Mwanzo wa safari ya kutwaa madaraka ya nchi. Nature inaamua mambo yakeNchi imetulia Chadema imeingia kazini RASMI.....wa gazeti la Uhuru ni mshangao tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo wa safari ya kutwaa madaraka ya nchi. Nature inaamua mambo yakeNchi imetulia Chadema imeingia kazini RASMI.....wa gazeti la Uhuru ni mshangao tu
Nilikuwa kwenye kikao muhimu sana cha CCM hapa kwenye tawi langu. Ila nimeona post yako. Nafuta swali langu!Muda huu ndio unaamka?
Japo sipendi LISSU aiongoze CDM ila Mbowe tulimchoka na tulikua tunagumia chini chini na mpango ilikua twende na Heche ila upepo umebadilika ghafla bin vuuMakamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amechukua rasmi fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa chama hicho leo, Jumanne Desemba 17, 2024, katika ofisi za makao makuu ya CHADEMA zilizopo Mikocheni, jijini Dar es Salaam.
Fomu hiyo ilikabidhiwa kwa Lissu na Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. Lissu anatarajia kuirudisha fomu hiyo rasmi kesho.
View attachment 3178788
Mambo ya kukatana yupo ccmKamati ya maadili ya chama italikata jina la Lisu. Mtego wa Lisu uko hapo.
Kabla ya CHADEMA, vyama vingi kuanza, nchi ilikuwa na tatizo Gani??Kabla ya Chadema kuingia kazini RASMI, nchi ilikuwa na shida gani?
Kila kilichopo ccm kipo na chadema, kwa mfano, kabla ya sakata hili nilidhani mambo ya uchawa yako ccm tu.Mambo ya kukatana yupo ccm
Kwahiyo Chadema imeondoa hilo tatizo,?Kabla ya CHADEMA, vyama vingi kuanza, nchi ilikuwa na tatizo Gani??
Ukipata jibu umepata jibu la swali lako
Wewe ulitaka aifanyie nini, ambacho unaona ilikuwa ni jukumu lake kukifanya?Lissu ameifanyia nini chadema akiwa Makamu mwenyekiti,nje ya kumtukana Magufuli,Saa100 na serikali?
Nilikuwa nakujibu swali kwa swali, kumbe umeleta swali lingine tofauti,Kwahiyo Chadema imeondoa hilo tatizo,?
Uchawa imekuwa tabia sugu nchi nzima na uchawa aliuanzisha jiwe kwa kupenda kusifiwa na kutukuzwa sasa imekuwa hulkaKila kilichopo ccm kipo na chadema, kwa mfano, kabla ya sakata hili nilidhani mambo ya uchawa yako ccm tu.