John Mnyika amaliza utata pesa za Join the Chain. Ataja kiasi kilichopatikana na kazi zilizofanya. Asema wajumbe wote wa kamati kuu walikuwa wanajua

John Mnyika amaliza utata pesa za Join the Chain. Ataja kiasi kilichopatikana na kazi zilizofanya. Asema wajumbe wote wa kamati kuu walikuwa wanajua

Kwahiyo Dikteta Mbowe alimwingiza chaka Dalali Wenje?
 
Wewe muda wote ni kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo na kutaja taja tu majina ya watu. Naona una wivu sana kwa mtoto wa Rais .unatamani RAIS Samia angekuwa ndio mama yako mzazi wa kukuzaa. Maana kila muda unamchafua tu japo watu wamekupuuza kwa sababu wanajua hunaga akili
sasa mbona kama wewe ndo mnywa GONGO na Wanzuki
sasa hiyo habari uloleta si ndo nzuli kwa timu LISU
nashangaa umeleta habari ya kuisafisha TIMU LISU halafu unampigia chapuo MBOWE

ama hakika ukishakuwa CCM ubongo unatolewa unawekwa mavi unakuwa unachoongea ukijui kama BWEGE
 
Mchanganuo wanaujua wajumbe wa kamati kuu.hapo ametoa kwa ufupi kuonyesha uadilifu wa Mwamba ambaye aliongoza zoezi hilo. Ndio maana wajumbe wamejiandaa kumpigia kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Unakumbuka huu uharo wako uliosema kwa Mbowe,kwa vile umesika kavuta mpunga mkubwa inajilengesha kwake na kumuita mwamba ,utaolewa shauri yako
 

Attachments

  • Screenshot_20241218_213757.jpg
    Screenshot_20241218_213757.jpg
    195.1 KB · Views: 2
sasa mbona kama wewe ndo mnywa GONGO na Wanzuki
sasa hiyo habari uloleta si ndo nzuli kwa timu LISU
nashangaa umeleta habari ya kuisafisha TIMU LISU halafu unampigia chapuo MBOWE

ama hakika ukishakuwa CCM ubongo unatolewa unawekwa mavi unakuwa unachoongea ukijui kama BWEGE
Mwamba hapigiwi chapuo bali ndiye mshindi anayesubilia kuidhinishwa tu.
 
Mkutano mkuu wa CCM ndio habari ya Mjini kwa sasa .kila kona ni habari za CCM tu...
UONGO mtupu huu..
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siweki neno lolote lile zaidi ya kuweka taarifa ya John Mnyika katibu Mkuu wa CHADEMA.👎

#JoinTheChain ilikuwa ni kampeni Maalum iliyofanywa na CHADEMA kukusanya fedha kwa ajili ya uendeshaji wa Chama kati ya mwezi Februari mpaka Mei 2022.

Kwa wakati huo kipaumbele cha kwanza ilikuwa ni kugharamia Mkutano wa Baraza Kuu 2022 ambalo pamoja na agenda nyingine lilisikiliza rufaa za #Wasaliti19 waliofukuzwa uanachama. Baada ya hapo fedha za ziada zingetumika kwenye operesheni za Chama ikiwemo za madai ya #KatibaMpya .

Fedha ambazo Makao Makuu tulipokea kupitia akaunti ya benki na nambari za simu tulizotangaza hapo chini wakati huo zilikuwa shilingi milioni 114. Fedha hizo ziligharamia sehemu ya gharama za Mkutano wa Baraza Kuu la Chama la Mei 2022.

Soma Pia: Ezekiel Wenje: Kuhusu zilipoenda pesa za Join The Chain muulizeni Godbless Lema. Yeye ndo alikuwa Mwenyekiti!

Aidha, pamoja na fedha taslimu kampeni hiyo iliunganishwa pia na ulipaji wa ada na kadi kidigitali ambapo mapato yote kwa ujumla yalikuwa shilingi milioni 371.

Taarifa ya kiwango cha makusanyo na matumizi ilitolewa kwa Kamati Kuu katika vikao vitatu tofauti kwa nyakati mbalimbali hivyo hakuna mjumbe wa Kamati Kuu anayepaswa kusema hafahamu. Majibu sahihi yanapaswa kuwa ama mjumbe hana mamlaka ya kusemea masuala ya fedha au amesahau takwimu.

Nimelazimika kuandika kuhusu suala hili kwa kuwa naona limejirudia rudia mitandaoni na kwenye vyombo vya habari lakini mara zote ambazo Katibu Mkuu nimefanya press conferences halijawahi kuulizwa. Mahesabu ya mwaka husika wa fedha ikiwemo yaliyohusu mapato na matumizi kutoka kampeni #JoinTheChain yalikaguliwa na Mkaguzi wa Mahesabu (CAG) na Chama kikapata hati safi. #StrongerTogether #mkutanomkuuchadema2025

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Wenje bado ana akili za kitoto na kijinga, hafanani na hadi ya watu walioko humo chamani
 
Mchanganuo wanaujua wajumbe wa kamati kuu.
Kwani hizo pesa zilichangwa na wajumbe wa kamati kuu au wanachama, wapenzi na mashabiki wa CHADEMA? Kina nani wanapaswa kupewa detailed taarifa juu ya mapato na matumizi ya pesa hizi?

Na unadhani kwanini taarifa feki itoke leo wakati mwanachama wenu Peter Msigwa ametoa tuhuma hizi several times na Tundu Lissu kuulizwa mara kwa mara na medias na jibu lake kuwa muulizeni katibu mkuu accounting officer...?
hapo ametoa kwa ufupi kuonyesha uadilifu wa Mwamba ambaye aliongoza zoezi hilo.
Eti chawa wa mama wa CCM Samia Suluhu Hassan wewe Lucas Mwashambwa leo unajaribu kumpaka manukato Mbowe ambaye muda wote umekuwa ukimpaka mavi!!?? Kuna nini kati ya CCM na huyu mwamba..???
Ndio maana wajumbe wamejiandaa kumpigia kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Jiandae kushangaa, kupigwa butwaa na kugalagala kwa uchungu maana MSIYEMTAKA NA KUMPENDA, ANAWAFUATA HUKOHUKO MLIKO...

TUNDU ANTIPASY MUGHWAY LISSU ndiye mwenyekiti mpya CHADEMA 2025 - 2029..

NO REFORMS, NO ELECTION 2025..
 
Wewe muda wote ni kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo na kutaja taja tu majina ya watu. Naona una wivu sana kwa mtoto wa Rais .unatamani RAIS Samia angekuwa ndio mama yako mzazi wa kukuzaa. Maana kila muda unamchafua tu japo watu wamekupuuza kwa sababu wanajua hunaga akili

Duh umeanza lugha gani hii siku hizi!!!!

Why ikuume sanaaaa Jina kitajwa 🫣🫣🫣

Oyo yoooooo
Kunapambazuka sasa 😅😅😅
 
Back
Top Bottom