
Lissu ameifanyia nini chadema akiwa Makamu mwenyekiti,nje ya kumtukana Magufuli,Saa100 na serikali?
 
Kila kilichopo ccm kipo na chadema, kwa mfano, kabla ya sakata hili nilidhani mambo ya uchawa yako ccm tu.
Uchawa imekuwa tabia sugu nchi nzima na uchawa aliuanzisha jiwe kwa kupenda kusifiwa na kutukuzwa sasa imekuwa hulka
 
Back
Top Bottom