John Mnyika amuumbua Spika kwa kutoa ushahidi wa Ofisi ya Spika kupokea barua ya CHADEMA kuwavua ubunge wanachama wake

Sakata la wabunge wa viti maalum kutoka CHADEMA linaendelea, hiyo ni baada ya Spika mpya, Tulia kuzungumzia uhalali wao kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, jana Februari 14 wakati akizungumza na wahariri.

Tujikumbushe hizi ndizo barua na documents ambazo CHADEMA inadaiwa kuwa waliziwasilisha bungeni mwaka jana kuhusu kufukuzwa kwa wabunge kina Halima Mdee na wenzake 18.





 
CCM haijawahi kuona aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…